Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

Wanaume hatupendi wadada wanaojiremba kupitiliza

Screenshot_20250420_092217_Chrome.jpg
 
Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen)

Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri ... Af ngozi ya kichwa ionekane pale kwenye vile vinjia njia vile.

Sio ubahili Ila ndo ndoto yetu kwa pamoja. 🙏😎🙏.

Leo nime mnanga Sana Mdogo Ang wa kike .. yani amejaza mawigi chumbani kwake hadi hewa inakua nzito... matokeo yake Kila siku kazi kutuumwia mafua hapa.

Binafsi naona kujilemba Sana ni kukosa self esteem....
Fact

Makandiko na madude feki vinaboa
 
Ukitaka kujua wanawake ni viumbe wa ajabu,
1.anaondoa hope zake org,anaweka fake ndefu
2.anaondoa kucha zake org,anaweka fake ndefu
3.anatoa nywele zake,anaweka mawigi
Halafu hapo ni wote awe msomi au hajasoma wanafanana.
 
Jambo ambalo huwa linanishangaza zaidi ni kuwa unakuta mwanamke ameolewa ana ndoa yake na familia lakini amevaa suruali au skirt inayomuonesha makalio yake yalivyobana.sasa unajiuliza huyu amevaa hivi kumuoneshea nani????

Mwanamke huyo huyo aliyevaa hivyo yeye anakuambia anajiheshimu,98% ya wanawake wote ni makahaba wasio jipanga barabarani awe msomi asiwe msomi,awe na kazi au asiwe na kazi,awe na biashara au asie na biashara.
 
Jambo ambalo huwa linanishangaza zaidi ni kuwa unakuta mwanamke ameolewa ana ndoa yake na familia lakini amevaa suruali au skirt inayomuonesha makalio yake yalivyobana.sasa unajiuliza huyu amevaa hivi kumuoneshea nani????

Mwanamke huyo huyo aliyevaa hivyo yeye anakuambia anajiheshimu,98% ya wanawake wote ni makahaba wasio jipanga barabarani awe msomi asiwe msomi,awe na kazi au asiwe na kazi,awe na biashara au asie na biashara.
Wewe mkuu unaambiwa hakuna kitu hawa watu wanapenda kama ile feeling ya kuona mwanaume wanambabaikia
 
Moja kwa moja kwenye point... Nikiongea kwa niaba ya wanaume wote wenye akili sawasawa ......(Excluding all madmen)

Ndoto yetu ya pamoja Kila mwanaume ni kuwa na mke anaesuka twende kilioni nzuri ... Af ngozi ya kichwa ionekane pale kwenye vile vinjia njia vile.

Sio ubahili Ila ndo ndoto yetu kwa pamoja. 🙏😎🙏.

Leo nime mnanga Sana Mdogo Ang wa kike .. yani amejaza mawigi chumbani kwake hadi hewa inakua nzito... matokeo yake Kila siku kazi kutuumwia mafua hapa.

Binafsi naona kujilemba Sana ni kukosa self esteem....
Hili ni tatizo lako wewe mzaliwa wa Maula Newala. Wengine tunataka wanaojiremba (bora isiwe kujiremba kilimbukeni ie. wanaiga na kuwa kituko). Unajua maana ya mwanamke kuwa ''sexy''?
 
Sasa umkute ana tumbo kubwa kama kama la Lamomy alafu kapaka makeup na komwe lake kama buti la jeje.
 
Hili ni tatizo lako wewe mzaliwa wa Maula Newala. Wengine tunataka wanaojiremba (bora isiwe kujiremba kilimbukeni ie. wanaiga na kuwa kituko). Unajua maana ya mwanamke kuwa ''sexy''?

Soma btn lines and btn words kiongozi .. unalolisismamia ndilo linasimamiwa na mtoa Uzi pia .

Mwanamke asiyejiremba Sana ..

NB : asiyejiremba Sana.
 
Soma btn lines and btn words kiongozi .. unalolisismamia ndilo linasimamiwa na mtoa Uzi pia .

Mwanamke asiyejiremba Sana ..

NB : asiyejiremba Sana.
Kujiremba sana SIYO SAWA na kujiremba kilimbukeni.
 
Mkishakosa siku zenu hasira mnahamishia kwa Lamomy, vipi baba mtoto humjui??

Kunywa miso upate period kenge weeh..!! 😹😹

sheremaya haya ... Unaeza Zima huu moto au tukuitie fire Mkuu ??

Lamomy wanasema ety wa voda wamemwibia MB zake. kukasirika Sana. 🙏🤣🤣🙏
 
Back
Top Bottom