Wanamshangilia lakini wana mashaka!

Wanamshangilia lakini wana mashaka!

Unazidi kudhihirisha ufoolish wako,c utulie tuu mkuu,ushajionyesha ulivyo na akili ndogo then kwa kutumia tena akili ndogo hiyohiyo unajibu pumba..

Daa very sad
Nimekwambia masikini asiyepata matibabu, asiyeweza kusomesha watoto, asiyeweza kupata walau milo miwili kwa siku ananufaika na nini akiona matajiri wanakuwa maskini? Anachofanya JPM (kukusanya kodi kwa wakwepakodi, kuhakikisha watoto wanasoma bure, kuhakikisha wagonjwa hawalali chinip, kuondoa ushuru kwa wafanyabiashara wadogo, kuondoa wafanyakazi hewa etc) ndo vitu maskini wanapenda vishugulikiwe...
NB: Kuwa makini na post zako..huyo mtoto Nasreen (kama ni wako kweli) atakuja kukushangaa sana akikuwa mkubwa...
 
Watakuwaje na facial expression nzuri wakati wanaisoma number...
 
Nimekwambia masikini asiyepata matibabu, asiyeweza kusomesha watoto, asiyeweza kupata walau milo miwili kwa siku ananufaika na nini akiona matajiri wanakuwa maskini? Anachofanya JPM (kukusanya kodi kwa wakwepakodi, kuhakikisha watoto wanasoma bure, kuhakikisha wagonjwa hawalali chinip, kuondoa ushuru kwa wafanyabiashara wadogo, kuondoa wafanyakazi hewa etc) ndo vitu maskini wanapenda vishugulikiwe...
NB: Kuwa makini na post zako..huyo mtoto Nasreen (kama ni wako kweli) atakuja kukushangaa sana akikuwa mkubwa...
How does it make sense? Ulichokiandika hapo how kina relate na nilichokiandika mimi?

Huyo mtoto ana akili zakutosha kukushinda chief,bahati nzuri amerithi uelewa,may God bless my Daughter
 
Nyio

Wote nyie mnalia baada ya MTU wenu mamvi kushindwa hapa ukichunguza wengi wanaompenda JPM ni wakaskazini wale Ma CDM wazee wa kupiga walizoea kuishi kwa ujanjaujanja na kujipatia Mali kwanjia za ujanja sasa mianya imezibwa wanabaki kulialia tu.
Umeota?
 
How does it make sense? Ulichokiandika hapo how kina relate na nilichokiandika mimi?

Huyo mtoto ana akili zakutosha kukushinda chief,bahati nzuri amerithi uelewa,may God bless my Daughter
Basi kama ana akili unapaswa kushukuru Mungu dogo amechukua akili za mamayake...kwa maana nyingine, hakuchukua ujinga wa faza (baba Nasreen)...
 
Baba nasreen umeongea vzr sana.watu wengi ni ma sadist na si lazima wawe masikini.Hapo ulipo kama mtaani au kazini itokee watu wajue kwamba una nyumba nzuri au uonekana la land cruiser mpya 1kz utaona jinsi hata marafiki zako watakavyokwazika na hali hiyo.wengine na urafiki waweza hata kufa kisa tu kakuona umesogea kimaisha
 
Uliingia kwenye roho zao ukakuta hawana amani?

Hivi hizi shule za kusomea ujinga zinapatikana wapi ambako wengine hatuzipati?
walioenda shule na kusoma vzr wanauwezo wa kuona hadi moyoni kwako na kukusoma vzr sana Ndugu, hata kuangalia watu usoni unasoma kila kitu chao. ILA KWA ELIMU YAKO YA KUUNGAUNGA NA SUPER GLUE KAMWE HUWEZI ONA HILO.
 
Sasa kula na kulala je atawadumia yeye???? Kuna mahitaji muhimu ya binadamu kwanza ndo aseme hayo atayabeba na sio kusema atawasomesha bure ktk shule zilizojaa madawati ila walimu hakuna
 
Unapokuwa na Mkuu wa nchi wa aina ya JPM, hakuna mtu ambaye ndani ya moyo wake anaweza kuwa na amani kwa asilimia 100.
Umeshasikia serikali ya tano imemtumbua MNYONGE????????MOYO WA MNYONGE NI UNA AMANI 100%.
 
Nyio

Wote nyie mnalia baada ya MTU wenu mamvi kushindwa hapa ukichunguza wengi wanaompenda JPM ni wakaskazini wale Ma CDM wazee wa kupiga walizoea kuishi kwa ujanjaujanja na kujipatia Mali kwanjia za ujanja sasa mianya imezibwa wanabaki kulialia tu.
Mr Dhaifu ....,
Jina lako linakutambulisha vyema ...
Huo uchunguzi umeufanya lini na wapi kujua kuwa wanaompinga JPM Kwa HOJA ni wezi , au ni watu wa Kaskazini ....?
Kwa hiyo ulitaka watanzania wrote waimbe nyimbo za kumsifu JPM hata kama anavunja Katiba ...?
Kura za uraisi za Lowassa zilikuwa milioni 6 na zaidi (pamoja na kupunguzwa) , wewe DHAIFU na wajinga wenzako mnambeza MTU huyu kweli ...?
Fanya utafiti wa kweli kuhusu malalamiko juu ya Dictators na mbinu wanazotumia KUTAWALA. Acha kutunga propaganda za kikabila kujibu hoja za wenye akili. Kuzungumza kuwa watu wa Kaskazini tuu ndio wapinzani, si kweli, huku ni kutaka kufanikisha malengo yenu ya kishetani ....!
 
Omba radhi, tafadhali omba radhi, miungu watu sasa mmefikia pabaya, ilifikikia munaiba mabilioni ya watanzania wakati mkitumbuliwa eti tuspige vigelegele hiii ni dharau.
Acha niendelee kukujibu nikikuacha hutajua udhaifu wako.

Ni hivi,Chunguza maneno yng,tumia akili ya ziada kuyatafakari then utang'amua what i meant,BRO I INSIST U "TUMIA SANA AKILI ANGALAU HATA 2% TUU YA UBONGO WAKO ITAKUSAIDIA,I SWEAR KUNA PERCENT HUITUMII NA HAUJUI KM HAUITUMII"
 
Acha niendelee kukujibu nikikuacha hutajua udhaifu wako.

Ni hivi,Chunguza maneno yng,tumia akili ya ziada kuyatafakari then utang'amua what i meant,BRO I INSIST U "TUMIA SANA AKILI ANGALAU HATA 2% TUU YA UBONGO WAKO ITAKUSAIDIA,I SWEAR KUNA PERCENT HUITUMII NA HAUJUI KM HAUITUMII"
Nyinyi wala pilau,biriani, na mandi ya minofu ya nyama ndo mnaotumia full cappacty ya brain cells zenu, sisi ugali bwana dona, charge zetu ziko chiiiinii saana eti eee..
 
Kuna zaidi ya kusomesha. Ana uhakika ataendelea kutawala milele wakati si tuna mpango wa kumpiga chini 2020
Ndio atakapo shangaa! Wake kwa waume, maskino na matajiri, wazee na vija
Kwa hiyo wewe Ndugu yetu 'mpendwa' unatushauri au unawashauri nini???
Ushauri wangu Ni kuwa, kwakuwa tumeshakosea hatuna namna, lakini tusifanye kosa jingine 2020, Tuunganishe nguvu ili Magufuli 2020 ashindwe kabisa.
 
Watu walitahadharisha hii tangu mapema, kuwa tutaishi kimashaka mashaka.!
 
Back
Top Bottom