Sambinyakwe kitololo
JF-Expert Member
- Nov 15, 2022
- 2,429
- 2,970
umepika nn mama?POLE SANA! Umekula?!
umepika nn mama?POLE SANA! Umekula?!
Ss shulen day tulikuwa tunaenda tu na simu mbonaAcha uongo ww joined 29 October 2022 ulikuwa day au boarding hii simu uliipataje wakati ulikuwa shule bado 😠
Na wasomi wenyewe uko sua na udsm wanafundishwa na kina lipumbaMimi nani nipinge? Msomi wa TZ hatakiwi kutamba kwa lolote mbele ya asiyesoma kwa sababu hana impact in real sense kwa jamii na maendeleo ya jamii kiuchumi, kiteknolojia n.k!
Tuna kazi kubwa mno ya kufumua fumua haya mamifumo na kuyasuka upya.
Jiulize why tunalalamika uhaba wa maji na mazao at some moments, while tuna SUA? Wataalam wanafanya kazi gani?
Hujiulizi ni research gani iliyofanywa na UD ikaleta matokeo at large scale in real life countrywise?
Nchi hii naweza kusema We aren't serious in majority of all sensitive things!
Yaani madangi madangi karibu kwenye kila nyanja muhimu![]()

CHa kushangaza,Nafikiri HUENDA mamlaka ikawa inaharibu elimu kwa makusudi ili wananchi waendelee kuwa wajinga na watawalike kwa urahisi.

Where is tusi there unatafuta huruma😁 Pole Sana wewe ndo ulipata div ngap vileMdogo wangu KIDUME20 hebu ongea na huyo jamaa hapo 😅😅😅 anajiita Bob sambeke
Anaonekana design kama Psycho kidogo 🤔
Maana tunaongea mambo kwenye level tofauti ya fikra, uelewa na uchambuzi wa mambo yeye anakimbilia kukurupuka na kutukana watu asiowajua 😅... ndomana nilimuuliza amekula?! Wengine wanakuja kutukana watu huku wanatumia WI-FI za hoteli au Hotspot za washkaji alafu wanakuja kutuvimbia humu 😊
We acha na childish men mkuuMdogo wangu KIDUME20 hebu ongea na huyo jamaa hapo 😅😅😅 anajiita Bob sambeke
Anaonekana design kama Psycho kidogo 🤔
Maana tunaongea mambo kwenye level tofauti ya fikra, uelewa na uchambuzi wa mambo yeye anakimbilia kukurupuka na kutukana watu asiowajua 😅... ndomana nilimuuliza amekula?! Wengine wanakuja kutukana watu huku wanatumia WI-FI za hoteli au Hotspot za washkaji alafu wanakuja kutuvimbia humu 😊
We ni mkereketwa kweli 🤣🤣Ss shulen day tulikuwa tunaenda tu na simu mbona
Hao ndugu zako ndo taifa zima ,, ovyo kabisaWe acha na childish men mkuu
Thinking capacity kama ya dogo wa la 5 unategemea nn sasa
Mwache aropoke tu maisha yatamfunza sio kila aliyeikimbia elimu ametoboa mi nina ndugu wanalia na kusaga meno kisa walipelekwa shule wakagoma
Heri nusu shari kuliko shari nzima
Ulaya ya wapi unaongelea aisee?Masomo mengi sana inabidi toka darasa lq kwanza mpaka form six masomo yawe mawili tu kama ulaya
Bro basi amini unachoamini mi sikulazimishi maisha ni kuchagua hunijui sikujui chagua fungu lako 😒Hao ndugu zako ndo taifa zima ,, ovyo kabisa
Uwezo wako wa kufikiri Ni Kama ubongo wa bataAcha uongo ww joined 29 October 2022 ulikuwa day au boarding hii simu uliipataje wakati ulikuwa shule bado 😠
Wako Diamond wangapi Tz hii?Kwan Diamond ana division ngap
Usimjibu huyo. Ana Frustration ya maisha. Ndo wale wenye kumiliki ID zaidi ya moja... zingine za kuombea watu pesa kwenye PM wakijifanya wanawake tena wenye shida sana! Huyu jamaa nimemsoma kidogo namuona atakuwa CHIZI kidogo si bure 🙂Bro basi amini unachoamini mi sikulazimishi maisha ni kuchagua hunijui sikujui chagua fungu lako 😒
Bro basi amini unachoamini mi sikulazimishi maisha ni kuchagua hunijui sikujui chagua fungu lako 😒
Hizo kazi za kufanya nao hao ambao hawajasoma labda Ni bodaboda(sijadharau maana najua Kuna Bodaboda wenye mpk masters), ukiwa na biashara kumfanya messenger etc.In short kazi za dizaini hioMaisha ni fomula sio Division na Kupata ziro sio kuwa na ziro maishani.
Unaweza ukawa na 1 mtaani ukaliftiwa na 0.
Akili mkichwa, division 0 ana alternative! 🙌
Wote wakifaulu mjini tutakosa mboga.
Ukitaka mambo yaende fanya kazi na ambaye hajasoma, kwani
wasomi wengi akili yao imelala, ni wavivu wa kujitoa. 🙌
Wewe inaonekana Ni single momUsimjibu huyo. Ana Frustration ya maisha. Ndo wale wenye kumiliki ID zaidi ya moja... zingine za kuombea watu pesa kwenye PM wakijifanya wanawake tena wenye shida sana! Huyu jamaa nimemsoma kidogo namuona atakuwa CHIZI kidogo si bure 🙂
Usiingize Ujinga kwenye Discussion zenye mantiki. Huyo Diamond wako ana secret zake zilizomfanya afike pale... usipende kudanganyika na kuhadaika na mafanikio ya watu usiowajua kiundani. Fikiri kama mwanaume mwenye akili timamu. Shauri yako!
Wamekusikia ngoja wanakuja kukupa mrejesho.Rais wa Burundi.