Wanafunzi hawa waliopata zero wanaenda wap?

Wanafunzi hawa waliopata zero wanaenda wap?

VETA ndio pagumu zaidi kuliko secondary hipo hivi kule kuna masomo saba

English
Life skills
Marth
Engineering science
Entrepreneurship
Computer
Technical Drawing

Hayo masomo hukifahuru yote una enda level 3 ukifahuru tena una enda diploma haya masomo ni kama yale ya science ya secondary utacho ambulia ni ujuzi tu labda ujitambue ujitume hili uwende mbali zaidi
Nafahamu vizuri kiongozi... na huko vilaza wamejaa. Wana mtihani wao wanaufanyaga December ni shida! Mpaka wengine wananunua mitihani ya NABE. Wenyewe wanaita NABE maana wako chini ya TCU na hakunaga anayefaulu matokeo yake wengi wanarudi kitaa au wanakuwa seremala, washonaji au wachomeleaji Vyuma... sasa mtu alishindwa Physics na hesabu eti akasome fani ya umene VETA aajiriwe tanesco. Kumbuka hiyo fani ya UMEME imejaa Physics na hesabu tu 😔😔😔

Ooohh! TANZANIA yangu weeee unakwenda wapi?! 🥺😔😔😔😔
 
Hawa wanafynzi wa vyuo asilimia kubwa wanafaulu kwa kukariri, utaskia wanajifu
"Elimu ya udsm ngumu Sana"
Kumbe eimu yenyewe ya kujazia notes,vitini na vitabu kibao, practice&skills Ni sifuri
Mimi nani nipinge? Msomi wa TZ hatakiwi kutamba kwa lolote mbele ya asiyesoma kwa sababu hana impact in real sense kwa jamii na maendeleo ya jamii kiuchumi, kiteknolojia n.k!

Tuna kazi kubwa mno ya kufumua fumua haya mamifumo na kuyasuka upya.

Jiulize why tunalalamika uhaba wa maji na mazao at some moments, while tuna SUA? Wataalam wanafanya kazi gani?

Hujiulizi ni research gani iliyofanywa na UD ikaleta matokeo at large scale in real life countrywise?

Nchi hii naweza kusema We aren't serious in majority of all sensitive things!

Yaani madangi madangi karibu kwenye kila nyanja muhimu
 
Kwa hio wa Div 1 watakuja kuajiriwa na nani? Serikali? Huwa hatutakua kuukubali ukweli kwamba kwa sasa nyakati zimechange sana, mtaani kuna Graduate wasio kuwa na idadi, hizi mentality za kukariri kwamba ufaulu mzuri ni tiketi ya maisha mazuri ni za kizamani sana, Time will tell
Wewe sio Mungu wapo watu walifeli na bado maisha yamewapiga mbaya mbovu. Ni nani amesema kuwa watu wote wanaosoma wanaajiriwa?
Wewe kama ulifeli acha kukatisha tamaa watu kusoma.

Kwa hiyo unaamini watu waofeli darasani ndo wanaticket ya kupata maisha mazuri?
 
Mboe alizungusha Ila Leo analamba asali
Wachaga, Wahaya na Wahindi ni wajanja wajanja tu... wanajulikana. Ukikuta majinga yanasifia haya makabila eti yana mafanikio sana! Nyie nyie 😂😂😂🙌🏾


Kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza
 
Halafu utakuta walikuwa wanapigwa fimbo kila siku badala ya kujua changamoto zinazowakabili na kwanini hawaelewi

Ni mjinga tu atakaefurahia haya ila kuna tatizo kwenye mfumo wote wa Elimu
Yaani hawajui kufundisha na waliofaulu wamekariri tu kila kitu
Kila nchi kuna wanaofeli acheni ujinga
 
Kwahiyo mwenye "D" zote na "C" mbili atleast akapata division 4 ya point 26 ambayo anaweza kwenda chuo au kusoma kidato cha tano (5) huku ana-reseat ni sawa na wenye "F" zote?! 😳 we vipi?!

