Uchaguzi 2020 Wanachama wa CHADEMA zaidi ya 350 wanashikiliwa Magerezani na kwenye vituo vya Polisi nchini Tanzania kwa sababu za Uchaguzi wa 2020

Taarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa Chadema Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .

Mungu ibariki Chadema .
Dhalimu akitawala nchi huugua
 
Tatizo ni kwamba watu tumekuwa wajinga kupitiliza,kujifanya mwanaharakati wakati wanaokutuma wapo nje,haya waliyempigania mwenyewe kashakimbilia ughaibuni.
Kawaacha mahabusu kashindwa kufanya mikakati ya kuwatoa
Halafu unalaumu watu,hatujui kuwa siasa ni kipaji na wote walioshindania viti hivyo wapo huru walioshindwa wametulia makwao.
Walioshinda hongera zao wakaijenge nchi Kama walivyotuaminisha,iwe kwa uongo au ukweli.
Lakin tusiokuwa na mtazamo wa mbali ndio tupo MAHABUSU.
Inauma sana lakin lazima tujitathimini na siasa za nchi hii.
Heri kuwa mlevi wa gongo kuliko kuwa shabiki wa siasa za kiafrika
 
Tatizo ni kwamba watu tumekuwa wajinga kupitiliza,kujifanya mwanaharakati wakati wanaokutuma wapo nje,haya waliyempigania mwenyewe kashakimbilia ughaibuni.
Kawaacha mahabusu kashindwa kufanya mikakati ya kuwatoa
Halafu unalaumu watu,hatujui kuwa siasa ni kipaji na wote walioshindania viti hivyo wapo huru walioshindwa wametulia makwao.
Walioshinda hongera zao wakaijenge nchi Kama walivyotuaminisha,iwe kwa uongo au ukweli.
Lakin tusiokuwa na mtazamo wa mbali ndio tupo MAHABUSU.
Inauma sana lakin lazima tujitathimini na siasa za nchi hii.
Heri kuwa mlevi wa gongo kuliko kuwa shabiki wa siasa za kiafrika
hajui katiba ya nchi wewe
 
Taarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .

Mungu ibariki CHADEMA.
Mkoa wa Dodoma sehemu kubwa ya waliowekwa ndani na kufunguliwa kesi ni wale ambao Walikuwa Wagombea au Viongozi au Wananchi wa Kata ambazo tulishinda na hatukutangazwa,pia kwa sehemu ni wale ambao wana misuli ya Kisiasa lakini pia idadi inazidi kuongezeka kila kukicha.
 
Taarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .

Mungu ibariki CHADEMA.
Kuna jitu j2 utakuta linapokea sakramenti ya meza ya bwana na macamera kibao
 
Taarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .

Mungu ibariki CHADEMA.
HAO WATUHUMIWA NI MAGAIDI KABISA. TENA WAFUNGWE MIAKA MINGI SANA.
 
Hapo umejumuisha na walioponda watu matofali kichwani na kuua kule Njombe na Singida.

Nashauri uweke pia sababu za kushikiliwa kwao
 
Huyu bwana ni shetani na mnafiki mkubwa. Halafu anataka aufiche ushetani wake kwenye kichaka cha dini.

Sisi sote ni wadhambi lakini siyo kwa ushetani huu wa huyu bwana. Unaua, unateka, unatesa, unapora kura, unafunga wasio na hatia, halafu unatakatisha ushetani wako kwa madhabahu ya Bwana.

Bwana Mungu wetu, nyumba yako siyo genge la watu kwenda kufichia uovu wao. Tunaomba uwaumbue, uwafedheheshe na uwaadhibu wale wote waitumiayo ama nyumba yako au neno lako kwa hadaa na huku mikono yao ikiwa imejaa damu za wanaouawa kwa amri zao.

Wewe Bwana hukawii, bali hujibu maombi yetu kwa wakati ufaao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Usihukumu
 
Taarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .

Mungu ibariki CHADEMA.
Afu mtu kwa urahisi kabisa anasema eti tuanze maridhiano kama Taifa. Unaanzaje kuzungumza kwa mazingira haya?

Poleni sana makamada mlioko magelezani na wahanga wote wa uchaguzi.... u will soon be recognised!!
 
Mkoa wa Dodoma sehemu kubwa ya waliowekwa ndani na kufunguliwa kesi ni wale ambao Walikuwa Wagombea au Viongozi au Wananchi wa Kata ambazo tulishinda na hatukutangazwa,pia kwa sehemu ni wale ambao wana misuli ya Kisiasa lakini pia idadi inazidi kuongezeka kila kukicha.
RPC wa Dodoma na RPC wa Singida majina yao yamo kwenye nyaraka zilizosogezwa kwenye mahakama ya uhalifu
Afu mtu kwa urahisi kabisa anasema eti tuanze maridhiano kama Taifa. Unaanzaje kuzungumza kwa mazingira haya?

Poleni sana makamada mlioko magelezani na wahanga wote wa uchaguzi.... u will soon be recognised!!
Hakika !
 
Taarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .

Mungu ibariki CHADEMA.
Mwabieni mwanasheria nguri Tundu Lisu aje awashughulikie maana walifanya makosa wakijua yupo bingwa wa sheria.

Sasa mwanasheria kawakimia sijui watarudi kwa kibatara?
Na kwa sasa hakuna ruzuku nyingi nadhani sasa mtakuwa na nidhmu kwa kufuata sheria.
 
Nilishaacha kushiriki misa za makanisa tangu makanisa yalipogeuka kuwa maficho ya wanasiasa wahalifu
Usisahau kila mmoja wetu atawajibika kwa MWENYEZI MUNGU peke yake. Fanya uliyoamrishwa NAYE. Usiangalie mwingine akakukwaza kutii amri za MUNGU. Siku ya Mungu unaifanyia wapi? Kuna maelezo sio kila mahali wala nyumbani. Na mengine. Je 10% ya zaka unajilipa mwenyewe? Kusaidia maskini ni tofauti na zaka ni kuwa na upendo kwa jirani.
 
Huyu bwana ni shetani na mnafiki mkubwa. Halafu anataka aufiche ushetani wake kwenye kichaka cha dini.

Sisi sote ni wadhambi lakini siyo kwa ushetani huu wa huyu bwana. Unaua, unateka, unatesa, unapora kura, unafunga wasio na hatia, halafu unatakatisha ushetani wako kwa madhabahu ya Bwana.

Bwana Mungu wetu, nyumba yako siyo genge la watu kwenda kufichia uovu wao. Tunaomba uwaumbue, uwafedheheshe na uwaadhibu wale wote waitumiayo ama nyumba yako au neno lako kwa hadaa na huku mikono yao ikiwa imejaa damu za wanaouawa kwa amri zao.

Wewe Bwana hukawii, bali hujibu maombi yetu kwa wakati ufaao.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya Mungu anayasamehe kwa kuweza kutuepusha na alshababu. Mnajua hili jambo lilivyo. A NGALIA JIRANI YETU NA SASA MSUMBIJI
 
Taarifa hii ya kusikitisha imetolewa na Katibu Mkuu wa CHADEMA Mh John Mnyika , alipokuwa anaongea na Gazeti la Mwananchi .

Taarifa zaidi zinaonyesha kwamba wengi kati ya waliokamatwa wamepewa kesi za uongo zisizo na dhamana za Mauaji , Uhujumu uchumi , Ugaidi , Unyang'anyi na kukutwa na vifaa vya milipuko ili kuwakomesha .

Mungu ibariki CHADEMA.
Mungu ilaani chechemi
 
Back
Top Bottom