Wanamshangilia lakini wana mashaka!

Wanamshangilia lakini wana mashaka!

Kwa heshima kaleta sasa hivi kulikua na mtindo mmoja hawa viongozi asubuhi hutoka mahofisini na kuingia mitaani kunya nyasa wananchi masikini siku hizi hilo hakuna sijuwi hapo baadae dozi ikiisha nguvu sijuwi itakuaje kama ni hali ngumu hata utawala wa mkapa ulikua mgumu zaidi mpaka watu walikua wana jinyonga na mikanda ya suruwali na ilikuwa halingumu sana sasa hivi masikina anaejituma yupo peponi japokua ana mapungufu yake yeye ni binadamu kitu ninacho muoba askubaliane na kuyumbishwa hata nyerere alipachikwa majina mchonga akanyamaza waka muita nabii musa akanyamaza sasa pale walipo muita habiliki ndio moto uliwaka mheshimiwa magufuli chonte chonte usishindane na huyo nfua ya mabomu kutoka tailanti utapotea maboya
 
"Fyatueni watoto nitawasomesha bure" Magufuli.
Hivi nani kamwambia sisi tunataka kufyatua matofali?
Kule mkoani kwake wengine wanatembea uchi, Maisha duni mno wanaishi, angeanza na hao Kwanza kabla hajataka wafyatue album mpya
 
JPM kawaomba hao wanafiki wa CCM wamuvumilie, wakati akihutubia hivyo wanafiki wote vichwa vilikuwa kama kondoo
 
Yaani usiku na mchana mnavyomsema mh raisi vibaya utadhani huyo wa kwenu ni mkamilifu. Sio fair. Semeni pia kazi nzuri anazofanya.

Hii excuse yako ni ya kitoto sana, ni sawa na watu hawapendi sauti ya muimba mziki flani alafu unawaambia kama hawaipendi si waimbe wao. Sio lazima uweze kufanya kitu flani ndio uweze kukikosoa, vitu vingine vinaonekana tu wazi, penda kua mtu mwenye kubishana kwa kutumia mifano thabiti sio excuse hii ya kitoto ambayo kila mvivu wa kufikiria anaitumia kwa kua hana jingine la kusema.
 
Huu ni udhalilishaji kwa Mama zetu. "Fyatueni watoto" hapa kamchukulia Mwanamke kama mashine au chombo cha kuzaa. Nategemea kuona wapigania haki za wanawake watoe neno.
 
Haikuwa sentence nzuri hii ina maana mbaya na ya kuogofya, manake ni kwamba anajiandaa kuwa Mugabe mwingine
Wasio wepesi wa kuelewa watasema nyota ya kijani yapigwa marufuku..uzazi wa mpango!
 
Kilichopo ni kwamba wale wenye maisha ya chini wanadhani kwamba rais atawashusha wote wenye maisha mazuri ili wawe level moja,km unavyojua watz tunapenda mtu akianguka cyo akipanda/akifanikiwa,niamini niyasemayo chief,hayo ndiyo mawazo ya watz wa hali ya chini wengi..

HAKUNA ANAYEFOCUS KUHUSU MIPANGO YA BAADAYE TITANEEMEKA VIPI LAA HASHA,WENGI WANATAKA RAIS AENDELEE KUFUKUZA WATU KWAKUWA WAO WANADHANI WALIKUWA WANAJIDAI SANA MITAANI..

Nini wanachoshangilia?
Mfano mtu usiyejua alikuwa anafanya kazi gani,wala hujawahi kumsikia,hata hujui amekosa nini hlf mbele ya jukwaa unaulizwa nimtumbueeeee wewe unaitikia mtumbueeee,inawezekana kweli?

HAYA MAKOFI NA VIGELEGELE VYA WATZ NI VYAKIPUMBAVU,NA WENGI HATUJUI MWELEKEO WA HUKU TUENDAKO,NI MATUKIO YASIYOTUNUFAISHA SS WATZ,BALI NI KAMPENI ZA KISAICOLOGY KWA WATZ MAMBUMBUMBU,NA SASA HATA KUHOJI TENA NGUMU,TUPOTUPO TUU,NAKUMBUKA MANENO HAYA:-

ANAANDIKA jenerali ulimwengu



''Tunachagua kama vipofu,kisha tunalalama kama Vichaa. Sasa tuamue; ama tuchague Viongozi wetu kwa umakini au tukae kimya wakati wakitunyanyasa''.........
Tanzania tuna wajinga wengi kuliko wenye uelewa. Tuna wajinga wa makundi matatu. Tuna wajinga ambao hawakwenda shule kabisa. Tuna wajinga ambao wamekwenda shule kidogo. Tuna wajinga walioenda shule kwa miaka mingi lakini wakatoka na ujinga wao kama walivyoingia. Wajinga wa kundi hili, baadhi yao wapo hata hapa JF, ambao wao kazi yao ni kushangilia kila kinachofanywa na serikali hata kama kitu hicho hakipo sawa. Na wengine ni wale wanaopinga kila kitu kinachofanywa na serikali hata kama hicho kitu kipo sahihi. Wajinga wa hili kundi la tatu ni hatari zaidi kwa sababu wana uwezo wa kushawishi yale makundi mawili ya wajinga bila ya yale makundi mawili ya wajinga kutambua kuwa kundi linalowashawishi ni kundi la wajinga linaloyazidi makundi yote ya wajinga kwa sababu linaelekea kwenye upu.mbavu.
Kuna ukweli mwingi tu kwenye hii habari
 
