Wanaume acheni kupiga wake zenu

Wanaume acheni kupiga wake zenu

Kuna dada alipigwa na mumewe akaenda kushitaki kwao. Wazee wake mwanamke walimsikilza wakampa pole tu na wakamwambia apumzike na baba mtu akasema ataenda mjini kumtafutia dawa mtoto wake huyo wa kike asipigwe tena na mumewe. Aliporudi akarudi na kajimkasi kadoogo cha kukatia mauwa kale akampa mtoto wake na kumwambia kesho rudi nyumbani kwa mume wako uuweke huu juu ya dressing munapoweka vipodozi vyenu. Mume wake yule mwanamke alipouliza hichi nini akamwbia kama kapewa na baba yake. Ikawa ndio mwisho wa kupigwa na mume wake.

N:B. Mwanamme akikupiga, msubiri alale usiku mtowe mapumbu!
 
inategemea, sio kwenye kupiga lkn
maana hata anaepiga huenda anaongea utumbo pia
Bana we. Elewa mwanamke 90% ya kinachomponzaga apigwe ni kiburi na kauli za dharau za kuropokwa zile pale ambapo mnapishana kauli!
Ukiwa na breki za mdomo au mpole ukawa unapigwa still jua umeolewa na kichaa! Maana walevi tu ndio wanapigaga bila sababu!
 
Kuna dada alipigwa na mumewe akaenda kushitaki kwao. Wazee wake mwanamke walimsikilza wakampa pole tu na wakamwambia apumzike na baba mtu akasema ataenda mjini kumtafutia dawa mtoto wake huyo wa kike asipigwe tena na mumewe. Aliporudi akarudi na kajimkasi kadoogo cha kukatia mauwa kale akampa mtoto wake na kumwambia kesho rudi nyumbani kwa mume wako uuweke huu juu ya dressing munapoweka vipodozi vyenu. Mume wake yule mwanamke alipouliza hichi nini akamwbia kama kapewa na baba yake. Ikawa ndio mwisho wa kupigwa na mume wake.

N:B. Mwanamme akikupiga, msubiri alale usiku mtowe mapumbu!
Hahahah kizembe namna hio?
 
Mwanaume anayesema hawezi nyanyua mkono wake kupiga mwanamke amshukuru Mungu sana hajawahi kukutana na mwanamke jeuri,
Ni wanaume wachache sana wanaopiga bila sababu,japo kuna mijamaa mikorofi kosa dogo kofi,
Siyo kila kosa mtaachana mengine mtarekebishana kwa namna mbalimbali.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BABA yako amekula limbwataaa, naona na mama yako akakupatia kijan a wa watu hasemi neno kwako, Kama sio limbwata basi wafundishe hao wanawake rafiki zako namna ya kuishi na mme kwa adabu heshima na kutii ( be submissive as the holly books say)

KABLA Ya kusema kuhusu kuigwa muulize huyo rafiki yako kapigwa kwa kisa gani, SUALA LINGEKUWA BADALA YA KUWAAMBIA WANAUME WAACHE KUPIGA Ungewaaambia wanawake waaache ushenzi kwenye ndoa.

Look at it from at from another angle


Tangu nazaliwa huu mwaka wangu wa 50 wa kuzaliwa, sijawahi kuona Mama yangu Mzazi anapigwa na Baba yangu Mzazi...

Tangu naolewa huu NI mwaka wangu wa ndoa Miaka 30 sijawahi KUMWONA MUME WANGU ananipiga labda kama ananipiga mechi (dyudyu)

Hivi kwani sikuhizi vijana wamekuwaje? Mbona vijana Mnapiga wake zenu shida Nene?

Nipo na dadangu hapa ananiambia sijui Mwimbaji Martha Mwaipaja ameachana na mumewe kisa Amepigwa

Na mumewe anajiita Nabii

Sa mbona watumishi wa Mungu mnatuchanganya lakini

Ila sio mbaya maana Yesu alisema siku ya mwisho kutakuwa na Manabii wa Uongo!

Alafu kuna kasheria kamepita kanasema mwanamke ukipigwa mumeo anafungwa so watoto wangu muwe na akili ya kukimbilia kwenye dola mkipigwa

Jamaani wadogozangu wanaume naombeni msipige wake zenu mkioa plz...

WANAUME ACHENI KUPIGA WAKE ZENU.

