share
JF-Expert Member
- Nov 22, 2008
- 6,062
- 10,461
Dhalimu akitawala nchi huuguaTaarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .
Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .
Mungu ibariki Chadema .