HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 73,254
- 103,389
Polisi wenyewe wameanza watemaCertificate ya ualimu hawachukui div 4 siku hizi
Mwisho no div 3 tena ya 24
Labda aende upolisi au jeshini.
Polisi wenyewe wameanza watemaCertificate ya ualimu hawachukui div 4 siku hizi
Mwisho no div 3 tena ya 24
Labda aende upolisi au jeshini.
Wazazi hatubebi majukumu yetuNafikiri HUENDA mamlaka ikawa inaharibu elimu kwa makusudi ili wananchi waendelee kuwa wajinga na watawalike kwa urahisi.
Pole sana, nenda ufundi wowoteMm nmepata div four ya 30 nishaurin jmn naweza soma ishu gani hata certificate ndo nmepata matokeo leo
Ukichukua asilimia ya kutoa wakati umeferi ni ndogo mno, bahati haipo kwa woteCheki hili nalo kuna diamond wangapi bongo kwani acha kuwa na ndoto za abunuasi hao wote watenda kupambana ila hamna atakayemfikia mondi sababu kila mtu ana njia ya kutoboa kimaisha mfano elimu labda ndo ilikuwa njia ya 74% ya hao 0 material ila wakaipuuuuza ndo tunakuja kupata malaya,shoga na masikini juu Mimi nina mfano hai wa ndugu aliyepuuzia elimu akajikuta mondi saizi ni lalahoi kama maharage ya juzi
Hivyo usikariri kwamba kila anayefeli shule atafanikiwa maishani nyooooookoo
FEZA Schools wanafaidi pesa za Serikali sababu ya Usalama wa watoto waoCHa kushangaza,
Watoto wao hawasomi elimu zetu hizi[emoji3525]
Kwa mtazamo wàko , vijana wote Sasa wapate four na ziro Ili wawe wafanyq iashara wakubwani nzuri sana , wakipata zero hao wanakuja kuwa wafanyabishara wakubwa na wakulima , hawa wajinga waliopata division three na one hawa wanaenda kuwa na wakati mgumu sana siku za hapo badae
Veta zipo za kutoshaYaan zero zaidi ya 100 yaan miaka 4 yote kapa aiseeView attachment 2499069View attachment 2499070
Nieleweshe hapo kwenye wafanyabiasharaDivision 4 ni 0 pia
Hao ndo madada poa
Ndo wadangaji
Ndo machinga
Ndo boda boda
Ndo wapiga debe
Ndo wafanya biashara
MkuuYaan zero zaidi ya 100 yaan miaka 4 yote kapa aiseeView attachment 2499069View attachment 2499070
Kwhy wakazi wengi wa dar hawana umaskini?Hata shule za Dar?
Si ndio wanapata connection za udalali etc, maduka ya mangiNieleweshe hapo kwenye wafanyabiashara
Basi ndio sababu iliyokufanya ufeli, ulikua bize sana na smartphone kuliko masomo. pambana na hali yako!!Ss shulen day tulikuwa tunaenda tu na simu mbona
Dah umeandika Kwa hisia sanaKuna diplomasia
Uhamiaji
Kurasini
ZIMEPAKANA HIZO
Watoto wanakula bangi kama chakula.
Mwalimu jichanganye wanakudunda... yaani hata class ukimshikia fimbo mwanafunzi wanakusaka nje ya shule wanakupiga hatari.
Ulizia walimu hapo
Kuna mmoja alimfata mwalimu akamwambia upo kwenye list kaa kwa kitulia usifatilie watu
.....nakaa maeneo ya karibu na hizo shule....
WATOTO NI WAHUNI KULIKO MAELEZO.
Tena nahisi hayo matokeo wamestandadaiz.halali halali hamna wa kupata 3 pale.na woote hao walimaliza la saba kwa ufaulu wa A$B
Huyo anakuchezea akili ni baba wa familia yupo tra singida kaajiriwaBasi ndio sababu iliyokufanya ufeli, ulikua bize sana na smartphone kuliko masomo. pambana na hali yako!!
Marcy me street of my arteries veins of my existence I'm the dude from hustlingKwani miaka ya nyuma walikuwa wanaenda wapi?
Kufeli masomo sio kufeli maisha bado wana nafasi ya kujipigania
Waliua mwalimu juzi kati hao machaliii.Dah umeandika Kwa hisia sana
Ukiwaelekeza au wakikaa na mtu anayefanya kazi yeyote huwa wanaadapt. Tatizo la msomi anafikiria sana, na anahofu ya kupata hasara!Hizo kazi za kufanya nao hao ambao hawajasoma labda Ni bodaboda(sijadharau maana najua Kuna Bodaboda wenye mpk masters), ukiwa na biashara kumfanya messenger etc.In short kazi za dizaini hio