W
Nafikiri alimaanisha facial expressions
Wewe hujasoma saikolojia! Tuachie sisi tulioisoma na kusoma. Wewe unasumbuliwa na vitu vitatu ambavyo ni umasikini, usukuma, na kutokujitambua.
Wewe msemajiukweli Ni masikini Wa kipato ingawa umedoma kidogo sasa unadhani the best way ni kujipendekeza na kumtumikia huyo ndio njia ya kukutoa huko uliko. Umechagua utumwa badala ya Uhuru Ni kama huna Elimu kwa kuwa Elimu huwa haina unafki.

Unasumbuliwa na usukuma na kwahiyo unadhani ukabila utakubeba! Umepotea.

Kaa na vijana Wa CHADEMA watakupa maarifa mengi jinsi ya kukabiliana na imasikini Wa kipato na ujinga wa kifikra.choose liberty and not slavery of mind particularly when you are a man.
 
Kilichopo ni kwamba wale wenye maisha ya chini wanadhani kwamba rais atawashusha wote wenye maisha mazuri ili wawe level moja,km unavyojua watz tunapenda mtu akianguka cyo akipanda/akifanikiwa,niamini niyasemayo chief,hayo ndiyo mawazo ya watz wa hali ya chini wengi..

HAKUNA ANAYEFOCUS KUHUSU MIPANGO YA BAADAYE TITANEEMEKA VIPI LAA HASHA,WENGI WANATAKA RAIS AENDELEE KUFUKUZA WATU KWAKUWA WAO WANADHANI WALIKUWA WANAJIDAI SANA MITAANI..

Nini wanachoshangilia?
Mfano mtu usiyejua alikuwa anafanya kazi gani,wala hujawahi kumsikia,hata hujui amekosa nini hlf mbele ya jukwaa unaulizwa nimtumbueeeee wewe unaitikia mtumbueeee,inawezekana kweli?

HAYA MAKOFI NA VIGELEGELE VYA WATZ NI VYAKIPUMBAVU,NA WENGI HATUJUI MWELEKEO WA HUKU TUENDAKO,NI MATUKIO YASIYOTUNUFAISHA SS WATZ,BALI NI KAMPENI ZA KISAICOLOGY KWA WATZ MAMBUMBUMBU,NA SASA HATA KUHOJI TENA NGUMU,TUPOTUPO TUU,NAKUMBUKA MANENO HAYA:-

ANAANDIKA jenerali ulimwengu



''Tunachagua kama vipofu,kisha tunalalama kama Vichaa. Sasa tuamue; ama tuchague Viongozi wetu kwa umakini au tukae kimya wakati wakitunyanyasa''.........
Unataka kutuaminisha kuwa masikini wanapenda kuwa masiki? Unajua maana ya wagonjwa kulala chini, unajua maana ya malnutrition, unajua maana ya kuishi chini ya dola moja kwa siku (absolute poverty)..alafu unatueleza kuwa masikini wako comfortable so long as matajiri wanashuka chini?
 
Unataka kutuaminisha kuwa masikini wanapenda kuwa masiki? Unajua maana ya wagonjwa kulala chini, unajua maana ya malnutrition, unajua maana ya kuishi chini ya dola moja kwa siku (absolute poverty)..alafu unatueleza kuwa masikini wako comfortable so long as matajiri wanashuka chini?
Tumia zaidi akili..
 
Tumia zaidi akili..
Tuondolee ushabiki maandazi ...tuletee constructive criticism sio damaging criticism...kama mnadhani kuhakikisha wagonjwa hawalali chini, wanafunzi hawakai chini, watoto wanasoma bure, majipu yanatumbuliwa bila simile, hakuna matumizi mabovu ya pesa kama safari za nje zisizo na tija, mafisadi na wahujumu uchumi wanashtakiwa haraka-haraka ni wrong move...basi nyie ni wahanga wa tumbua tumbua....wengi tunamuelewa sana Magufuli...enjoy the rest of your weekend
 
Tuondolee ushabiki maandazi ...tuletee constructive criticism sio damaging criticism...kama mnadhani kuhakikisha wagonjwa hawalali chini, wanafunzi hawakai chini, watoto wanasoma bure, majipu yanatumbuliwa bila simile, hakuna matumizi mabovu ya pesa kama safari za nje zisizo na tija, mafisadi na wahujumu uchumi wanashtakiwa haraka-haraka ni wrong move...basi nyie ni wahanga wa tumbua tumbua....wengi tunamuelewa sana Magufuli...enjoy the rest of your weekend
I warned you,try to use common sense in high capacities,ur narrow mind cant understand what i meant,SORRY CALM DOWN I'M NOT IN YOUR SERIES THINKERS..
 
