cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 117,150
- 190,169
😂😂😂😂😂We mwenye komwe ruksa kuvaa wihg yaan minywele nywele ya wigh imhifadhi
Joke
Wee mkorofi kumbe?
😂😂😂😂😂We mwenye komwe ruksa kuvaa wihg yaan minywele nywele ya wigh imhifadhi
Joke
Hiyo ni make up si unaona adi ww umechanganyikiwaHawa ni watu wawili tofauti, hawana hata chambe ya undugu
Nimetania tuu,😂😂😂😂😂
Wee mkorofi kumbe?
Hapo sasa, LolNimetania tuu,
Maanaa wengine tuna vibinti kidogo... Hatujuui ukubwani itakuwaje
Zile rasta Raha yake kuziona zimepakizwa kwenye boda bodaa yaan boda IPO speed basi zinapepeaaaa....Bora kusuka hata zile rasta zenu, ila mawigi hatuyapendi,
Unatoka na mtu nje ana kichwa cha Rihana, wakati wa kulala au kuoga ukifika gafla mtu anabadilika muonekano anakuwa Juma Pilimbi
..make up, kuficha uhalisia, bila hayo maupako anakuwa ni kama mgambo wa kuumeHiyo ni make up si unaona adi ww umechanganyikiwa
Anawakilisha wanaume KAMILI sorry.Labda unawakilisha vijana wa kiume wa ukoo wako.
Na huo mshtuko hata jamaa anaogopa kuwashambulia coz anajiuliza ni mnyama gani huyu!!?Wanotumia mkorogo (cocktail ya chemicals) wakivua nguo wanatisha sana, ngozi inakuwa kama ya chui au kenge
Sisi tunaowakula hatuyataki sasa.Acheni kujiweka kwenye mambo ya wanawake, tunajiremba kwa sababu tunapenda, siyo kwa ajili yenu.
Wanakuwa kama wasabato😃😃😃 ndiyo maana mi napenda kupita na ma beki 3 kila kitu natural,hakuna artificial hata moja nakili kusema kwamba ni watamu sana.
4. kuficha kasoro za mwiliMwanamke kujiremba sana nayo ni dalili ya ama;
1. Kutokujiamini
2. Umalaya
3. Ulimbukeni
Nimefanya kautafiti kidogo nikagundua mademu wengi wenye shepu hua hawaangaiki saana kujiremba.. ila hawa SONY WEGA sasa..😆😆4. kuficha kasoro za mwili