CHADEMA kuwasilisha maoni ndani ya Kamati ya Bunge kuhusu miswada ya Sheria za Uchaguzi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,753
218,340
Taarifa ikufikie popote Ulipo duniani , Kwamba miongoni mwa mambo Makubwa yatakayotokea leo Duniani ni Pamoja na Chama kinachoungwa mkono na Watanzania wengi kuliko Chama chochote cha kisiasa , CHADEMA leo 10/01/2024 kinatoa maoni yake kwenye Kamati maalum ya Bunge kwa ajili ya Marekebisho ya Sheria za Uchaguzi .

Ikumbukwe kwamba Chadema ndio Chama Pekee cha Kisiasa nchini Tanzania ambacho harakati zake za kudai Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi zinamaanisha kupigania haki kweli , Chama hiki Hakitanii , kinataka kweli Uchaguzi ulio huru na haki , Si ili chenyewe kishinde , Bali kinataka wataoshinda washinde kwa haki bila kubebwa na yeyote .

Taarifa nyingine inasema kwamba vyombo kadhaa vya Habari vya Kimataifa tayari vimo ndani ya Bunge hilo ili kusikiliza maoni kutoka kwa chama pekee cha kisiasa kinachopigania haki nchini Tanzania

Screenshot_2024-01-10-09-48-29-1.png
Screenshot_2024-01-10-11-48-32-1.png


USIONDOKE JF , KWA VILE MIMI MTUMISHI WENU TAYARI NIMEUNGANISHA WAYA NA NZI WANGU ALIYE NDANI YA BUNGE HILO
=====

John Mnyika azuiwa kusoma UtanguliI , akatishwa mara kwa mara , Ni wazi kamati ya Bunge inataka kuleta maoni ya Mfukoni mwake .

CHADEMA yashauri Serikali kuondoa miswada yote hii na kuileta Upya , yamuomba Rais kuingilia kati kwa kukutana na Wadau wenye weledi .
 
Taarifa ikufikie popote Ulipo duniani , Kwamba miongoni mwa mambo Makubwa yatakayotokea leo Duniani ni Pamoja na Chama kinachoungwa mkono na Watanzania wengi kuliko Chama chochote cha kisiasa , CHADEMA leo 10/01/2024 kinatoa maoni yake kwenye Kamati maalum ya Bunge kwa ajili ya Marekebisho ya Sheria za Uchaguzi .

Taarifa nyingine inasema kwamba vyombo kadhaa vya Habari vya Kimataifa tayari vimo ndani ya Bunge hilo ili kusikiliza maoni kutoka kwa chama pekee cha kisiasa kinachopigania haki nchini Tanzania

View attachment 2867285View attachment 2867286
Bravo! That is final and conclusive!
 
Uzuri Bungeni wapo CCM pekee yao. Hivyo ikitungwa sheria ya hovyo ambayo haijazingatia maoni ya umma wa Watanzania itazidi kudhihirisha kuwa CCM ndiye adui wa Watanzania kwenye kila eneo. Siku ikifika hawatakuwa na cha kujitetea wala pa kushika mkono.
Hakuna cha maana kitafanyika
 
Huyu mama ni mzuri sana ktk kupoteza muda, kufanya ulaghai halafu mwishowe anawaacha solemba.

Hakuna kitu kitafanyiwa kazi ktk mawazo yote mazuri yanayowasilishwa ni kuwasumbua tu.

Time will tell!
 
Taarifa ikufikie popote Ulipo duniani , Kwamba miongoni mwa mambo Makubwa yatakayotokea leo Duniani ni Pamoja na Chama kinachoungwa mkono na Watanzania wengi kuliko Chama chochote cha kisiasa , CHADEMA leo 10/01/2024 kinatoa maoni yake kwenye Kamati maalum ya Bunge kwa ajili ya Marekebisho ya Sheria za Uchaguzi .

Ikumbukwe kwamba Chadema ndio Chama Pekee cha Kisiasa nchini Tanzania ambacho harakati zake za kudai Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi zinamaanisha kupigania haki kweli , Chama hiki Hakitanii , kinataka kweli Uchaguzi ulio huru na haki , Si ili chenyewe kishinde , