Wanafunzi hawa waliopata zero wanaenda wap?

Wanafunzi hawa waliopata zero wanaenda wap?

Hawa badae ndio matajiri wanajifunza biashara na ujasiliamali ukija una madgrii yako kutafuta kazi anakuajili anakulipa mshahara
Naam; Hilo linawezekana kabisa. Kuwa na madigrii sio pass port ya mafanikio ijapokuwa inaweza kuchangia.
 
Hawa badae ndio matajiri wanajifunza biashara na ujasiliamali ukija una madgrii yako kutafuta kazi anakuajili anakulipa mshahara
Wajinga kama nyinyi mnaotetea ujinga muuwawe. Unadhani biashara na skills zake ni matako kila mtu anayo?! Amka we kilaza... au ulifeligi shule ndo unajitafutia sympathy mtandaoni kujipa moyo na kuona ulichokifanya sio burden maishani mwako?! Acha kuwajaza ujinga hao bodaboda wa baadae 😏
 
Wajinga kama nyinyi mnaotetea ujinga muuwawe. Unadhani biashara na skills zake ni matako kila mtu anayo?! Amka we kilaza... au ulifeligi shule ndo unajitafutia sympathy mtandaoni kujipa moyo na kuona ulichokifanya sio burden maishani mwako?! Acha kuwajaza ujinga hao bodaboda wa baadae 😏
Mmhh! Mkuu Usiwe na makasiriko kiasi hicho kwamba unahukumu wauawe. Yan kwako ww, mtu kuuawa ni kitu kirahisi-rahisi tu. Halafu naona unazo points muhimu lakini kwa kukasirika kwako umeishia kumtukana mwenzio na hoja yako umeshindwa kuiwasilisha na imepotea. Kuwa mtulivu tu unapojibu hoja ya mtu hutapungukiwa na kitu.
 
Hawa badae ndio matajiri wanajifunza biashara na ujasiliamali ukija una madgrii yako kutafuta kazi anakuajili anakulipa mshahara
Hizi akili za siafu zimewacost wengi ulisikia wapi kila anayefeli shule atafanikiwa maishani 😂😂😂😂😂😂😂😂. Daaah haya bwana kaa hivyo hivyo utacheka na roho yako mkuuu
 
Wajinga kama nyinyi mnaotetea ujinga muuwawe. Unadhani biashara na skills zake ni matako kila mtu anayo?! Amka we kilaza... au ulifeligi shule ndo unajitafutia sympathy mtandaoni kujipa moyo na kuona ulichokifanya sio burden maishani mwako?! Acha kuwajaza ujinga hao bodaboda wa baadae 😏
Kuna watu ni wa pumbavu sijawahi kuona aseee kutwa kukariri maisha eti all school failures make it in life ujinga na upumbavu unaua sana taifa hili asee
 
Akhu sina makosa mie,waaalimu hao wanasababisha ongezeko la boda boda😂😂😂😂
Kumbe ligi la boda boda na walimu lilianza kitambo sana 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓
Daah walimu wanazingua sana..
 
Kuna watu ni wa pumbavu sijawahi kuona aseee kutwa kukariri maisha eti all school failures make it in life ujinga na upumbavu unaua sana taifa hili asee
Inasikitisha 😔... aliyefanya vizuri anazongwa na kupigwa mawe mapema. Aliyefeli anapewa utajiri wa maneno/kauli mapema 😅🙌🏾
 
Mmhh! Mkuu Usiwe na makasiriko kiasi hicho kwamba unahukumu wauawe. Yan kwako ww, mtu kuuawa ni kitu kirahisi-rahisi tu. Halafu naona unazo points muhimu lakini kwa kukasirika kwako umeishia kumtukana mwenzio na hoja yako umeshindwa kuiwasilisha na imepotea. Kuwa mtulivu tu unapojibu hoja ya mtu hutapungukiwa na kitu.
Acha kujidanganya na kudanganya umma! Kuna impact mbaya ukifeli shule. Utajiri na biashara hazitolewi hovyohovyo tu kwa mali kauli namna hiyo.


Watch your steps
 
Wajinga kama nyinyi mnaotetea ujinga muuwawe. Unadhani biashara na skills zake ni matako kila mtu anayo?! Amka we kilaza... au ulifeligi shule ndo unajitafutia sympathy mtandaoni kujipa moyo na kuona ulichokifanya sio burden maishani mwako?! Acha kuwajaza ujinga hao bodaboda wa baadae 😏
Una miaka mingapi mkuu unaonekana wewe bado mtoto, waliofaulu shule wote wamefanikiwa maishani? Usikariri
 
Una miaka mingapi mkuu unaonekana wewe bado mtoto, waliofaulu shule wote wamefanikiwa maishani? Usikariri
Nibatize wewe miaka kijana wangu 😊

Kuna tofauti kubwa sana hata ukikaa na kuzungumza na aliyekwenda shule na ikamuingia kisawasawa na ukakaa kuongea na kilaza tena wa namna yako.


Na sijasema kwamba ukienda shule ndo utafanikiwa, na usipoenda hutafanikiwa. Tuliza mabange yako mdogo wangu. Unajua kwamba gateway ya kuingia rasmi kwenye mifumo formal ya kila kitu nchini ni cheti cha form-four?! Unalijua hilo...?!
 
Kupata zero maana yake yeye ameshindwa kukariri vitu ya darasani na sio kuelewa, kwa sababu bata hao wa Div 1 ukimuweka leo mtaani hawezi ishi kabisa
kweli ni kukariri kwa sababu baada kumaliza mtihani ukimuuliza hajui tena alichosoma alafu application yake katika maisha nu ndogo
 
Kwa hio wa Div 1 watakuja kuajiriwa na nani? Serikali? Huwa hatutakua kuukubali ukweli kwamba kwa sasa nyakati zimechange sana, mtaani kuna Graduate wasio kuwa na idadi, hizi mentality za kukariri kwamba ufaulu mzuri ni tiketi ya maisha mazuri ni za kizamani sana, Time will tell
good
 
Alafu akisha enda form 5 au aka re seat ndo inakuaje akimaliza Hata huyo wa zero kashatoa ujinga kichwani kila my anaenda shule kupata kitu flani sio WOTE Wana lengo mmoja,, Mimi vyeti vyote viko ndani Wala sijawahi tembea na Cheri kuomba kazi anywhere shule nilifata vitu vingne sio nitoke nianze kuzurura naomba kazi ,, si ajabu nilisoma sababu wazazi hawakutaka kunipa pesa ya chuo mkononi nikazisake mapema hawakuweza kunipa 1mil cash nisisome Tena nikapambana kitaa ila walikuwa tayari kulipa 2.5M kwa mwaka kwa miaka mitatu huo ndo utofauti

Na huwezi sema miaka yote minne kapa ..huo mtihani haujaanzwa fanywa form 1 ,, means kapita huko pote vizuri ,, ila mwshoni mtihani wa kumaliza kazingua kila la kheri kwao ..na hao unaowaona wamepata zero ndo watakuwa maarufu badae na hao wa 4 div watatoa ajira kwa wenye dv 1 na 2 na 3 badae
kuna jamaa mmoja anamiliki shule ya private yeye aliishia la nne na ameajiri watu wa MA cha kushangaza akibweka tu watu na masters zao wanatetemeka balaaa.
 
Back
Top Bottom