Wanaume ninaowajua hawanywi pombe ni WAMBEA MFANO HAKUNA
Afu we ukome kuisema pombe vibaya tafadhali tena tafadhali sana
Unabisha nini hapo sasa hanywi anakaa bar mpaka saa saba usiku kama sio kutafuta umbea ni nini? Nyie ndo mnatuletea nzi barKuna wanaokunywa na hawaongei Wako kimya Tu,kuongea Ni hulka ya mtu, mi wangu hanywi na tunakaa bar na rafiki zake wanywaji hata saa Saba,japo mi napenda tuwah home,
na sio kisingizio cha kuambiwa madhaifu,kuongea Ni hulka tu
Hehehe.. Ni maisha yetu.. Kurutu wameongeza na yao.. "Weed"Slogan ya rijeshi hiyo muraaa!
Unakubaliana na hili?kwani nawe unakula papuchi?bora umwambie wewe
Unaona sasa? Mi nakushauri fanya utafiti ujiridhishe. Tafuta mnywaji na asiye mnywaji.... uone tofauti zao. Usipende kusikiliza maneno ya watu bila kujiridhisha mwenyewe
Mi sinywi pombe. Najaribu kuweka mambo sawa.we kila kitu Hua unakifanyia utafiti?ukimuona shoga unahakikisha ukamfanyie utafiti ndio uamini kua Ni shoga,najua we Ni mnywaji ndio maana wajitetea
naacha halafu nifanye nini?Nawewe umeacha pombe mae? Yesuuu...
Ufanye mapenzinaacha halafu nifanye nini?
mapenzi hapana.. acha tu niendelee kufunua chupa tu .. mapenzi nawaachia nyieUfanye mapenzi
Haya bana...kupanga ni kuchagua.mapenzi hapana.. acha tu niendelee kufunua chupa tu .. mapenzi nawaachia nyie
kweli kabisaHaya bana...kupanga ni kuchagua.
Mmoja afanyie kazi huo ushauri alete mrejesho hapa........, mlio na waume/au wapenzi wanaokunywa hebu jaribuni wafanye mapenzi wakiwa hawajanywa pombe muone ....