Planet Data bundles
JF-Expert Member
- Sep 22, 2022
- 2,403
- 4,361
Mi nisiyeweza kununua hii menu kisa sina hela furaha nitaitoa wapi?[emoji3][emoji3]
Huwez kwakweli utabak kulaani
Mi nisiyeweza kununua hii menu kisa sina hela furaha nitaitoa wapi?[emoji3][emoji3]
wagogo wanasema "hoo baho"😂😂kama saizi nataman matikit na hela sina
furaha itoke wap
Me nikiwa tu na uhakika wa kupata kila ninachokitaka kwa wakati nakua na furaha... Lakini naona furaha mnayoizungumzia hapa iko complicated sanaWe furaha yako una maanisha nn
Pesa hainunui furaha ila inatatua kero na changamoto nyingi za maisha kiasi kwamba inaleta amani na furaha ikiwepo.
Matajiri wengi wenye hela za mchongo na mikataba ndio hawanaga furaha.
Kosa pesa hapo ndio Utajua money inaleta Furaha au hapanaNataka tusaidiane kuitazama hii picha !!
Ebu wanaone wanaosema hii kauli walio hawana furahaView attachment 2853458
Maana halisi ya neno kibunda
Ni kupatana kwa nafsi, mwili na roho 😂😂Hivi kwani furaha maanake nini?
OukayNi kupatana kwa nafsi, mwili na roho 😂😂
Nakuelewa sana mkuu,hata hapa mjini nina kikundi fulani cha kijamii tuna watu ambao ni matajiri kila kitu wanacho lakini unaona kabisa huyu kafuata kampani ya watu,maana ni cha kusaidiana kwenye shida na raha ...... uko sahihi socialization ni nzuri,na kujumuika hukohuko kwa kujichanganya na watu wenye hela kunaweza kukuathiri saikologia kama popote unaenda bills,nauli wanalipa wenzio tu......Hio ni case nyingine. Ila furaha haiwezi letwa bila watu. Yani mfano wewe uwe tajiri halafu uwe huna mtu wa kushare nae story mbili tatu. Au ukaishi kwenye nchi ambayo hakuna mtu mwenye habari na mtu mwingine
Hii kwangu ni happiness piaView attachment 2853467
yaan mfano nile ivi kweli nisifurahi
Mzigo kama hii unakuta imezaaga kwenye dashboard dro za lexus
Unajua Kuna magojwa hata uwe na mabillion hayawezi tibika je unaweza Pata furaha ukiwa unaumwa au unauguza mgonjwa wa Sina hiyo kisa tu unapesa?Mkuu ulipata tatizo la kiufundi hela hamna inachokwama
Unajua Kuna magojwa hata uwe na mabillion hayawezi tibika je unaweza Pata furaha ukiwa unaumwa au unauguza mgonjwa wa Sina hiyo kisa tu unapesa?
Mzigo kama hii unakuta imezaaga kwenye dashboard dro za lexus
Kwasababu ana hela?Mtu anaweza akawa anaumwa bado anafuraha[emoji23][emoji23][emoji23]