Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 18,204
- 17,561
- Thread starter
- #241
SAWA ENDELEA KUPIGA!Maneno kama haya ndio hukaribisha makofi
Sent using Boeing 737-MAX 8
SAWA ENDELEA KUPIGA!Maneno kama haya ndio hukaribisha makofi
Sent using Boeing 737-MAX 8
MMMHWanaume wengi wetu sio waongeaji, hasa kubishana na mwanamke wako. Sasa kuna wanawake wanaongea kama cherehani, hata ujishushe vipi bado atataka tu akudhalilishe. Sasa kitendo cha kumkumbusha kwa makofi huwa kinatokea ghafla tu, (reflex). Unajikita ushamfunika uso na viganja
IVO EE?Maji yanapozidi unga kipigo hutokea,mtu hampigi mkewe kwa kupenda ila sometimes wanawake huwa mnavuka mipaka ya maudhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
IVO EE?
NYIE HAMNAGA MAUDHI?
huwezi ukamka tu asubuhi ukampiga mtu huwa kuna sababu na maujinga yake akiyaleta lazima apate kidogo kipigoMPIGE SA HIVI UONE
me nimesema mpige karne hii ya Ngosha uone!huwezi ukamka tu asubuhi ukampiga mtu huwa kuna sababu na maujinga yake akiyaleta lazima apate kidogo kipigo
dohhakuna mwanamke sub,missive anapigwa, washauri waache ujinga wao kuliko kushangaa mwanaume kumpa kipigo; RAFIKI YUPI, sio hao wanawake wenzako
imekuwaje mpaka ukachitiwa na wewe unajiita kidume?Ujue kuwa mwanamke akianza kukucheat anakuwa ameshakudharau hata ukimuuliza kitu anaweza akakujibu hovyo. Msidhani kuwa wanaume tunarukia na kupiga tu bila kuelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
picha haijafunguka Honey, nitumie pmTwende Egypt Honey Money Penny
Baba tina weee!hilo pumbu ukilishika afu ukakosea kulishika vema....basi ujue ushakufa....maana hasira zake huyo mwanaume zitakuwa bora za mbogo....trust me eneo unalidhamiria kushika maumivu yake ni sawa na kuingiza mkono mdomoni utake kutoa moyo wa jamaa...
WORD!Wengi wanaowakun'guta wake zao hawapendi. Hukute, wameonya imeshindikana. Wamejaribu kuwa wapole dhidi yao wanapandwa kichwani. Sasa mwanaume gani atakubali apandwe kichwani?...nyakati nyingine mwanamke hupigwa ili mwanaume ajilindie heshima yake. Utakuta mwanamke anapigwa daily lakini harudi kwao kwa kuwa anafahamu yeye ndo mwenye kosa, ila hapendi kujirekebisha. Ofcoarse, kumpiga mwanamke si jambo jema, ni bora muachane pasipo ugomvi. Tatizo linalowakumba wanawake wengi ni kutowatambua vyema waume zao. Kuwajibu kwa maudhi, na kejeli pia ni tatizo. Ila mwanaume ukimpiga mkeo kisa kakuambia uache ulevi kisa hufanyi maendeleo yoyote kwao wewe utakuwa mjinga tu.
SAWA NGOSHA!Huku kwetu mwanamke usipomtifua walau makofi, anajua humpendi
imekuwaje mpaka ukachitiwa na wewe unajiita kidume?
hehehe
Karibu mkoa wa Mara😎SAWA NGOSHA!
Mmmh! Unamsingizia jamaa sasa eeHii niliiona kwa mke wa jamaa yangu muda umepita kidogo, na waliachana.
Huko sijiKaribu mkoa wa Mara😎
Vipi kuna tatizo sehemu???Doh
Sawa gentlemen