Kelvin complex hata mi huwa nikiangalia macho ya pipi ananiacha hoi (just kidding)
Tukirudi katka point, kinachoniumiza ni kuona wanamuziki 'waliozaliwa' na vipaji vyao wakiwekwa kapuni na media zetu, hawa wa darasani, mazali, wakipewa airtime. Mifano Michache.
1. Grace Matata. Kibongo bongo ni demu gani unaweza msimamisha na Grace katka kuimba? Jibu ni hakuna. Huyu yuko km 10,000 mbele ya kina recho.
2. Vumilia. Huyu alianza vyema sana pindi alpokua THT, bada ya kuondoka pale, jamaa wakamfanyia fitina mpaka leo amebakia kuimba katka mahoteli tu. Huruma.
3. Nuruely. Waimbaji wote wa RnB wa kiume ukiwauliza, mwanamzki gani wanayemkubali jibu lao ni moja tu Nuruely. Anaweza akawa na matatzo binafsi, ila tunahtaji watu kama yeye na si kila siku kina Bonge La Nyau.
Talent kama hizi ndo zinatakiwa kuzisikia katka media zetu, na si 'fabricated' artist. Kupitia hao 'in born' artist mziki wetu unaweza hata ukakua.