Wanaotathimini Umaskini Mkoa wa Kagera waongo. Ukikusanya nyumba zote zilizojengwa mwaka 2015-2021 unapata mji wa Arusha

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,116
Wana Jf

Nimefanya ziara ya kiutafiti wa sehemu inayoweza kustawisha zao la kibiashara kwa ubora wa juu. Nilishangazwa kukutana na maendeleo yaliyopo mkoa wa kagera. Hususani nyumba za kifahari ambazo ukikusanya unaweza kupata mji wa Arusha. Nlijiuliza kwanini wahaya hawajengi mji. Kumbe wana jambo Lao.

Jibu, wahaya wanapenda sana kula chakula cha asili, mjini ni kwa ajiri ya wageni, hivyo wameamua kujenga kijijini ili waweze kupumzika bila bughuza. Wahaya wengi wanamiliki wafanyakazi katika mashamba yao, hawana haja ya kuinvest mjini kwani hawapatumii. Anaposhuka uwanjawa ndege au kwenye mabasi, uwahi nyimbani kuchinja majogoo na mbuzi, mjini anaweza fika kununua samaki tu. Kwa sasa walioamua kuwekeza kwenye kilimo cha parachichi, kahawa, vanilla,alizeti ,viazi mviringo na magimbi hawana haja ya kukaa mjini kila siku ni kutoa hela tu, bali wanapenda kukaa vijijini kuhudumia mifugo.

Usije sema hawapendi kwao wao sio kama makabila mengine wanoogopa kujenga vijijini kwa visingizio vya kulogwa au kufanyiwa vibaya ,Nendeni mkaone mijumba yakufa mtu alafu mrudi na hoja nyepesi kuwa awapendi kwai. Bukoba wamenyimwa stand na serikali lakini badowakapigana kujenga vijiji bora. Wamenyimwa uwanja mkubwa wa ndege wakaubadirishia Chato wakati wapanda ndege wengi ni wahaya na wakanda.
Kilichokuwa kinawakwamisha ni ukabila sasa makabila mengi yameingia bukoba kulima na kufanya biashara. Wapo masai kibao wanalinda, wapo wasukuma wanalima mpunga, wapo wachaga wamejenga mabaa kibao, wapo wanyairamba wameajiliwa na wachaga kwenye mabaa. Kila kabila lipo acheni uoga mjooni bukoba kumenoga. Mimi nimetoka njombe kuja kulima vanila karagwe

20211016_153022.jpg
 
Nilienda sehemu moja inaitwa ibwela mwaka 2010 Ni kijijini kabisa Yule dingi alikuwa na bonge la juma na bado nilipita nyumba zaidi ya 10 za kufahari ziko mbali mbali lakini za kileo full umeme miaka hiyo.

Imagine mwaka huo jumba lilikuwa na choo na bafu ndani na Ngombe wa kisasa wanafugwa kwenye zizi nje na alikuwa na wafanyakazi kutoka Burundi Kama 3 wanahudumia ng'ombe .

Nilichogundua watu hatutembei pita kuanzia bujugo, kanazi, Mgaza, Kyema, Katoke, karagwe pote uko watu wamejenga majumba ya kifahari imagine umeme upo mpaka interior kabisa na wamebarikiwa maji safi na salama ya asili

Home Mimi machame Ni pazuri but Bukoba vijiji is beautiful pia na uoto wa asili.

Bukoba mjini ndio pabaya kwa sababu ya miundombinu ila vijijini wamejenga Kama ulivyo mkoa wa kilimanjaro.

Naweza sema Wachaga na wahaya wanajenga Sana sio miji yao Bali kwao iwe kijijini au mjini wanajenga aise...!!