 
Binafsi huwa najiuliza mwanaume anaye piga mwanamke yuko Sawa kichwani kweli [emoji848], Mwanamke anaye pigwa huwa anakaa Sawa kama wanavyo taka wao au ni nidhamu ya uwoga.
Me nadhani kichwani kunakuwa na nati imepwaya Kwa mpigaji
Kipigo kutoka kwa mwanaume ni moja ya kosa lisilo na msamaha wa dhati kutoka kwangu

Wasivyo na aibu anakupiga mchana usiku anaomba k.....maniner zao wanaopiga wake/wapenzi wao

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke hanabudi kupigwa ili akili yake ikae sawa ,nisikupige kwani mi babayako au we dada yangu .ukizingua lazima nikule kichwa
I dont entartain nonsense !

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mke wangu hata kama amekosea mtabishana mpaka kesho labda unyamaze wewe,sasa usipojizuia si utampasua?na kuna siku utakutwa temper ipo juu kuja kugundua umefanya kosa utakapomuona badala ya kubishana ameanza kulia,nyie acheni tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeona nywele tu wewe?!
Ndio nasema hv, huwezi kuishi ndani ya ndoa kwa taratibu za kwenu jinsi wazazi wako walivyokulea kisa una miaka 32+.
Kumuelewa mwenzio anapenda nini na hapendi nini?.. Wewe pia... Sio umri wako uwe kinga ya kutoelekezana..(never)
Mfano: sitaki urudi home usiku lakn wewe unakaidi kisa nimekukuta umeota nywele siwezi kukupangia... Kweli? Hii ndoa au disco vumbi?
 
Kuna dada alipigwa na mumewe akaenda kushitaki kwao. Wazee wake mwanamke walimsikilza wakampa pole tu na wakamwambia apumzike na baba mtu akasema ataenda mjini kumtafutia dawa mtoto wake huyo wa kike asipigwe tena na mumewe. Aliporudi akarudi na kajimkasi kadoogo cha kukatia mauwa kale akampa mtoto wake na kumwambia kesho rudi nyumbani kwa mume wako uuweke huu juu ya dressing munapoweka vipodozi vyenu. Mume wake yule mwanamke alipouliza hichi nini akamwbia kama kapewa na baba yake. Ikawa ndio mwisho wa kupigwa na mume wake.

N:B. Mwanamme akikupiga, msubiri alale usiku mtowe mapumbu!
Unajifariji tu..
Mfunze mwanao tabia nzuri aje aishi na watu vizuri sio ujinga wa mkopo kama huu.. utakuwa unamuumiza mwanao bure
 
Bana we. Elewa mwanamke 90% ya kinachomponzaga apigwe ni kiburi na kauli za dharau za kuropokwa zile pale ambapo mnapishana kauli!
Ukiwa na breki za mdomo au mpole ukawa unapigwa still jua umeolewa na kichaa! Maana walevi tu ndio wanapigaga bila sababu!
Kabisa mkuu, kupiga inaweza isifundishe ila kwa nn upigwe?
 
Hapa nasema inategemea sana na tabia zenu wawili, binafsi mke akiwa na heshima, staha, mwenye maneno ya busara, anajua nini cha kuongea na wakati gani...hata akikosea kidogo I wouldn't even think coz hata mimi namkosea.

Ila wale wenye zile tabia..aaaah. Lazima kuna siku tu, lazima!! Thank goodness nina mtu anajielewa sana!!
 
Tangu nazaliwa huu mwaka wangu wa 50 wa kuzaliwa, sijawahi kuona Mama yangu Mzazi anapigwa na Baba yangu Mzazi...

Tangu naolewa huu NI mwaka wangu wa ndoa Miaka 30 sijawahi KUMWONA MUME WANGU ananipiga labda kama ananipiga mechi (dyudyu)

Hivi kwani sikuhizi vijana wamekuwaje? Mbona vijana Mnapiga wake zenu shida Nene?

Nipo na dadangu hapa ananiambia sijui Mwimbaji Martha Mwaipaja ameachana na mumewe kisa Amepigwa

Na mumewe anajiita Nabii

Sa mbona watumishi wa Mungu mnatuchanganya lakini

Ila sio mbaya maana Yesu alisema siku ya mwisho kutakuwa na Manabii wa Uongo!

Alafu kuna kasheria kamepita kanasema mwanamke ukipigwa mumeo anafungwa so watoto wangu muwe na akili ya kukimbilia kwenye dola mkipigwa

Jamaani wadogozangu wanaume naombeni msipige wake zenu mkioa plz...

WANAUME ACHENI KUPIGA WAKE ZENU.

Yaani vijana wa siku hizi sijui wanakwama wapi...mke hapigwi atiii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom