Wanaosema 'Money Can't Buy Happiness...'!

Money inabuy happiness vizuri tu.

IMG_3301.jpg

yaan mfano nile ivi kweli nisifurahi
 
mkuu ukiwa na hela hao watu walokuzunguka watakua na furaha naww utakua na furaha !
ivi uwatatulie matatzo yao kwa pesa kwann msiwe na furaha
Yes ndo mana nikasemq pesa peke yake haiwezi kukupa furaha. Bali watu ndio furaha yenyewe.

Ukiwa na mahusiano mazuri na watu basi ni rahisi kupata furaha. Kuliko uwe na pesa halafu uwè ni wewe kama wewe yani kama maisha ya marekani vile yalivyo na upweke.
 
Yes ndo mana nikasemq pesa peke yake haiwezi kukupa furaha. Bali watu ndio furaha yenyewe.

Ukiwa na mahusiano mazuri na watu basi ni rahisi kupata furaha. Kuliko uwe na pesa halafu uwè ni wewe kama wewe yani kama maisha ya marekani vile yalivyo na upweke.

nakubali,,,, ndo nasema pesa inatengeneza hayo mahusiano mazuri!!

ukiwa huna hela hayo mahusiano mazuri unapataje kila mtu anakukwepa kama ukoma
 
Back
Top Bottom