But all in all Tanzania is beautiful!!
Baada ya kusemwa seema muda mrefu watu binafsi wamejenga shule za kisasa hatari, Kaizilege, Kemibos, Kibira, na kila wilayabina English media kama tatu mpaka tano, tatizo watu hawajui, baada ya lami watu wengi wanafanya shughuli asubuhi mjini kisha wanenda kulala makes a kwa utulivu, wengi hawapendi bughuza kama za dar na mwanza, wanapenda kutuliza akili. Mtu akashangaa stand, wakati wageni wengi wanotumia manus makubwa wanaanza kushukia Miami. Kwenda makes. Kutoka biharamulo mpaka bukoba mjini wanaoshuka muleba , mute, mpaka komodo wengi. Tunachohitaji ni kiwanda kikubwa cha ndege sio stand
 
Wana Jf

Nimefanya ziara ya kiutafiti wa sehemu inayoweza kustawisha zao la kibiashara kwa ubora wa juu. Nilishangazwa kukutana na maendeleo yaliyopo mkoa wa kagera. Hususani nyumba za kifahari ambazo ukikusanya unaweza kupata mji wa Arusha. Nlijiuliza kwanini wahaya hawajengi mji.

Jibu, wahaya wanapenda sana kula chakula cha asili, mjini ni kwa ajiri ya wageni, hivyo wanaamua kujenga kijijini ili waweze kupumzika bila bughuza. Wahaya wengi wanamiliki wafanyakazi katika mashamba yao, hawana haja ya kuinvest mjini kwani hawapatumii. Anaposhuka uwanjawa hedge au kwenye mabasi, uwahi nyimbani kuchinja majogoo na mbuzi, mjini anaweza fika kununua samaki tu. Kwa sasa walioamua kuwekeza kkwenye kilimo cha parachichi, kagawa, vanilla,alizeti hawana hivi ya kukaa mjini kila siku ni kutoa hela bali wanapenda kukaa vijijini kuhudumia mifugo.

Usije sema hawapendi kwao wao sio kama makabila mengine wanoogopa kujenga vijijini kwa visingizio vya kulogwa au kufanyowa bay. Nendeni mkaone mijumba yakufa mtu alafu mrudi na hoja nyepesi kuwa awapendi kwai. Bukoba wamenyimwa stand na serikali lakini wanaumiwa watu binafsi. Wamenyimwa uwanja mkubwa wa ndege wakaubadirishia Chato wakati wapanda ndege wengi ni wahaya na wakanda.
Huoni kwamba wewe mhaya ndio unapiga sound tuu hapa.

Yaani nyumba za mkoa 1 zinatoshana na nyumba za Jiji Zima, kweli huko kimejaa mafukara aisee
 
Wana Jf

Nimefanya ziara ya kiutafiti wa sehemu inayoweza kustawisha zao la kibiashara kwa ubora wa juu. Nilishangazwa kukutana na maendeleo yaliyopo mkoa wa kagera. Hususani nyumba za kifahari ambazo ukikusanya unaweza kupata mji wa Arusha. Nlijiuliza kwanini wahaya hawajengi mji.

Jibu, wahaya wanapenda sana kula chakula cha asili, mjini ni kwa ajiri ya wageni, hivyo wanaamua kujenga kijijini ili waweze kupumzika bila bughuza. Wahaya wengi wanamiliki wafanyakazi katika mashamba yao, hawana haja ya kuinvest mjini kwani hawapatumii. Anaposhuka uwanjawa hedge au kwenye mabasi, uwahi nyimbani kuchinja majogoo na mbuzi, mjini anaweza fika kununua samaki tu. Kwa sasa walioamua kuwekeza kkwenye kilimo cha parachichi, kagawa, vanilla,alizeti hawana hivi ya kukaa mjini kila siku ni kutoa hela bali wanapenda kukaa vijijini kuhudumia mifugo.

Usije sema hawapendi kwao wao sio kama makabila mengine wanoogopa kujenga vijijini kwa visingizio vya kulogwa au kufanyowa bay. Nendeni mkaone mijumba yakufa mtu alafu mrudi na hoja nyepesi kuwa awapendi kwai. Bukoba wamenyimwa stand na serikali lakini wanaumiwa watu binafsi. Wamenyimwa uwanja mkubwa wa ndege wakaubadirishia Chato wakati wapanda ndege wengi ni wahaya na wakanda.
Acha upuuzi
 
Nilienda sehemu moja inaitwa ibwela mwaka 2010 Ni kijijini kabisa Yule dingi alikuwa na bonge la juma na bado nilipita nyumba zaidi ya 10 za kufahari ziko mbali mbali lakini za kileo full umeme miaka hiyo.

