Wanaobeza Matendo na kauli za Makonda, Nchimbi na sasa Kinana wajiulize tena mara mbili....

the power

Member
Oct 18, 2012
85
105
Nimefuatilia huu mjadala, kweli kuna tatizo kwa jinsi tunavyochukulia matukio, jinsi tunavyochukulia matamshi. Kilichonishangaza ni badala ya wapinzani na mashabiki wao kuiona hatari iliyo mbele yao, jinsi hawa jamaa wa CCM walivyojipanga strategically na systematically kuwin the battle and mind set za target group lao, ambao ni wapiga kura, wao wanawabeza eti wameingia mkenge eti wanaitaja chadema tu, eti hawana hoja, shabash!kweli mwenye macho haambiwi tazama>

Makonda anapita akijitohoa kama msafisha barabara, amewin umati kwa kujifanya ni masiha, ni mashinegun, ni bulldoser linalopita kusafisha visiki vinavyoleta kero, na anafanya usanihi, maigizo kwa kung'oa baadhi ya mizizi palepale uwanjani, je kwa upeo hafifu na uwezo wa kutafakali wa wananchi wetu unafikiri amewin au ?? na anawataja wapinzani waziwazi kwamba kama wanataka beto waje uwanjani, anataka live beto, na hatujaona wapinzani wakihitikia wito, hiyo ni dalili ya kuufyata, kama ni mbwa kumute na kuingiza mkia ndani, tabia ya mbwa koko.

Nchimbi yeye ametoa angalizo kwamba kwa nini tupige maneno tu , na yeye amewaalika wapinzani waje kwenye battle field, wasiongelee vichochoroni? je hapo ameishiwa maneno, yeye kwa cheo chake hatakiwi kuongea sana kwani kuna mtu muhusika kamanda wao, mtu wa maneno na propaganda anafanya kazi at ground level na hata kama njia hiyo sio sahihi, ni njia ya utapeli kama wahubiri wa miujiza feki wengi hutumia weakness ya target audience kuwin their mind set of the target group.

Comrade, hii ni vita Muraa!!! watu wa musoma wanapenda kusema hivyo, in a battlefield the focus is on the end results" "Conversely in a midst of battlefield, what matter is not about fare fighting , it is about winning the battle no matter which methods/techniques you are going to use, you will apologize after winning", " For sure the end determine the means",

Kinana alichofanya ni kama andiko langu lilivyosema“Politics is a strategic minds set- game; upinzani unatakiwa uwe na watu wenye high level ya intelligence na uzoefu wa manipulative strategies” liligusia kuwashauri vyama pinzani kujipanga strategically katika mfumo wao, katika timing na content za responses zao na katika kutumia opportunities na weakness za adui zao kuwin the battle. nilisema .​

Kutokuwepo kwa dira na strategies mbadala za kuboresha maisha ya wananchi in short and long term etc ni tatizo pia, kibaya short na long term strategies zilizotoolewa kwenye dira na zilizokuwa tailored kuaddress short and long term pertinent issues za potential audience ni shida kwelikweli.

Hakuna well planned, well-orchestrated counter-attack strategies zaidi yak u-attack a person or personality or appearance, they need to capitalize on making cases kujenga hoja, they need to learn how to strategically counter-attack the opposing issues with alternatives options.”

Hicho ndicho CCM wanakitumia, Mh Kinana hajakurupuka, amejua chama kinachojitanabaisha kama chama si tu cha Demokrasia bali na Maendeleo kwa jina lake na kwa maneno yao, hakiwezi kupewa Billioni 2.7 halafu kisitoe taarifa rasmi kwa wanachama na wapiga kura, kwa umma. Anajua wananchi na wanachama walifichwa, hawana taarifa ya ndani, hawaelezwi hizo hela zimeenda wapi kwa undani? Na inawezekana hata detailed Financial report ya mabiliioni hayo hazionyeshi mchanganuo mahususi na kuwa shared kwa wanachama.