Division 0 maana yake ni Failure!.. ni kama la saba tu wala haesabiki kwenye kundi la waliosoma sekondari. (Huyu kapoteza muda tu..., yaan alienda kukua,kujifunza uhuni wa kijinga, kupata mademu, mabwana na kupata washkaji na kuvuta bange basi!)

Division 4 hana ufaulu wa kwenda kidato cha tano ila anaweza kusoma mambo mengine au kurudia shule na akafanya vizuri.
Nimecheka kama chizi vile
 
Anazungumzia Scholarship...! Kwahiyo una Verification badge ila mambo kama haya huyajui na huyaelewi pia?! 😀🤔🤔🤔
Kwani verification badge inatolewa kwa div 1 tu

Hio badge inahusiana Nini na kuelewa maswala ya scholarship ..kutokujua kitu Ni kwamba huna kazi nacho , eg Mimi Hadi namaliza elimu yangu ya chuo kikuu sijui chchte kuhusu mikopo inayotolewa na serikali sijui namna ya kuomba Wala sijawahi taka fahamu posho yao per day huwa nilikuwa nasikia wakisema huyu ana asilimia 80 ila sielewi je inamaana me sikuwa mwanafunzi?


Comment zako hazina hoja wewe Ni wale mabingwa wa ku cremu mijadala Kama hi ndo tunaona namna mpo vichwa wazi
 
Kwani verification badge inatolewa kwa div 1 tu

Hio badge inahusiana Nini na kuelewa maswala ya scholarship ..kutokujua kitu Ni kwamba huna kazi nacho , eg Mimi Hadi namaliza elimu yangu ya chuo kikuu sijui chchte kuhusu mikopo inayotolewa na serikali sijui namna ya kuomba Wala sijawahi taka fahamu posho yao per day huwa nilikuwa nasikia wakisema huyu ana asilimia 80 ila sielewi je inamaana me sikuwa mwanafunzi?


Comment zako hazina hoja wewe Ni wale mabingwa wa ku cremu mijadala Kama hi ndo tunaona namna mpo vichwa wazi
POLE SANA! Umekula?!
 
Kwan Diamond ana division ngap
Cheki hili nalo kuna diamond wangapi bongo kwani acha kuwa na ndoto za abunuasi hao wote watenda kupambana ila hamna atakayemfikia mondi sababu kila mtu ana njia ya kutoboa kimaisha mfano elimu labda ndo ilikuwa njia ya 74% ya hao 0 material ila wakaipuuuuza ndo tunakuja kupata malaya,shoga na masikini juu Mimi nina mfano hai wa ndugu aliyepuuzia elimu akajikuta mondi saizi ni lalahoi kama maharage ya juzi


Hivyo usikariri kwamba kila anayefeli shule atafanikiwa maishani nyooooookoo
 
Usiingize Ujinga kwenye Discussion zenye mantiki. Huyo Diamond wako ana secret zake zilizomfanya afike pale... usipende kudanganyika na kuhadaika na mafanikio ya watu usiowajua kiundani. Fikiri kama mwanaume mwenye akili timamu. Shauri yako!
Asante huyu jamaa anaropokaa anadhania kila kilaza ni mondi wa keshoo ohoooo
 
Kwa hio umekubali wewe Ni mjinga ? Hakuna uhusiano Kati ya kutoboa maisha na kufaulu darasan ..nilipo wasambaa wengi Ni mafundi pikipiki wametoka huko tanga kuja kupambana huku ...machalii wadogo wako wameshaanza shika pesa wewe unakaa unang'aa macho na div 1 yako na wengi nimeshuhudia wametoboa Tena wengine hata dawati la form 1 hawajakalia
Wachaga, Wahaya na Wahindi ni wajanja wajanja tu... wanajulikana. Ukikuta majinga yanasifia haya makabila eti yana mafanikio sana! Nyie nyie 😂😂😂🙌🏾


Kweli usilolijua ni sawa na usiku wa giza
 
Back
Top Bottom