Wanamshangilia lakini wana mashaka!

Wanamshangilia lakini wana mashaka!

Yaani usiku na mchana mnavyomsema mh raisi vibaya utadhani huyo wa kwenu ni mkamilifu. Sio fair. Semeni pia kazi nzuri anazofanya.
Rais ni mmoja,wa kwetu yupi?Kumbe mnajua mmeshika nchi kimagumashi!?Ndio maana mnakua na matamko wenyewe hamyakumbuki mkimaliza msemacho
Hapa anarekebishwa na kukumbushwa njia impasayo msituletee mizuka ya nyumbani kwenu katika nchi
 
Ukweli mtupu ! Mungu akuepushe na vitu vyenye ncha kali .
Mungu siku zote huwa upande Wa wenye haki. Magufuli ameamua kukandamiza demokrasia kwa kufanya mambo atakavyo
.sitashangaa akiamka kesho akasema Chato imekuwa Nchi inayo jitegemea!!
 
Kuna wakati inabidi usifie jambo ili yako yaende..nkinukuu nyimbo ya kumsifu Makonda kutoka Mkubwa na wanae"Tumempata kijana mwenzetu mwenyenizamu" nkajiuliza hivi kumchapa Mzee mwenye umri wa baba bado tukuite unanidhamu..kwa hiyo hata wanaomshangilia magufuli wanataka yao yaende tu.
There you are! Vijana wengi Wa ccm ni opportunists na ndio maana wapo tayari kujipendekeza kwa mtu hata kwa miaka isbirini wakitafuta kuonewa huruma ili hatimae mambo yawanyookee. Hawana uthubutu Wa kupambana na maisha. Kimsingi wanajua ubaya Wa CCM na Magufuli lakini kila siku wanasifia hata ujinga.
 
Hivi john anaweza kuitwa kwenye mikutano ya proffessionals na kutoa mada?
 
Back
Top Bottom