barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,405
- 29,802
daaah mkuu umenitoa chozi hawa jamaa wakali kwanza joslin,mac kamua very sad hawakustaili kapu.
Nimewasahau kidogo wakali kwanza, Joslin ndo yule dogo kichwa duara aliyeimba sana kwenye ile track ya natamani, au ndo yule singer N rapper aliyeimba njoo basi mpenzi??
Wa njoo basi mpenzi anastahili kapu, alibahatisha ile track, ila wa kichwa duara ana voko kali, hakustahili kapu!