Hakika Mh Kinana kaona weakness ya mpinzania wake, kaitoa hewani ili waanze kuulizana maswali, kuulizana credibilities za kiongozi, viongozi wao kama bado wana haki ya kuendelea, hajakurupuka, wakati wakisuguana wao kwa wao, jamaa hawa wanaendelea kusonga mbele. Kumbuka kwenye msuguano akili haifikilii mambo makubwa , akili inafikilia kushindana kwenye msuguano huo. “Amejua kutumia good timing na content na responses zao na katumia opportunities na weakness za adui yao kuwin the battle.” Hivi ndivyo nilivyotamka, wenzenu wameshaanza kuyafanyia kazi, endeleeni kulala mtakuta mwana si wenu.

Comrades, husifikiri hawa jamaa wanatapatapa kwa kuitaja CHADEMA, hawa jamaa wamejipanga. Siku nyingine nitaelezea ni kwa jinsi gani CCM mama ya Mwl Julius Kambarage Nyerere ilivyokuwa strategic na focused for future, kutawala nchi for more than ten decades na kwa upinzani huu hakika wataweza labda wapinzani wabadilike na kuifanya siasa kisomi zaidi.

Hawa jamaa waliinvest kwenye vichwa (brain) akili na nilisema kwenye andiko lingine, hasa hasa akili za political propaganda, phychology na human manipulation, walipeleka wataalamu Russia, Scandinavia countries , Cuba, Canada just to mention a few, kwenye vyuo vikuu bora vya political sciences; walijua siasa bila fedha hutoboi, wakaliinvest kwenye vitega uchumi kila mkoa (viwanja vya mipira, ofisi za kupangisha, viwanja vya kupangisha, shule za wazazi za CCM, mpaka mabenki ila wakayapa majina tatanishi n.k), IN SHORT THEY MEANT BUSSINESS. Fuatilita akina Lowassa, huyuhuyu Kinana, Kina ngomabare Mwiru, akina Kasera bantu walisoma wapi advanced na graduate degree zao na focus kwenye masomo yepi?etc.

Kamanda narudia tena siasa ni strategic minds set- game; upinzani unatakiwa uwe na watu wenye high level ya intelligence na uzoefu wa manipulative strategies
 
Nimefuatilia huu mjadala, kweli kuna tatizo kwa jinsi tunavyochukulia matukio, jinsi tunavyochukulia matamshi. Kilichonishangaza ni badala ya wapinzani na mashabiki wao kuiona hatari iliyo mbele yao, jinsi hawa jamaa wa CCM walivyojipanga strategically na systematically kuwin the battle and mind set za target group lao, ambao ni wapiga kura, wao wanawabeza eti wameingia mkenge eti wanaitaja chadema tu, eti hawana hoja, shabash!kweli mwenye macho haambiwi tazama>

Makonda anapita akijitohoa kama msafisha barabara, amewin umati kwa kujifanya ni masiha, ni mashinegun, ni bulldoser linalopita kusafisha visiki vinavyoleta kero, na anafanya usanihi, maigizo kwa kung'oa baadhi ya mizizi palepale uwanjani, je kwa upeo hafifu na uwezo wa kutafakali wa wananchi wetu unafikiri amewin au ?? na anawataja wapinzani waziwazi kwamba kama wanataka beto waje uwanjani, anataka live beto, na hatujaona wapinzani wakihitikia wito, hiyo ni dalili ya kuufyata, kama ni mbwa kumute na kuingiza mkia ndani, tabia ya mbwa koko.

