Wanaume ambao hawatumii pombe

Wanaume ambao hawatumii pombe

wengine si walevi wa pombe wala wanawake, ni walevi wa kazi yaani yeye anakua addicted na kazi zake ukiolewa naye utajuta
 
Post hii haswa inahusu nini ?

Umalaya ?
pombe ?
Ngono ?

Au hisia zako juu ya wanywa pombe?

au ulikua unacompare wanywa pombe na wasio kunywa pombe ?

Nasubiri jibu huku nakata kiroba

Mkuu umeniwahi, nilikuwa na maswali kama hayo
 
Habari zenu,

Hivi kwanini wanaume ambao hawanywi au hawatumii pombe husakamwa kua ni walevi wa wanawake?

Nini kinawafanya watu wawafikirie vile au ni kuwaonea wivu kua hawanywi wanaokunywa hawawezi kuacha?

Hua nasikia Sana oooh ambao hawanywi pombe wanapenda Sana wanawake,mbona hata wanaokunywa pombe wanapenda wanawake Sana Tu,tena wengine mkilewa huchukua ma barmaid,wengine hujutia asubuhi akili ikimrudi kukuta kalala na kichaa ,
Yaan pombe huwafanya mfanye mambo ambayo mkiwa hamjanywa hamuwezi fanya.

Na bia zenu hizo Hua zinawafanya mnanuka mwili mzima pombe ,mdomo unanuka kama choo khaa!!!

Upande wangu naona bora ambae hanywi kwa kweli,hata kwenye mapenzi hategemei konyagi ndio apate mzuka,wanywa pombe mpaka anywe ndio apate mzuka ,yaan akilewa ndio mfanye mapenzi kwa hiyo pombe ndio inamsisimua na sio mwili wa mwanamke,mlio na waume/au wapenzi wanaokunywa hebu jaribuni wafanye mapenzi wakiwa hawajanywa pombe muone
msiwasakame ambao hawanywi jamani
Malaya wa kike wanaojiuza wamejazana maeneo ya baa na club.

Think twice ktk tafakuri yako
 
It is just a myth; I don't drink & I won't drink ... Na sio mlevi wa wanawake. Tendo huzaa mazoea, mazoea huzaa Tabia . Kupenda wanawake, au ulevi ni matunda ya tabia zilizotokana na matendo yaliyofanyika kwa mazoea.
 
kuna jirani angu mmoja hanywi pombe yule baba ni CHAUMBEA HATARI
Yani hata nirudi saa nane usiku lazma asogeze kapazia kuchungulia

hata walevi wapo wambeya Sanaa akilewa aongea yotee,au akiwa hajanywa
 
Inamaana wanaume wanaokunywa hawapaform match vizurii? Mbona mm nikinywa nafanya vizurii kuliko nisifofanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom