Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,330
- 17,857
Inamaana tayari?
hahahahaa , i am just encouraging you bana....
Inamaana tayari?
Nimezaliwa jirani na mbuga hii ya wanyama, na juzijuzi jina la mbuga hii limepewa mkoa huu wa jirani. babu alikuwa muwindaji wa mbuga hii.
avatar ndio mimi mwenyewe.
Duh.....na wewe kumbe umepita huku kwetu...??
Alaaa si nilikupa jikeki ule mpaka ukavimbiwa!!
akishindwa aniambie nimsaidie kuhesabu
Hata sielewi unamaanisha nini labda Heaven on Earth anisaidie!!!!Aaaaaaaaaahhhhhhhhh!!!!!!!
Wacha zako weye
Nilikuambia kuwa i need something more,serious than that!
sawa nakusubiria..kiseme jion jion ili ukishaasema tu ........................!!!!!!!!!
amu ni jina langu kamili.Avatar sababu nampenda omosexy tunafanana kidogo nina watoto 3 yet young&sexy
Username inajieleza direct hadi kabila
Hivi unajua maradhi yangu ni kwa wadada kama nyie?
Hebu muulize Heaven on Earth anajua vyema
Daaahhhhh!!!!
Nitamuanzishia thread siku moja we ngoja tu!!!!!!
Duh.....na wewe kumbe umepita huku kwetu...??
hahahahaa , i am just encouraging you bana....
"One day your eyes will open and your mind will learn,with pain and laughter,you will know what you are."
Hata sielewi unamaanisha nini labda Heaven on Earth anisaidie!!!!
You got 2min to xplain this...
You are warmly welcome......utakarimiwa hadi utasahau kwenu ila ukileta ujeuri tu.....!!!
nakufaham uko......sema na mie memories ziko chache sana...
Mmh Katavi hii picha ni ww kweli?
Sielewi unachotaka serious Eiyer!!Urafiki au?Huelewi nini tena wakati tulikuwa tunaelewana?