Nchimbi yeye ametoa angalizo kwamba kwa nini tupige maneno tu , na yeye amewaalika wapinzani waje kwenye battle field, wasiongelee vichochoroni? je hapo ameishiwa maneno, yeye kwa cheo chake hatakiwi kuongea sana kwani kuna mtu muhusika kamanda wao, mtu wa maneno na propaganda anafanya kazi at ground level na hata kama njia hiyo sio sahihi, ni njia ya utapeli kama wahubiri wa miujiza feki wengi hutumia weakness ya target audience kuwin their mind set of the target gropu , ndicho anachofanya

Kinana alichofanya ni kama andiko langu lilivyosema“Politics is a strategic minds set- game; upinzani unatakiwa uwe na watu wenye high level ya intelligence na uzoefu wa manipulative strategies” liligusia kuwashauri vyama pinzani kujipanga strategically katika mfumo wao, katika timing na content za responses zao na katika kutumia opportunities na weakness za adui zao kuwin the battle. nilisema .​

Kutokuwepo kwa dira na strategies mbadala za kuboresha maisha ya wananchi in short and long term etc ni tatizo pia, kibaya short na long term strategies zilizotoolewa kwenye dira na zilizokuwa tailored kuaddress short and long term pertinent issues za potential audience ni shida kwelikweli.

Hakuna well planned, well-orchestrated counter-attack strategies zaidi yak u-attack a person or personality or appearance, they need to capitalize on making cases kujenga hoja, they need to learn how to strategically counter-attack the opposing issues with alternatives options.”

Hicho ndicho CCM wanakitumia, Mh Kinana hajakurupuka, amejua chama kinachojitanabaisha kama chama si tu cha Demokrasia bali na Maendeleo kwa jina lake na kwa maneno yao, hakiwezi kupewa Billioni 2.3 halafu kisitoe taarifa rasmi kwa wanachama na wapiga kura, kwa umma. Anajua wananchi na wanachama walifichwa, hawana taarifa ya ndani, hawaelezwi hizo hela zimeenda wapi kwa undani? Na inawezekana hata detailed Financial report ya mabiliioni hayo hazionyeshi mchanganuo mahususi na kuwa shared kwa wanachama.

Hakika Mh Kinana kaona weakness ya mpinzania wake, kaitoa hewani ili waanze kuulizana maswali, kuulizana credibilities za kiongozi, viongozi wao kama bado wana haki ya kuendelea, hajakurupuka, wakati wakisuguana wao kwa wao, jamaa hawa wanaendelea kusonga mbele. Kumbuka kwenye msuguano akili haifikilii mambo makubwa , akili inafikilia kushindana kwenye msuguano huo. “Amejua kutumia good timing na content za responses zake na katumia opportunities na weakness za adui yao kuwin the battle.” Hivi ndivyo nilivyotamka, wenzenu wameshaanza kuyafanyia kazi, endeleeni kulala mtakuta mwana si wenu.



Mwandishi husifikiri hawa jamaa wanatapata kwa kuitaja CHADEMA, hawa jamaa wamejipanga. Siku nyingine nitaelezea jinsi CCM ya Nyerere ilivyokuwa ikiinvest kwenye vichwa, akili za political propaganda, walipeleka wataalamu Russia, Scandinavia countries , Cuba just to mention a few; waliinvest kwenye vitega uchumi kila mkoa, in short they meant business.Fuatilita akina Lowassa, huyuhuyu Kinana, Kina ngomabare Mwiru etc. Kamanda narudia tena siasa ni strategic minds set- game; upinzani unatakiwa uwe na watu wenye high level ya intelligence na uzoefu wa manipulative strategies
Sijasoma mitandao leo, Kinana kamwaga 'upupu' gani kwa Cdm?
 
Alisema CHADEMA walikwenda katika vikao vya maridhiano na CCM wakiwa na ajenda binafsi kitu ambacho sioni kosa, tena ni credit, huwezi kwenda kwenye maridhiano ukisubir upewe hitimisho na aliyekuita; Alihoji pia sababu za maandamano wakati Bunge lilikusanya maoni.

