Wanaume acheni kupiga wake zenu

Wanaume acheni kupiga wake zenu

Acha kutufundisha uwoga wewe.Wakuu vibao viwili vitatu hurudisha heshima iliyo pote ndani ya nyumba.Yaani humrudisha mke kwenye mstari.

Mwanamke akileta madharau hakuandalii maji ya kuoga,hapiki kwa muda unaotakiwa,ukimwambia jambo hatekelezi,anarudi nyumbani muda anaotaka,akitoka nyumbani haagi,kazini anatoka saa tisa nyumbani anarudi usiku,anaongea kejeli mbele ya watoto chapa vibao yaani tandika vibao.Ukimwacha wote mnakuwa wanawake hapo ndani na ndio chanzo cha kukupanda kichwani.
Tumeambiwa tuishi nao kwa akili,moja kati ya hizo akili ni vibao.Chapa vibao ambavyo havitaharibu nyara za serikali usiende kuishia lupango.
 
Ni heri nikufumanie lakini sio kunipiga( kwangu halina msamaha wa dhati)

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah unaongea tu mama, sema nkwambie kitu! Mwanamke ambae hapendi kupigwa like serious huwaga yuko lenient sana kwenye mahusiano. Yani hakuna mda atatengeneza mazingira ya kubutuliwa always anashukaga in the event of misunderstanding! Sasa hata ile jazba unayokuwa nayo kidume inashuka maana unaona mke amepooza ugomvi unaliachia lipite kilaini tu. Ukimzoea mkeo mpole wala huwezi hata kumpiga hata awe mzembe kiasi gani. Im pretty sure wewe uko hivyo kapeace.
 
Hahahah unaongea tu mama, sema nkwambie kitu! Mwanamke ambae hapendi kupigwa like serious wengi huwaga lenient sana kwenye mahusiano. Yani hakuna mda atatengeneza mazingira ya kubutuliwa always wanashukaga in the event of misunderstanding! Im pretty sure wewe uko hivyo kapeace.
Ndo maana sipendi kupigwa kwanza niko mwepesi kuomba msamaha hata kama sio kosa langu,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kipigo kinaua hisia za kimapenzi kwa mwanaume hivyo kupelekea kuanza kuchepuka

Kipigo kinajenga uhasama ambacho huleta aina fulani ya kisasi moyoni

Kipigo kinavunja ndoa

Nikikosea kiasi hicho hata liwe fumanizi....niachwe tu

Unanipiga halafu tena nikupe na uchi na mauno nikupe kabisaaaa.....chaaaaa!!!

Tukiendelea kuwa pamoja ujue nimekusamehe mdomoni tu



Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watoto wakali huoni hata pa kupiga maana utaharibu uzuri.
 
Naugulia maumivu ya kipigo mwaka wa 6 huu nimeshindwa kusamehe hilo kosa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe unaugulia tu bado ila hujasepa kama ulivyojinadi! Hahahah i love u girl! Ila ni fedhuli gani anapiga mwanamke mpole huyo? Naweza hata kumtia nakoz mi sipendi mtu mkorofi anaoonea watu bila sababu!
 
Back
Top Bottom