Alafu akisha enda form 5 au aka re seat ndo inakuaje akimaliza Hata huyo wa zero kashatoa ujinga kichwani kila my anaenda shule kupata kitu flani sio WOTE Wana lengo mmoja,, Mimi vyeti vyote viko ndani Wala sijawahi tembea na Cheri kuomba kazi anywhere shule nilifata vitu vingne sio nitoke nianze kuzurura naomba kazi ,, si ajabu nilisoma sababu wazazi hawakutaka kunipa pesa ya chuo mkononi nikazisake mapema hawakuweza kunipa 1mil cash nisisome Tena nikapambana kitaa ila walikuwa tayari kulipa 2.5M kwa mwaka kwa miaka mitatu huo ndo utofauti
Na huwezi sema miaka yote minne kapa ..huo mtihani haujaanzwa fanywa form 1 ,, means kapita huko pote vizuri ,, ila mwshoni mtihani wa kumaliza kazingua kila la kheri kwao ..na hao unaowaona wamepata zero ndo watakuwa maarufu badae na hao wa 4 div watatoa ajira kwa wenye dv 1 na 2 na 3 badae