Wanaosema 'Money Can't Buy Happiness...'!

Wanaosema 'Money Can't Buy Happiness...'!

Furaha ni emotional na inatokea kulingana na mwili kureact na mazingira plus watu

Sasa ebu niambie unamaanisha ??

maana pesa inanunua misosi mizuri huwezi furahi ww
Pesa inaleta Bia tamu usifurahi hapo
Pesa itakupa mwanamke mzuri duniani usifurahi kweli

Besa inakuwezesha kutimiza ndoto zako usifurahi kweli
Kinacholeta furaha ni kutatuliwa matatizo yako na hela
 
Money can't buy love but can give you happiness unaweza kwenda sehemu yoyote uka enjoy ila upendo wa dhati unaweza usipate hata ukiwa na ela ila furaha unapata muda wowote ukiwa na pesa
Hela inanunua upendo vizuri tuu ndio maana manara anakula madem wakali anavyotaka hata kama hawana true love lakini kawadinya style zote anazotaka hilo ndio la muhimu, achana na pesa mkuu.
 
Inategemea na furaha yako inatokana na nini ndo maana mwingine akimoka ndo anahisi ku-enjoy wakati mwingine akilewa pia ndo huisi furaha, Mwingine furaha yake inategemea na mood ya siku yake.... Furaha ina vyanzo vingi kutokana na uhitaji wa mtu ila ukiwa na Fedha unakuwa na options nyingi zaidi za kuamua furaha yako itokane na nini
 
Hela inanunua kila kitu had Uhai.
Usijesema hukuambiwaaa.
 
Ukisikia watu wanasema, pesa sio kila kitu,au pesa haileti furaha, hao ujue, wamepishana na gari LA benk!
Pesa sio kila kitu, lakini kila kitu kinahititaji pesa.
 
Back
Top Bottom