Hawachi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 12,010
- 54,203
Labla unipige mahusiano yaishe hapo la sivyo akisubutu kuniomba msamaha nitamsamehe kinafiki ila maji ya moto yatazungumza kwenye mwili wake.Hahah utauana na John Cena?
Labla unipige mahusiano yaishe hapo la sivyo akisubutu kuniomba msamaha nitamsamehe kinafiki ila maji ya moto yatazungumza kwenye mwili wake.Hahah utauana na John Cena?
Hivi nyinyi wanaume wa kizazi gani vile 🤔Umenena ukweli na ni mchungu sana huu kwa hawa Wanawake wa kizazi hiki[emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha ngoja nikucheke tuKama umechepuka nikakunasa unakula makofi ya umeme na aibu zako na talaka juu!
Kwenye app hamna emojiLabla unipige mahusiano yaishe hapo la sivyo akisubutu kuniomba msamaha nitamsamehe kinafiki ila maji ya moto yatazungumza kwenye mwili wake.
Binafsi huwa natoaga tahadhari kabisa kabla hatujaingia kwenye mahusiano kipigo hasira zake siwezi kuzuia wala kuvumilia kama nimekosea niambie ni mwepesi kuomba msamaha na kujirekebisha ila kuwa mondia kwenye mwili wangu aisee tutazinguana mbaya.Kwenye app hamna emoji
Kwaaah kwaaa kwaaah nimekupigia makofi mazito
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipigo sio ishu usawa huuBinafsi huwa natoaga tahadhari kabisa kabla hatujaingia kwenye mahusiano kipigo hasira zake siwezi kuzuia wala kuvumilia kama nimekosea niambie ni mwepesi kuomba msamaha na kujirekebisha ila kuwa mondia kwenye mwili wangu aisee tutazinguana mbaya.
Hahahah haters watakuita gaidiWrite your reply...nyie leteni uzungu wenu hapa Kama hauna adabu lazima nikudunde.
Uhai wa kubembeleza
Kama mwepesi kuomba msamaha na kujirekebisha kupigwa utabaki kupasikia ESPN na WWE tu! Huwa tunapiga yale majanamke majuaji ambayo hayaoni makosa yao na mabingwa wa kupayuka!Binafsi huwa natoaga tahadhari kabisa kabla hatujaingia kwenye mahusiano kipigo hasira zake siwezi kuzuia wala kuvumilia kama nimekosea niambie ni mwepesi kuomba msamaha na kujirekebisha ila kuwa mondia kwenye mwili wangu aisee tutazinguana mbaya.
Namimi nakucheka ki jiwe hiiiiii!!!
Adabu na hekim ndio ishu zaidi, ukivikosa hivyo hutachukua round utakula umeme tu!
Hahah na uombee hayo maji yaniue tu. Nikipona ujue kaburi ni halali yako! Maana mwanamke kuwa na kisasi haipendezi hata mbele ya lucifer! Nikipona ujue umeondoka wewe na nchi nzima itajua kwamba i dont give a flying fuckk kuishia jela.Labla unipige mahusiano yaishe hapo la sivyo akisubutu kuniomba msamaha nitamsamehe kinafiki ila maji ya moto yatazungumza kwenye mwili wake.
Utanionea wapi niko na passport yangu Nchi nyingi naweza kwenda kuishi raha kabisaHahah na uombee hayo maji yaniue tu. Nikipona ujue kaburi ni halali yako!
Kwa visa, vitimbi mnavyo fanya wanaume wanawake tungekuwa wapigaji nahisi tungeuwa kabisa sema sisi ni wavumilivu sanaAdabu na hekim ndio ishu zaidi, ukivikosa hivyo hutachukua round utakula umeme tu!
Hahah sikujua kuwa una akili za kitoto namna hii. Ukikua utaelewa kwanini mamaako hakukimbia makofi kwa mzee wako au baba yake!Utanionea wapi niko na passport yangu Nchi nyingi naweza kwenda kuishi raha kabisa
Visa gani hivyo, mbona mie sina!Kwa visa, vitimbi mnavyo fanya wanaume wanawake tungekuwa wapigaji nahisi tungeuwa kabisa sema sisi ni wavumilivu sana
Unaona umetoka nje ya mada 😄😄😄Hahah sikujua kuwa una akili za kitoto namna hii. Ukikua utaelewa kwanini mamaako hakukimbia makofi kwa mzee wako au baba yake!
Hicho kibesi pelekea hao wengineAdabu na hekim ndio ishu zaidi, ukivikosa hivyo hutachukua round utakula umeme tu!