Wanaogopa kutumbuliwa....huku kwenye chama wamekula mnoooooo....kifo kinakuja
 
I warned you,try to use common sense in high capacities,ur narrow mind cant understand what i meant,SORRY CALM DOWN I'M NOT IN YOUR SERIES THINKERS..
You may not love my words but you have to live with it..umeelewa shallow-minded boy?
 
Nyio
Atasifiwa mwishoni sio sasa...ukosoaji wa sasa usitafsiriwe vibaya kuna ukweli mwingi tu kwenye huo ukosoaji na unamkumbusha yeye ni nani yuko wapi na anatakiwa afanye nini kwenye nini. ...
Jamiiforum iko hapa ilipo kwakuwa ilivumilia ukosoaji na kujisahihisha pale ilipopotoka, sasa hivi ni mojawapo ya mitandao bora kabisa Tanzania
Wote nyie mnalia baada ya MTU wenu mamvi kushindwa hapa ukichunguza wengi wanaompenda JPM ni wakaskazini wale Ma CDM wazee wa kupiga walizoea kuishi kwa ujanjaujanja na kujipatia Mali kwanjia za ujanja sasa mianya imezibwa wanabaki kulialia tu.
 
Nyio

Wote nyie mnalia baada ya MTU wenu mamvi kushindwa hapa ukichunguza wengi wanaompenda JPM ni wakaskazini wale Ma CDM wazee wa kupiga walizoea kuishi kwa ujanjaujanja na kujipatia Mali kwanjia za ujanja sasa mianya imezibwa wanabaki kulialia tu.
1471069720690.jpg
 
Habarini wanajamvi!

Nimekuwa nikifuatilia mikutano ya Magufuli, kuna kitu kimoja kiko dhahiri. Wanao mshangilia kuna wakati wanaonesha mashaka nadhani wanapo kumbuka ugumu Wa maisha mtaani. Washangiliji Wa kweli Ni rahisi kuwatambua! Hawa Wa Magufuli wanafanana sana na walio kuwa wanamshangilia IDD Amini.unafiki mtupu.Wanachama na viongozi ndani ya chama chao hawana amani ya moyo! Ku a kitu wanatafakari.

Kwa hiyo wewe Ndugu yetu 'mpendwa' unatushauri au unawashauri nini???
 
You may not love my words but you have to live with it..umeelewa shallow-minded boy?
Unazidi kudhihirisha ufoolish wako,c utulie tuu mkuu,ushajionyesha ulivyo na akili ndogo then kwa kutumia tena akili ndogo hiyohiyo unajibu pumba..

Daa very sad
 
Kilichopo ni kwamba wale wenye maisha ya chini wanadhani kwamba rais atawashusha wote wenye maisha mazuri ili wawe level moja,km unavyojua watz tunapenda mtu akianguka cyo akipanda/akifanikiwa,niamini niyasemayo chief,hayo ndiyo mawazo ya watz wa hali ya chini wengi..

HAKUNA ANAYEFOCUS KUHUSU MIPANGO YA BAADAYE TITANEEMEKA VIPI LAA HASHA,WENGI WANATAKA RAIS AENDELEE KUFUKUZA WATU KWAKUWA WAO WANADHANI WALIKUWA WANAJIDAI SANA MITAANI..

Nini wanachoshangilia?
Mfano mtu usiyejua alikuwa anafanya kazi gani,wala hujawahi kumsikia,hata hujui amekosa nini hlf mbele ya jukwaa unaulizwa nimtumbueeeee wewe unaitikia mtumbueeee,inawezekana kweli?

HAYA MAKOFI NA VIGELEGELE VYA WATZ NI VYAKIPUMBAVU,NA WENGI HATUJUI MWELEKEO WA HUKU TUENDAKO,NI MATUKIO YASIYOTUNUFAISHA SS WATZ,BALI NI KAMPENI ZA KISAICOLOGY KWA WATZ MAMBUMBUMBU,NA SASA HATA KUHOJI TENA NGUMU,TUPOTUPO TUU,NAKUMBUKA MANENO HAYA:-

ANAANDIKA jenerali ulimwengu



''Tunachagua kama vipofu,kisha tunalalama kama Vichaa. Sasa tuamue; ama tuchague Viongozi wetu kwa umakini au tukae kimya wakati wakitunyanyasa''.........
Hapa umesema kweli bahati mbaya ni wachache sana wanaelewa hii dhana kuwa maskini wote including ombaomba tamaa yao kumbwa ni ushuke ufanane nao
 
Back
Top Bottom