Wanaume acheni kupiga wake zenu

Wanaume acheni kupiga wake zenu

Mi kademu kangu ni kakorofi mnoo.. huwa kanaidhibiti michepuko yangu kwa kipigo hata wale kanaowahisi kuwa nachepuka nao huwa kanawafanyia fujo..Sasa juzi kamejichanganya anga zangu kakataka kunipasulia simu.. nilikawasha kibao cha usoni kabla akajaamini kilichokea nikakaongeza kingine nikamalizia na teke kisha mtama akabimiza kisogo kwenye kitanda akalia eti nimemtoa kizazi.. saivi ananiheshimu mnooooo
Mmmh we utakuwa mkurya ulieshindikana kama sio mmasai
Njoo usome hii shida ya Taifa 50thebe na Smart911
 
Wako wanaume wengi udhani wameoa mke kumbe wameoa shetani. Mwanamke anakuwa na mdomo na ujuaji hataki kukaa sehemu yake kama mke na anataka kumtawala Mme. Nashauri vijana wanaooa siku hizi bora mkae mpenzi wako angalau miaka 5 ndo mfunge ndoa vinginevyo wanawake wa siku hizi ukikutana na haya mashetani utajuta au utafungwa au utaua. Unakuta mmeishazaa na watoto ukiwaangalia bado wanahitaji malezi yenu wakati limwanamke aliambiliki ndo maana wanaume unaamua ulitwange kisago cha maana akili ikae sawa. Maana ukisema ulifukuze yanakuja masheria ya kugawana mali wakati Mali hiyo jasho na nguvu za kuipata ni mwanaume. Mzee! Nakwambia ni shiidaaaaah!

Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 5 kumjua mwanamke basi we mwanaume utakuwa tahira
Miezi 6 ushajua tabia ya mwanamke umechelewa sana mwaka boss
 
Back
Top Bottom