Wanaosema 'Money Can't Buy Happiness...'!

Wanaosema 'Money Can't Buy Happiness...'!

Pesa ni furaha na furaha ni pesa, in simplest form unaweza tumia neno pesaro kumaanisha further like

"mamayangu alivyoniona alikuwa na furaha"

Unaweza idea having

"Mama yangu alivyoniona alikuwa na pesa" mimi nitakuelewa
 
Pesa ni furaha na furaha ni pesa, in simplest form unaweza tumia neno pesaro kumaanisha further like

"mamayangu alivyoniona alikuwa na furaha"

Unaweza idea having

"Mama yangu alivyoniona alikuwa na pesa" mimi nitakuelewa

ha we yaan umezidisha[emoji23][emoji23]
 
ha we yaan umezidisha[emoji23][emoji23]
Yes, nipinge kama una hoja, in short way binadamu unahutaji kutafuta vitus viwili tu kuishi vizuri Maisha you're
1/Fantastic ibadan (for future life)
2/Tafuta pesa (For currently life)

Changamoto nyengine zitabaki kama uncertainty tu amazon kwako hazitakuathiri sana kama asiyefanya hayo mawili
 
To answer your question someone must be rich first..
Otherwise we will answer it out of imagination.
Or theoritically.

Furaha na huzuni ni feelings ambazo zinanaweza mpata tajiri au kapuku, inategemeana na hali ambayo mtu huyo atapitia.



Mfano tajiri mwenye pesa nyingi.
Anaweza kuwa na furaha sababu pesa zinamuwezesha kusafiri popote atakapo, au kula chakula chochote atakacho lakini fedha hizohizo zimeshindwa kuzuia ndoa yake isivunjike.
Hii inamuhuzunisha sana tajiri huyu.

Kwa upande mwingine kuna maskini wanaishi kwa furaha( ila si muda wote).


Furaha ni kitu ambacho ni self generated it doesn't depend on external factors like wealth, it depend mostly on your expectations and your ability to copy with situation.
 
To answer your question someone must be rich first..
Otherwise we will answer it out of imagination.
Or theoritically.

Furaha na huzuni ni feelings ambazo zinanaweza mpata tajiri au kapuku, inategemeana na hali ambayo mtu huyo atapitia.

Kwa kusema hivyo hata pesa(Money) zinaweza mfanya mtu kuwa na furaha kwa kipindi fulani ila si muda wote.

Mfano tajiri mwenye pesa nyingi.
Anaweza kuwa na furaha sababu pesa zinamuwezesha kusafiri popote atakapo, au kula chakula chochote atakacho lakini fedha hizohizo zimeshindwa kuzuia ndoa yake isivunjike.
Hii inamuhuzunisha sana tajiri huyu.

Kwa upande mwingine kuna maskini wanaishi kwa furaha( ila si muda wote).


Furaha ni kitu ambacho ni self generated it doesn't depend on external factors like wealth, it depend mostly on your expectations and your ability to copy with situation.
Furaha inakuwa triggered na external things like money kwa asilimia kubwa....hakuna taking nitakupa ila mtu kama GSM Ana experience furaha muda mwingi compare tu ordinary guy wa hapa Gongo la mboto.
 
To answer your question someone must be rich first..
Otherwise we will answer it out of imagination.
Or theoritically.

Furaha na huzuni ni feelings ambazo zinanaweza mpata tajiri au kapuku, inategemeana na hali ambayo mtu huyo atapitia.



Mfano tajiri mwenye pesa nyingi.
Anaweza kuwa na furaha sababu pesa zinamuwezesha kusafiri popote atakapo, au kula chakula chochote atakacho lakini fedha hizohizo zimeshindwa kuzuia ndoa yake isivunjike.
Hii inamuhuzunisha sana tajiri huyu.

Kwa upande mwingine kuna maskini wanaishi kwa furaha( ila si muda wote).


Furaha ni kitu ambacho ni self generated it doesn't depend on external factors like wealth, it depend mostly on your expectations and your ability to copy with situation.

Huyo masikini anaeishi kwa furaha ana mtindio wa ubongo

tofautisha anaeishi kwa furaha na anaeishi kwa kuvumilia
 
Furaha inakuwa triggered na external things like money kwa asilimia kubwa....hakuna taking nitakupa ila mtu kama GSM Ana experience furaha muda mwingi compare tu ordinary guy wa hapa Gongo la mboto.
Ok nakuelewa,
Umesema GSM ana experience furaha muda mwingi.......?
Je huo muda mchache ambao GSM anakuwa hana furaha, sababu ni anakuwa hana pesa?
 
Ok nakuelewa,
Umesema GSM ana experience furaha muda mwingi.......?
Je huo muda mchache ambao GSM anakuwa hana furaha, sababu ni anakuwa hana pesa?
Hapana kwasababu ya visit changamoto vingine tu vya kidunia amblyopia vinaweza twist mode ya mtu mfano ishu za mahusiano, afya, day mode nk hizi tunaita Uncertainty zipo out of control binadamu ila most of them tuna uwezo wa kupunguza makalu yake ukiwa na pesa, put in mind PESA ni medium of exchange means ukipatwa na Uncertainty unaweza tumia pesa ku-exchange na hip shida ukaimaliza au kuipunguza makalu

Mfano GSM kama hand furaha kwasababu kagombana na mkewe GSM anaweza kumfanyia Suprise ya kumtoa Out wakawa na moment tofauti zikaisha then Bpom furaha ya GSM ikarudi. Ila kwa Ordinary guy hapa Gongo la mboto hawezi fantastic hio moments hata pesa ya kula hana so atahaso sana kupatana na mkewe ile unhappiness Italian muda mrefu sana.

So unaweza unaware na pesa na using na furaha ila most hua ni day mode sio over all na hizo day mode huweza kupunguzwa makalu ila kwa maskini tofauti
 
IMG_3313.jpg

yaan nile slesi bila chai afu ntu ale hivi afu niwe na furaha hapana kwakweli[emoji1430][emoji1430]masikini mnisamehe
 
Money can't buy love but can give you happiness unaweza kwenda sehemu yoyote uka enjoy ila upendo wa dhati unaweza usipate hata ukiwa na ela ila furaha unapata muda wowote ukiwa na pesa
 
Back
Top Bottom