Wanaume ambao hawatumii pombe

Wanaume ambao hawatumii pombe

Ewaaaaa.... sasa umeanza kuongea kiutu uzima.

Afu kwanini unajiita "my hubby". Unataka kuoa dada zako?? Tabia gani hiyo?

mmmh ntawaoa Tu maana mmeshindwa kazi nyie
 
Habari zenu,

Hivi kwanini wanaume ambao hawanywi au hawatumii pombe husakamwa kua ni walevi wa wanawake?

Nini kinawafanya watu wawafikirie vile au ni kuwaonea wivu kua hawanywi wanaokunywa hawawezi kuacha?

Hua nasikia Sana oooh ambao hawanywi pombe wanapenda Sana wanawake,mbona hata wanaokunywa pombe wanapenda wanawake Sana Tu,tena wengine mkilewa huchukua ma barmaid,wengine hujutia asubuhi akili ikimrudi kukuta kalala na kichaa ,
Yaan pombe huwafanya mfanye mambo ambayo mkiwa hamjanywa hamuwezi fanya.

KUMBE WANAKUWA NA AKILI MBILI
Na bia zenu hizo Hua zinawafanya mnanuka mwili mzima pombe ,mdomo unanuka kama choo khaa!!!

Upande wangu naona bora ambae hanywi kwa kweli,hata kwenye mapenzi hategemei konyagi ndio apate mzuka,wanywa pombe mpaka anywe ndio apate mzuka ,yaan akilewa ndio mfanye mapenzi kwa hiyo pombe ndio inamsisimua na sio mwili wa mwanamke,mlio na waume/au wapenzi wanaokunywa hebu jaribuni wafanye mapenzi wakiwa hawajanywa pombe muone
msiwasakame ambao hawanywi jamani

Pia ungeanza wewe kutueleza ulipokuwa na mlevi ilikuwaje na ulipokuwa na mzima ilikuwaje.kwa faida tu walevi mechi kwao ngumu wasio walevi wanamudu mechi
 
Yaani nikiwaza kumkisi mtu alokunywa pombe huwa naskia kinyaa Na mara nyingi naishia kumpotezea tho roho inauma maana unakuta mwingine yuko ndani ya sifa zinazonilipua moyo. Sijui hili tatizo ni langu tuu? Yaani harufu ya pombe inanifanya niteme ovyo.
 
Yaani nikiwaza kumkisi mtu alokunywa pombe huwa naskia kinyaa Na mara nyingi naishia kumpotezea tho roho inauma maana unakuta mwingine yuko ndani ya sifa zinazonilipua moyo. Sijui hili tatizo ni langu tuu? Yaani harufu ya pombe inanifanya niteme ovyo.

hata kwenye party mtu kanywa anakuja kukunong'oneza weeeee unaweza piga chafya,wanaokunywa wine Ni wachache hazina harufu mbaya
 
duh asee Mimi pombe imekua ibilis kwangu maana hua naeza kutana na demu tu nkampa bia 2 nikaishia kugongana NGOZ nikiamka hua najuta kishenz maana najikuta nilisahau ndom na nikiwa kawaida hua nawadharau sana wadada
 
duh asee Mimi pombe imekua ibilis kwangu maana hua naeza kutana na demu tu nkampa bia 2 nikaishia kugongana NGOZ nikiamka hua najuta kishenz maana najikuta nilisahau ndom na nikiwa kawaida hua nawadharau sana wadada
Pole sana mkuu,ukapime kwanza afya na ukikuta huna HIV basi kuwa makini sana na ikiwezekana oa kabisa utulie na mmoja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom