Wanafunzi hawa waliopata zero wanaenda wap?

Wanafunzi hawa waliopata zero wanaenda wap?

Divisheni ziro iko TANZANIA tu! Acheni story za vijiweni ni nchi gani ingine ina divisheni ziro?!

Na ni Rais gani huyo alipata divisheni ziro?! Mnapandikizwa chuki tu mnaingia LINE kiurahisi... urais ni taasis kubwa ndugu yangu acha kabisa!
Ni maoni yangu unipangiiiiiiiiii wala sikupangiiiii you bloodklaaat.
 
(i) Division 4 ni 0 pia

1. Hao ndo madada poa

2. Ndo wadangaji

3. Ndo machinga

4. Ndo boda boda

5. Ndo wapiga debe

6. Ndo wafanya biashara
Mmm.Mm sikubaliani na hapo Na. 6. Labda iwe biashara ya kubangaiza i.e. kuuza vitumbua, maandazi, karanga au kutembeza ndizi na zabibu kando ya barabara.
Vinginevyo ni vibaka.
 
Mfumo wetu wa elimu ya Primary na sekondari uangaliewe upya.

Huu mfumo haumsaidii mwanafunzi akaweza kujitegemea. Unatengeneza kundi kubwa la wasaka ajira ambao hawaajiriki. Ni bora sekondari mfumo wake uwe wa kujifunza zaidi stadi za kazi ili mwanafunzi anapomaliza form 4 awe anaweza kuajirika, kujiajiri au niseme kujitegemea.

Sasa hapo mtu kapoteza miaka 4 na hana ujizi wowote kichwani. Nikupotezeana muda.

O'level zote zibadilishwe ziwe kama VETA na msisitizo uwe kwenye kujifunza stadi za kazi
 
Divisheni ziro ni nickname tu na tafsiri yake halisia ni "Failed" (FLD)... yaani umepoteza muda tu na wewe hauna tofauti na Darasa la saba ila ni darasa la saba uliyechangamka.

Wabongo tukatunga na kuongezea kwa kuipa jina la "Division zero!" Sijui kwa maana gani... na hii divisheni ziro iko TANZANIA tu! Acheni story za vijiweni ni nchi gani ingine ina divisheni ziro?!

Na ni Rais gani huyo alipata divisheni ziro nchini?!... Unajua hayo ni matusi, kebehi na dharau kubwa sana kwa kiongozi mkubwa wa nchi na wanaoongozwa wote na wewe ukiwemo... unajua hilo?!

Mnapandikizwa chuki tu mnaingia LINE kiurahisi... urais ni taasis kubwa ndugu yangu acha kabisa!
Kupata zero maana yake yeye ameshindwa kukariri vitu ya darasani na sio kuelewa, kwa sababu bata hao wa Div 1 ukimuweka leo mtaani hawezi ishi kabisa
 
Teh teh teh, theoretically inawezekana.
Kwa hio wa Div 1 watakuja kuajiriwa na nani? Serikali? Huwa hatutakua kuukubali ukweli kwamba kwa sasa nyakati zimechange sana, mtaani kuna Graduate wasio kuwa na idadi, hizi mentality za kukariri kwamba ufaulu mzuri ni tiketi ya maisha mazuri ni za kizamani sana, Time will tell
 
Back
Top Bottom