Kaongezea wamekwisha patiwa zaidi ya Tsh 2.7 billioni kama fedha za ruzuku,ila kaiparaphrase sentensi hiyo ya mwisho as if ni CCM imewapatia wakati ni haki yao. Hoja ya msingi hapa nje ya alichosema kinana ni je CHADEMA walikuwa wazi kutangaza kiasi hicho kikubwa cha fedha? na walikkuwa transparent kwenye matumizi yake, nyingine nafikiri ni blabla za kisiasa.
 
Nchi Iko gizani na matatizo lukuki,

Wewe inaongelea mkakati kiwahadaa wananchi,

Unaweza muhadaa Mwananchi kuwa hakuna tatizo la Umeme akakuelewa?
 
Dr.Slaa kwa upande wa upinzani alijua vema kupanga mikakati na kunadi sera nzuri.akitoa speech magogoni joto linapanda anakusanya data za ufisadi ndani ya system kisha anatembea nazo.

wahuni wakamtoa kwenye reli wakatuachia wala ganja Mdude,Sugu na Meya Jacob.
 
Nchi Iko gizani na matatizo lukuki,

Wewe inaongelea mkakati kiwahadaa wananchi,

Unaweza muhadaa Mwananchi kuwa hakuna tatizo la Umeme akakuelewa?
Ni kweli kabisa bro, yaani logic thinking yako ima make sense ila hii si academic au theology hii ni politics tena ya kuwin kutawala nchi unajua maana yake, unajua jinsi hawa wanasiasa what they earn per year is what they should have erned throughout their entire career.

Hapo ndipo tutambue this is a war and as I said " in a battlefield the focus is on the end results, conversely, in a midst of battlefield, what matter is not about fare fighting (hiyo unataka wewe), it is about winning the battle no matter which methods/techniques you are going to use, you will apologize after winning ( na kweli walikuja kuapologize kinamna, niambie nani aliita vikao vya maridhiano, unajua chanzo chake?).

Ukisema unaweza muhadaa mwananchi hakuna tatizo la umeme akakuelewa? naweza kusema kwenye kisiasa inawezekana tena kwa upeo na uwezo wa kufikiri wa wananchi tulio wengi inawezekana kabisa. Nimetumia mara nyingi neno "winning the target groups by playing with their mind set na nimetaja sana manipulative physchology, the use of community hypnosis in politics , jaribu kuread deep haya maeneo utaelewa kwa nini inawezekana na kwa nini vyama vya siasa lazima viinvest kwenye brains na kutafuta pesa .
 
Dr.Slaa kwa upande wa upinzani alijua vema kupanga mikakati na kunadi sera nzuri.akitoa speech magogoni joto linapanda anakusanya data za ufisadi ndani ya system kisha anatembea nazo.

wahuni wakamtoa kwenye reli wakatuachia wala ganja Mdude,Sugu na Meya Jacob.
Absolutely correct, Brother wewe inaonekana umelisoma andiko vizuri.

Nakumbuka touchy and intriguing speech zake. Nakumbuka Dr Slaa alivyotoa Shame list, it wa not only timely but also correctly pointing and capitalizing to the strong weakness of their opponent. Yaani aligusa kwenye kidonda na ikawa ndiyo hitting point yao.

Grand mistake ni pale walipompokea mmoja wa shamelist member waliyekuwa wakimnanga day and night (haimaanishi hawakuwa sahihi kumtaja) hapo ndipo tunasema need of brains (haimaanishi hawan brain la hasha, combination of brains) na kosa lilikuwa ni kukosekana kwa hao mabrains watakao-look at things outside the box, watakao-think beyond their confort zones, watakao-think na kufocus for the future benefits ten to fifty years later, wasioathirika na muamko wa ghafla wa uchaguzi wa mwaka mmoja na wimbi la kuvuma kwa ule upepo wa Mh kuhasi chama chake.

