WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Umenifanya nilie wivu kabisaaaaaaa!!!
Mi najuaga mimi tu ndo huwa naukoga moyo wako kumbe tuko weeeeeeeeeengi.....lol!

Nina kesi na wewe kuhusu ule mpango wa kufungua chuo cha kuwafundisha hawa wavulana,mbona michango siioni?

ukiwa na mimi uko peke yako wewe
wasi wasi wako nin!i
KWANI SABUNI HII kuwa inaisha?
hawa madogo hakyanani sijui tufanyaje!
ujue natamani niwaletee lile libuku langu la enzi zile!
 
ahsante babu loo mpaka mda huu hujalala?
Kwi kwi bibi ana kazi gani?
Binafsi napenda kuwashukuru wafuatao Mtambuzi kwenye hardest time alikuwa karibu sana na mie sana jamani yaani kiukweli he is one of the kind kanifungua upeo sana,mambo mengi kanisaidia ni mtu pekee anayenijua in and out.Yaani Mtambuzi ana moyo wa ajabu sana yes yaani ana impact kubwa sana kwangu.Ninamuheshimu sana
Pia napenda kuwashukuru snowhite na gfsonwin kile kikao cha siku ile pale ubungo kilinitoa kwenye handaki ujue nawashukuru sana na impacts yake before april mtaiona hapa Nicas Mtei anahusika sana.Jamani humu ndani kuna maangel hapa natamani niandike kila kitu ila nashindwa.
Napenda kuwashukuru tanga wing mlinipa support zaidi ya mara 3 tanga kwenye msiba wa dada yangu,kwenye msiba wa shangazi yangu na nlipoenda kumuuguza dada yangu mwingine kiukweli sina cha kuwalipa nilifurahi sana hapa naandika huku nalia ahsante sana YNNAH ahsante mohamed Mtoi ahsante sana nakushukuru sana hii kumbukumbu haitafutika ahsante sana Mwanyasi ahsante sana arabella ahsante mwenyekiti Dark City ahsante sana mzee CHUAKACHARA ahsanteni sana kwa kweli.
Pia napenda kumshukuru Kaizer alikuwa karibu sana na mimi ana impact kubwa sana kwangu.
Paloma ahsante mamiii ahsante kwa kila kitu umenisaidia kwa kweli na upo karibu sana na mimi.
Madame B nakushukuru kwa kweli una roho ya peke yako ahsante mama.
Nicas Mtei ahsante kwa miushauri yako ya ukweeee watu8 mtaalamu wangu ahsante kwa kutonichoka nikikwamaga mambo yetu ya technolojia mtu wangu wa ukweee.
Special thankx kwa @Maxence Mello kaka mkubwa wa ukweee.
Ahsanteni kiukweli nachoweza kusema nilingia jukwaani mweupe peee ila sahivi i have a confidence,nina msimamo balaaa yaaani mpaka mengine niliyopitia nasema kama bila jf sidhani kama ningeyamudu.
Kipaji Halisi ahsante sana jirani yangu wa ukwee.

Haki ya nani sikujua kama nina maujiko kiasi hiki.
Nakushukuru sana amu, usichoke kuwasiliana nami pale utakapoona unahitaji neno langu.

Tupo Pamoja
 
Last edited by a moderator:
Wapi swahiba Mbu mbona tumetupana??

Nitakusubiri JKIA ukishuka tu kutoka Kigali (fi you will ever make it)....lol!!

Babu DC!!

.......hahahaha.....swahiba, subiria mapicha tu.... ImageUploadedByJamiiForums1387198210.883595.jpg ....mpaka sikukuu ziishe!
 
Last edited by a moderator:
Haki ya nani sikujua kama nina maujiko kiasi hiki.
Nakushukuru sana amu, usichoke kuwasiliana nami pale utakapoona unahitaji neno langu.

Tupo Pamoja

Wewe tena? Nakuhakikishia utavunja rekodi ya mazishi ya Madiba mkuu.....

Bahati mbaya sina jinsi ambavyo nitaweza kukuthibitishia kwani hutaona...lol!!


Babu DC!!
 
ukiwa na mimi uko peke yako wewe
wasi wasi wako nin!i
KWANI SABUNI HII kuwa inaisha?
hawa madogo hakyanani sijui tufanyaje!
ujue natamani niwaletee lile libuku langu la enzi zile!

Wewe nawe kwa kutia mpira kwapani sikuwezi...

Umemtelekeza Eiyer na kumwacha kama mtoto wa mtaani...lol!!

Mzima lakini?

Mwaka 2014 hakuna kuchokozana...sawa?

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Ameen kaka, ....naambiwa nikutaarifu siku kuu ya mwisho ni February 14th 2014!....


Sawa mkuu...kule majuu wanasema kuwa "fingers crossed" wakati huku kwetu tunaweka mikono kama vile mpira wa adhabu unapigwa kuelekea golini kwetu....


Inshallah, February siyo mbali ki hivyo..

Babu DC!!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Wewe nawe kwa kutia mpira kwapani sikuwezi...

Umemtelekeza Eiyer na kumwacha kama mtoto wa mtaani...lol!!

Mzima lakini?

Mwaka 2014 hakuna kuchokozana...sawa?

Babu DC!!

babu basi nikuhadisie!
kule kwangu nina majogoo matatu!mawili yameshaanza kuwika!eheheheheh kamoja bado!
sasa mitetea mnne inalalia si nikaona niongeze tetea lingine!
ehehehhehehhee hizo ngumi zinazolika bandani kuna siku ntakuta wamenichomea nyumba
!
sasa Eiyer anabaki kulia lia tu hapa hado ze neeful si ndo nambustisha makusudi!
mimi bana mwakani sitakuwa na ugomvi na mtu hata!
iiila sasa ole wako nisikie dadakubwa na babu wa pande zake umewaalika!
moto ntakaokuwashia!ehehehhehehhe chichemi!
😛lane:
Mjukuu DC
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom