WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

WanaJF Njooni munieleze mnamaanisha nini?

amu ni jina langu kamili.Avatar sababu nampenda omosexy tunafanana kidogo nina watoto 3 yet young&sexy

kwa post hii ngoja nikuite chemba tuzeveze kwa herufi kubwa...
 
Nimezaliwa jirani na mbuga hii ya wanyama, na juzijuzi jina la mbuga hii limepewa mkoa huu wa jirani. babu alikuwa muwindaji wa mbuga hii.

avatar ndio mimi mwenyewe.


wewe utakuwa aliens mkuu hasa ukizaingatia busara zako na ukaribu wa hiyo mbunga ya wanyama.
 
Username yangu inanidefine the way i am....

Avatar... Kiukweli nampenda huyo mmama aisee, wanaonifahamu live wanajua kiasi gani nampenda huyo mmama! Pia napenda utamaduni wa SA.. Baaaaaaaaas!!!!!
 
My user name imetokana na movie moja hivi....but I think it do describe alot of things pia

My avatar describes one of my character "A very shy girl"

mmhhh....subutu
amu ni jina langu kamili.Avatar sababu nampenda omosexy tunafanana kidogo nina watoto 3 yet young&sexy

we amu wewe....usitutie majaribuni umeona uzi wa babu Dark City na mambo ya Kigali?
 
Last edited by a moderator:
My user name imetokana na movie moja hivi....but I think it do describe alot of things pia

My avatar describes one of my character "A very shy girl"

Uko SHY kweli...??? Comments zako tofauti kabisa na hiyo character yako.
 
Nimezaliwa jirani na mbuga hii ya wanyama, na juzijuzi jina la mbuga hii limepewa mkoa huu wa jirani. babu alikuwa muwindaji wa mbuga hii.

avatar ndio mimi mwenyewe.

Hahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom