MwanaFalsafa1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 5,564
- 849
Nafikiri kuhama mtandao wa voda siyo ubaguzi wa aina yeyote ile ila ni kupambana na mafisadi mpaka wasalimu amri! waiache Tanzania istawi kama ilivyobarikiwa kuwa na rasilimali tele! wewe kama kweli unataka kupambana na mafisadi huna budi kuacha kutumia bidha zao zote! mwenye kujua bidha za mafisadi azitaje ili tusinunue. Kwa kweli inauma sana na ni aibu kwa nchi yenye kila rasilimali halafu wananchi wake wamechoka mbaya! huduma za jamii aibu tupu!
Je na vyombo vya habari kama Vya IPP,Mwanahalisi nk wanapokea matangazo ya Vodacom vipi nao wasusie matangazo hayo????
Heshima mbele MMKJJ, kwanza nakushukuru kwa angalizo, ila hukutoa sababu ya angalizo hili. Mimi naamini issue sio gharama wala umiliki wa mafisadi.As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.
Nilikuwepo.
M.M.
kaka leo umechemsha sana,
nilikuona wa maana sana hapa juzi kati lakini kwa hili umenikera sana
Masatu we! kama kawaida yako. Ama kweli wewe ni beki mstaarabu.
Huyu jamaa sasa ataanza kupoteza heshima au ndo ana zeeka vibaya?!
1. Kama ni simu kusikilizwa kinyume cha sheria, mitandao yote iko monitored na wenye nchi, na sio hao tuu, bali mpaka mabwana wakubwa wa wenye nchi. Rule out sababu za kiusalama.
.
Acha uongo wewe na dhihaka zako. Hilo bandiko lako tumeshaliona siku nyingi sana likiwa linasambazwa kwenye mtandao kwa nia mbaya ya ushindani wa kibiashara. Ingia kwenye website ya Vodacom http://www.vodacom.co.tz/docs/docredir.asp?docid=3389 ujue gharama halisi wanazolipisha usitufanye wajinga sisi wote hapa JF.
Makampuni ya simu Tanzania na ufisadi wake:
(a). VodaCom- Kuna RA (share holder 35 %), Somaiya (Shivacom -super dealer ), Lowasa - Alphatel (dealer)
(b). Zain (wameifisadi TTCL hadi ikabinafsishwa kwa bei chee na wameingia TZ kwa wizi na utapeli mkubwa)
(c). Tigo (wamekuwa wakibadili majina kila baada ya miaka 5 kukwepa kodi: 2001 from Mobitel to Buzz, 2006 from Buzz to Tigo) na ukifuatilia tangu kuanzishwa kwake mwaka 1993 ikishirikiana na shirika la posta na simu wakati huo mpaka sasa ime-undergo several dubious contracts na serikali. Mpaka sasa kampuni inamilikiwa na Millicom ya Luxemburg kwa asilimia 100 % kinyume na sheria za nchi
(d). TTCL - hii nayo imebinafsishwa kwa Wa-Kanada kifisadi kupita kawaida na bila shaka mafisadi wana share huko. Kwahiyo tunatupa simu zote na kufunga landline zetu zote tuwasiliane kwa internet na barua.
It is too late now but not too late enough..
kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP
As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday)
Do it or be ready to live with the consequences.
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.
Nilikuwepo.
M.M.
Ama katika hoja za kipuuzi hii ni moja wapo, yalimshinda Mmerekani na vikwazo vya biashara, utaweza wewe?
No no no. Hilo umechemsha kama kawaida yako, ni chuki za kibinafsi na agenda za siri zimekujaa (Mwanakijiji), sasa inaonesha unaposhindwa kisiasa unaanza mashambulizi kibiashara, wewe nadhani unaweza kuuwa kwa roho mbaya ulionayo!
Tusifanye mambo kwa kutaka kuridhisha nyoyo zetu bila ya kuangalia na kujali maslahi ya Taifa