Kama wangekuwa na brains wangejiuliza je kwa nini tuweke asset na credibility yetu yote REHANI kwa mtu mmoja, kwa uchanguzi mmoja, je tumefikilia five, ten, twenty years later, hivyo ndivyo chama cha siasa kinafikilia (soma paragraph ya mwish CCM-Mama ilivyo strategically invest kwenye brains na capital earning to continue governing for the next 10 decades).

Kwenye siasa unahitaji Kosa moja tu kujipoteza, kuwatibua na kuwachanganya wapiga kura, hilo ni kosa tena lisilosameheka liliwachanganya wafuasi na boardline voters (ambao ndio sisi tulio wengi) inawezekana vipi mtu mliyesema kinara wa Rushwa kwenye shame list leo mnampokea kama masiha, lini amekuwa msafi na je mlikosea kumtaja? kama ndio mliomba msamaha kwetu na kwake?

Kwa hiyo tukonclude nini? je nyie ni watu serious?je twaweza kuamini reference, takwimu na misimamo yenu na kauli zenu?. Hilo ni jini litawa-hunt wapinzani mpaka kizazi chetu kipotee. Ila haimaanishi hawana mazuri, la hasha ninachosema politics is science, let invest in brains and capitalized our decisions from those brains.
 
Nimefuatilia huu mjadala, kweli kuna tatizo kwa jinsi tunavyochukulia matukio, jinsi tunavyochukulia matamshi. Kilichonishangaza ni badala ya wapinzani na mashabiki wao kuiona hatari iliyo mbele yao, jinsi hawa jamaa wa CCM walivyojipanga strategically na systematically kuwin the battle and mind set za target group lao, ambao ni wapiga kura, wao wanawabeza eti wameingia mkenge eti wanaitaja chadema tu, eti hawana hoja, shabash!kweli mwenye macho haambiwi tazama>

Makonda anapita akijitohoa kama msafisha barabara, amewin umati kwa kujifanya ni masiha, ni mashinegun, ni bulldoser linalopita kusafisha visiki vinavyoleta kero, na anafanya usanihi, maigizo kwa kung'oa baadhi ya mizizi palepale uwanjani, je kwa upeo hafifu na uwezo wa kutafakali wa wananchi wetu unafikiri amewin au ?? na anawataja wapinzani waziwazi kwamba kama wanataka beto waje uwanjani, anataka live beto, na hatujaona wapinzani wakihitikia wito, hiyo ni dalili ya kuufyata, kama ni mbwa kumute na kuingiza mkia ndani, tabia ya mbwa koko.

Nchimbi yeye ametoa angalizo kwamba kwa nini tupige maneno tu , na yeye amewaalika wapinzani waje kwenye battle field, wasiongelee vichochoroni? je hapo ameishiwa maneno, yeye kwa cheo chake hatakiwi kuongea sana kwani kuna mtu muhusika kamanda wao, mtu wa maneno na propaganda anafanya kazi at ground level na hata kama njia hiyo sio sahihi, ni njia ya utapeli kama wahubiri wa miujiza feki wengi hutumia weakness ya target audience kuwin their mind set of the target group.

Comrade, hii ni vita Muraa!!! watu wa musoma wanapenda kusema hivyo, in a battlefield the focus is on the end results" "Conversely in a midst of battlefield, what matter is not about fare fighting , it is about winning the battle no matter which methods/techniques you are going to use, you will apologize after winning", " For sure the end determine the means",

Kinana alichofanya ni kama andiko langu lilivyosema“Politics is a strategic minds set- game; upinzani unatakiwa uwe na watu wenye high level ya intelligence na uzoefu wa manipulative strategies” liligusia kuwashauri vyama pinzani kujipanga strategically katika mfumo wao, katika timing na content za responses zao na katika kutumia opportunities na weakness za adui zao kuwin the battle. nilisema .​

Kutokuwepo kwa dira na strategies mbadala za kuboresha maisha ya wananchi in short and long term etc ni tatizo pia, kibaya short na long term strategies zilizotoolewa kwenye dira na zilizokuwa tailored kuaddress short and long term pertinent issues za potential audience ni shida kwelikweli.

