MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Kwa mujibu wa Katiba ya CCM kazi ya Katibu wa Itikadi,uenezi na Mafunzo ni kukisemea na kukitolea taarifa chama kinapokua kwenye utekelezaji wake. Sasa Kaka Bashite aneacha wajibu wake anafahya kazi za Makamu mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Kinana, anafanya kazi za Dr Nchimbi, katibu mkuu wa Chama. Sinui Naibu katibu mkuu ana kazi gani.
Bashite sasa anajiona yeye ndiye mwenye chama, kwamba ndiye peke yake mwenye kutatua changamoto za wananchi.
Ukiangalia juu yake kuna viongozi wazito kama 6 hivi ambao yeye anawajibika kwao, lakini yeye ndio utafikiri ni makamu mwenyekiti wa CCM Bara.
Hii kazi ya mwenezi kuita Mawaziri hadharani kama watoto wadogo anawahoji kwa ukali ni kazi ya Msemaji wa Chama? Anaelewa sawa sawa majukumu yake huyu jamaa? Spoken person wa Chama ndio wa kuzunguka na maburungutu ya pesa anagawia wananchi?
Makonda kwa hakika asipoelekezwa majukumu yake akaachwa maskio yakazidi kichwa kwa kizingizio ameagizwa na Rais Samia atakiua Chama, atakigawa chama makundi makundi. Alijitanabahisha kwa mdomo wake Bashite yeye alikua kundi la Magufuli,Dr alikua timu Lowasa, Kinana team Msoga, hivi kuna kukalika hapa?
Aitwe apewe Job description yake, vinginevyo atakikikmbia chama mapema yeye binafsi au kikakimbiwa na wanachama wengi tu.
Bashite sasa anajiona yeye ndiye mwenye chama, kwamba ndiye peke yake mwenye kutatua changamoto za wananchi.
Ukiangalia juu yake kuna viongozi wazito kama 6 hivi ambao yeye anawajibika kwao, lakini yeye ndio utafikiri ni makamu mwenyekiti wa CCM Bara.
Hii kazi ya mwenezi kuita Mawaziri hadharani kama watoto wadogo anawahoji kwa ukali ni kazi ya Msemaji wa Chama? Anaelewa sawa sawa majukumu yake huyu jamaa? Spoken person wa Chama ndio wa kuzunguka na maburungutu ya pesa anagawia wananchi?
Makonda kwa hakika asipoelekezwa majukumu yake akaachwa maskio yakazidi kichwa kwa kizingizio ameagizwa na Rais Samia atakiua Chama, atakigawa chama makundi makundi. Alijitanabahisha kwa mdomo wake Bashite yeye alikua kundi la Magufuli,Dr alikua timu Lowasa, Kinana team Msoga, hivi kuna kukalika hapa?
Aitwe apewe Job description yake, vinginevyo atakikikmbia chama mapema yeye binafsi au kikakimbiwa na wanachama wengi tu.