HaaahaaaHakuna mazingira hilo linaweza kuhalalishwa,
Hapo kuna watakaokula umeme, believe me utaleta update hapa.
1. Utovu wa nidhamu.
2. Mwanafunzi ni kama kuruta Hana haki hata kama ana haki.
Kizazi cha kondoo kinafutika Tanzania.Wangeweza kuondoka pasi na kurusha mawe kwenye ofisi(kuharibu Mali za shule )
Hapo kama Kuna kilichoharibika ni wajiandae na malipo
Kiongozi unaongea namimi kweli au umechanganya madesa .......? Umenielewa kweli,? 😂😂😂Kama madai yao ni ya msingi wangeyapeleka Kwa mkuu wa shule, Hata hivyo naona umeileta habari hii kishabiki unaweza kuwa ni mwalimu hapo na una una ugomvi na mtaalum
Haaahaaaa Geseco?Siku hizi hakuna "maseleka" shuleni,Form 4 unakuta ni umri wa miaka 16&17.
Watu walichoma shule kisa umepikwa ugali siku ya wali tena shule ya O-Level tu.😁.