Hakuna well planned, well-orchestrated counter-attack strategies zaidi yak u-attack a person or personality or appearance, they need to capitalize on making cases kujenga hoja, they need to learn how to strategically counter-attack the opposing issues with alternatives options.”

Hicho ndicho CCM wanakitumia, Mh Kinana hajakurupuka, amejua chama kinachojitanabaisha kama chama si tu cha Demokrasia bali na Maendeleo kwa jina lake na kwa maneno yao, hakiwezi kupewa Billioni 2.7 halafu kisitoe taarifa rasmi kwa wanachama na wapiga kura, kwa umma. Anajua wananchi na wanachama walifichwa, hawana taarifa ya ndani, hawaelezwi hizo hela zimeenda wapi kwa undani? Na inawezekana hata detailed Financial report ya mabiliioni hayo hazionyeshi mchanganuo mahususi na kuwa shared kwa wanachama.

Hakika Mh Kinana kaona weakness ya mpinzania wake, kaitoa hewani ili waanze kuulizana maswali, kuulizana credibilities za kiongozi, viongozi wao kama bado wana haki ya kuendelea, hajakurupuka, wakati wakisuguana wao kwa wao, jamaa hawa wanaendelea kusonga mbele. Kumbuka kwenye msuguano akili haifikilii mambo makubwa , akili inafikilia kushindana kwenye msuguano huo. “Amejua kutumia good timing na content na responses zao na katumia opportunities na weakness za adui yao kuwin the battle.” Hivi ndivyo nilivyotamka, wenzenu wameshaanza kuyafanyia kazi, endeleeni kulala mtakuta mwana si wenu.

Comrades, husifikiri hawa jamaa wanatapatapa kwa kuitaja CHADEMA, hawa jamaa wamejipanga. Siku nyingine nitaelezea ni kwa jinsi gani CCM mama ya Mwl Julius Kambarage Nyerere ilivyokuwa strategic na focused for future, kutawala nchi for more than ten decades na kwa upinzani huu hakika wataweza labda wapinzani wabadilike na kuifanya siasa kisomi zaidi.

Hawa jamaa waliinvest kwenye vichwa (brain) akili na nilisema kwenye andiko lingine, hasa hasa akili za political propaganda, phychology na human manipulation, walipeleka wataalamu Russia, Scandinavia countries , Cuba, Canada just to mention a few, kwenye vyuo vikuu bora vya political sciences; walijua siasa bila fedha hutoboi, wakaliinvest kwenye vitega uchumi kila mkoa (viwanja vya mipira, ofisi za kupangisha, viwanja vya kupangisha, shule za wazazi za CCM, mpaka mabenki ila wakayapa majina tatanishi n.k), IN SHORT THEY MEANT BUSSINESS. Fuatilita akina Lowassa, huyuhuyu Kinana, Kina ngomabare Mwiru, akina Kasera bantu walisoma wapi advanced na graduate degree zao na focus kwenye masomo yepi?etc.

Kamanda narudia tena siasa ni strategic minds set- game; upinzani unatakiwa uwe na watu wenye high level ya intelligence na uzoefu wa manipulative strategies
Kubeza ni mbinu ya kujifariji ila kiukweli wameshajia kwamba Imani ya Kisiasa imewaponyoka ndio maana wanatafuta kiki.

Uzuri wa ccm ni kwamba wameshaisoma hadhira so wanacheza na mind hizo.

Kiufupi kero zinazoibuliwa ni mtaji Kwa ccm Kwa sababu wanazitumia kuonesha chama Kiko kazini na kinamudu kufanya kazi.

Mwisho Wapinzani wanawewewseka huu ni ukweli mchungu.
 
Back
Top Bottom