econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 23,785
- 36,804
Kumbe wenye zero ndio wanaajirigi wenye one, basi sawa.
Tunadanganya watu Sana, kwamba aliyepata zero atamuajiri mwenye one. Mazingira ya Sasa ya biashara Ni magumu, lakini tunadanganyana Sana. Tunajaribu kuficha aibu ya kufeli kwa kutafuta maneno ya kujifariji. Kwa mfumo tulionao, mtoto anayepiga one amejitahidi na ana uwezo mkubwa kuliko aliyepata zero. Sasa mambo ya mtaani wote wananishi mtaani, yeyote anaweza kufanya vizuri.