Imagine mwaka huo jumba lilikuwa na choo na bafu ndani na Ngombe wa kisasa wanafugwa kwenye zizi nje na alikuwa na wafanyakazi kutoka Burundi Kama 3 wanahudumia ng'ombe .

Nilichogundua watu hatutembei pita kuanzia bujugo, kanazi, Mgaza, Kyema, Katoke, karagwe pote uko watu wamejenga majumba ya kifahari imagine umeme upo mpaka interior kabisa na wamebarikiwa maji safi na salama ya asili

Home Mimi machame Ni pazuri but Bukoba vijiji is beautiful pia na uoto wa asili.

Bukoba mjini ndio pabaya kwa sababu ya miundombinu ila vijijini wamejenga Kama ulivyo mkoa wa kilimanjaro.

Naweza sema Wachaga na wahaya wanajenga Sana sio miji yao Bali kwao iwe kijijini au mjini wanajenga aise...!!

But all in all Tanzania is beautiful!!
Machame wana magofu ya mwaka 47, sasahivi hawana kitu,
Wewe ni Bwenga wala usijishaue kua mchaga
 
Nilienda sehemu moja inaitwa ibwela mwaka 2010 Ni kijijini kabisa Yule dingi alikuwa na bonge la juma na bado nilipita nyumba zaidi ya 10 za kufahari ziko mbali mbali lakini za kileo full umeme miaka hiyo.

Imagine mwaka huo jumba lilikuwa na choo na bafu ndani na Ngombe wa kisasa wanafugwa kwenye zizi nje na alikuwa na wafanyakazi kutoka Burundi Kama 3 wanahudumia ng'ombe .

Nilichogundua watu hatutembei pita kuanzia bujugo, kanazi, Mgaza, Kyema, Katoke, karagwe pote uko watu wamejenga majumba ya kifahari imagine umeme upo mpaka interior kabisa na wamebarikiwa maji safi na salama ya asili

Home Mimi machame Ni pazuri but Bukoba vijiji is beautiful pia na uoto wa asili.

Bukoba mjini ndio pabaya kwa sababu ya miundombinu ila vijijini wamejenga Kama ulivyo mkoa wa kilimanjaro.

Naweza sema Wachaga na wahaya wanajenga Sana sio miji yao Bali kwao iwe kijijini au mjini wanajenga aise...!!

But all in all Tanzania is beautiful!!
Wewe mmachame wapi bwana?
Its okey kukiendelea. Ila nachoshangaa ni hii 2010 ndo wamejenga na unaona ni ajabu kweli. Wewe ni muhaya. And its okey. Yaan umeme vijijini imekua jambo kubwa hivi?
Inabidi serikali ijizatiti sana aisee. Mfano chato kujenga hospitali sijui nn sina tatizo kabisa maana naamini kila mahali panahitaji facilities bora. Airport ya chato kama kweli ina tija sina tatizo. Kila mahali wanastahili huduma zote muhimu. Serikali inazingua snaa. Manguzo ya umeme tunazalisha wenyewe ila wanafanya kama vile ni biashara wakati ni moja ya huduma muhimu ktk jamii.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Machame wana magofu ya mwaka 47, sasahivi hawana kitu,
Wewe ni Bwenga wala usijishaue kua mchaga
Tukiyaita magofu tunakosea maana walitutangulia aisee. Machame na marangu wao walienda shule. Warombo na wakibosho tukafanya biashara. Enzi hizo marangu na machame ndo walikua na pesa. Sasa hivi wakinosho na warombo ndo wenye hela. Hata siku moja msomi hana hela. Hawa darasa la saba ndo wanatutunikisha. Ila hapo kwa jama akujiita mmachame ni muomgo.

Sent from my SM-G960U using JamiiForums mobile app
 
Wahaya mna jambo lenu leo. Mnapenda misifa ndiyo maana hamna maendeleo
Subiri IHUNGO ikubaliwe kuwa University maprofesa wabobezi waliojaza Kagera waamue kuifanya university ya kweli usubili matokea. Ya english media, secondary, high school wamemaliza.
 
