Wanahabari tambueni kwamba sheria ya uwekezaji wowote wa maliasili kujadiliwa bungeni ni kwa mujibu wa sheria ya 2017, si fadhila za viongozi

MWANAHARAKATI MWEMA

Senior Member
Dec 16, 2022
192
270
Ni upuuzi Kibanda na wenzake kuwaambia wahariri wa vyombo vya habari kuwa mijadala hii miaka mitano iliyopita isingekuwepo.

Hivi hiyo Sheria ya mikataba ya Maliasili kujadiliwa si ni kwa mujibu wa Sheria na aliyefanikisha hayo Si JPM Kwa Sababu ya uzalendo wake kwa nchi ndio hiyo Sheria ikatungwa.

Wameniudhi kwaherini.
 
Back
Top Bottom