Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,402
- 191,524
Dah samehe tu mama sasa utahold kitu hiko hadi lini? Kumbuka nawewe unalilia msamaha wa mungu kila jumapili! How can God forgive you in that manner?
Dah samehe tu mama sasa utahold kitu hiko hadi lini? Kumbuka nawewe unalilia msamaha wa mungu kila jumapili! How can God forgive you in that manner?
Kesho fanya kunikumbuka kwenye maombiDah samehe tu mama sasa utahold kitu hiko hadi lini? Kumbuka nawewe unalilia msamaha wa mungu kila jumapili! How can God forgive you in that manner?
Amen. Ntakukumbuka hakika! Kumpiga mwanamke naempenda nishawahi na atlast alikuwa anafahamu nini kinachonifanya nimbutue. So tunasawazisha tu mambo yanaenda!Kesho fanya kunikumbuka kwenye maombi
Ila usije mpiga mwanamke uliye na mahusiano nae kimapenzi.....ukipata mtata anakuharibia mtaishi kwa visasi zipo adhabu nyingi tu mwenzi wako anayoweza kukuadhibu na kuharibu kabisa maisha yako
Umeshindwa ni mara bilioni ukamuacha lkn sio kupiga
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen. Ntakukumbuka hakika! Kumpiga mwanamke naempenda nishawahi na atlast alikuwa anafahamu nini kinachonifanya nimbutue. So tunasawazisha tu mambo yanaenda!
Toka ulivyo bumbua huyo mwanamke hatokupenda kama mwanzo.Amen. Ntakukumbuka hakika! Kumpiga mwanamke naempenda nishawahi na atlast alikuwa anafahamu nini kinachonifanya nimbutue. So tunasawazisha tu mambo yanaenda!
Mwanamke nilie nae haweki vitu moyoni. Nilishamsoma mapema sana. Pia mie mwanamke wa visasi simtaki na wala sitawezana nae! Nikishakuona mtu wa kuweka mambo moyoni mara 1-2-3 nakutemaHaya jipe moyo kuwa mmesawazisha hata huyo aliyenibutua anajua hivyo hivyo 'tumesawazisha'
Sent using Jamii Forums mobile app
Alikuwa mtoto by that time. Wenge lile ila kwa sasa ana ukomavu wa kutosha. The way she thinks and the way we communicate ni mtu mzima sasa. Alikuwa anafanya makusudi thats why nilikuwa namgonga makonziToka ulivyo bumbua huyo mwanamke hatokupenda kama mwanzo.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwanaume anaempiga mkewe ukimkuta anavyodharaulika huko kibaruani kwake!
Naona huwa wanamalizia stress kwa wake zao
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanamke nilie nae haweki vitu moyoni. Nilishamsoma mapema sana. Pia mie mwanamke wa visasi simtaki na wala sitawezana nae! Nikishakuona mtu wa kuweka mambo moyoni mara 1-2-3 nakutema
Yani unafeel proud kabisa kumbutua mtu.....hupendwi kama mwanzo hilo ulijueAlikuwa mtoto by that time. Wenge lile ila kwa sasa ana ukomavu wa kutosha. The way she thinks and the way we communicate ni mtu mzima sasa. Alikuwa anafanya makusudi thats why nilikuwa namgonga makonzi
Sawa mama mie nakubali nisipendwe ila ujinga huwa siwezagi kuulea!Yani unafeel proud kabisa kumbutua mtu.....hupendwi kama mwanzo hilo ulijue
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wanawake mna midomo sana. Silaha ya mwanamke ni mdomo ila silaha ya mwanaume ni mikono yake.Tangu nazaliwa huu mwaka wangu wa 50 wa kuzaliwa, sijawahi kuona Mama yangu Mzazi anapigwa na Baba yangu Mzazi...
Tangu naolewa huu NI mwaka wangu wa ndoa Miaka 30 sijawahi KUMWONA MUME WANGU ananipiga labda kama ananipiga mechi (dyudyu)
Hivi kwani sikuhizi vijana wamekuwaje? Mbona vijana Mnapiga wake zenu shida Nene?
Nipo na dadangu hapa ananiambia sijui Mwimbaji Martha Mwaipaja ameachana na mumewe kisa Amepigwa
Na mumewe anajiita Nabii
Sa mbona watumishi wa Mungu mnatuchanganya lakini
Ila sio mbaya maana Yesu alisema siku ya mwisho kutakuwa na Manabii wa Uongo!
Alafu kuna kasheria kamepita kanasema mwanamke ukipigwa mumeo anafungwa so watoto wangu muwe na akili ya kukimbilia kwenye dola mkipigwa
Jamaani wadogozangu wanaume naombeni msipige wake zenu mkioa plz...
WANAUME ACHENI KUPIGA WAKE ZENU.
Sababu kubwa wanawake wanapigwa ni naneno/mdomo,midomo inawaponza sana.Wanaume viazi mbatata wanatupiga hivyo hivyo na uzuri wetu hadi wanatupa ngeo na alama,
heri yako wewe unaeogopa kutuharibu hata kuinua mkono kumpiga mwanamke naamini huwezi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu sio kumbadilisha ila kumshitua na kuwekana sawa.Mwenye shida NI wewe
Unataka kumbadilisha mtu mwenye meno 32 hautaweza
Ungemuoa Akiwa na Miaka 18 ndio mngedumu
Samaki mkunje angali mbichi son
hahaahhaUfala tu, akaseme alee watoto mwenyewe! Shule zenyewe vidudu tu ada laki 8!
inategemea, sio kwenye kupiga lknIla anaebwabwaja utumbo na kuropoka kishenzi anakuwa yuko sahihi sio?
umeona nywele tu wewe?!Ishu sio kumbadilisha ila kumshitua na kuwekana sawa.
Ndoa au mke sio nywele bandia ()