Wana Jf

Nimefanya ziara ya kiutafiti wa sehemu inayoweza kustawisha zao la kibiashara kwa ubora wa juu. Nilishangazwa kukutana na maendeleo yaliyopo mkoa wa kagera. Hususani nyumba za kifahari ambazo ukikusanya unaweza kupata mji wa Arusha. Nlijiuliza kwanini wahaya hawajengi mji.

Jibu, wahaya wanapenda sana kula chakula cha asili, mjini ni kwa ajiri ya wageni, hivyo wanaamua kujenga kijijini ili waweze kupumzika bila bughuza. Wahaya wengi wanamiliki wafanyakazi katika mashamba yao, hawana haja ya kuinvest mjini kwani hawapatumii. Anaposhuka uwanjawa hedge au kwenye mabasi, uwahi nyimbani kuchinja majogoo na mbuzi, mjini anaweza fika kununua samaki tu. Kwa sasa walioamua kuwekeza kkwenye kilimo cha parachichi, kagawa, vanilla,alizeti hawana hivi ya kukaa mjini kila siku ni kutoa hela bali wanapenda kukaa vijijini kuhudumia mifugo.

Usije sema hawapendi kwao wao sio kama makabila mengine wanoogopa kujenga vijijini kwa visingizio vya kulogwa au kufanyowa bay. Nendeni mkaone mijumba yakufa mtu alafu mrudi na hoja nyepesi kuwa awapendi kwai. Bukoba wamenyimwa stand na serikali lakini wanaumiwa watu binafsi. Wamenyimwa uwanja mkubwa wa ndege wakaubadirishia Chato wakati wapanda ndege wengi ni wahaya na wakanda.
Nenda njiro na Mererani halafu urudi hapa,usibwabwaje tuu,ni hivi huko kati kai ya miji hakuna majumba makali kama pembezini maana kupata kiwanja ni ishu nyingine.
 
Nenda njiro na Mererani halafu urudi hapa,usibwabwaje tuu,ni hivi huko kati kai ya miji hakuna majumba makali kama pembezini maana kupata kiwanja ni ishu nyingine.
Huko kote nimeenda. Bado idadi ya majumba mazito na makali haijafikia bukoba japokuwa yamekaa sehemu moja bukoba yametapakaa
 
Mbona kama unakurupuka
Wana Jf

Nimefanya ziara ya kiutafiti wa sehemu inayoweza kustawisha zao la kibiashara kwa ubora wa juu. Nilishangazwa kukutana na maendeleo yaliyopo mkoa wa kagera. Hususani nyumba za kifahari ambazo ukikusanya unaweza kupata mji wa Arusha. Nlijiuliza kwanini wahaya hawajengi mji.

Jibu, wahaya wanapenda sana kula chakula cha asili, mjini ni kwa ajiri ya wageni, hivyo wanaamua kujenga kijijini ili waweze kupumzika bila bughuza. Wahaya wengi wanamiliki wafanyakazi katika mashamba yao, hawana haja ya kuinvest mjini kwani hawapatumii. Anaposhuka uwanjawa hedge au kwenye mabasi, uwahi nyimbani kuchinja majogoo na mbuzi, mjini anaweza fika kununua samaki tu. Kwa sasa walioamua kuwekeza kkwenye kilimo cha parachichi, kagawa, vanilla,alizeti hawana hivi ya kukaa mjini kila siku ni kutoa hela bali wanapenda kukaa vijijini kuhudumia mifugo.

Usije sema hawapendi kwao wao sio kama makabila mengine wanoogopa kujenga vijijini kwa visingizio vya kulogwa au kufanyowa bay. Nendeni mkaone mijumba yakufa mtu alafu mrudi na hoja nyepesi kuwa awapendi kwai. Bukoba wamenyimwa stand na serikali lakini wanaumiwa watu binafsi. Wamenyimwa uwanja mkubwa wa ndege wakaubadirishia Chato wakati wapanda ndege wengi ni wahaya na wakanda.
 
Back
Top Bottom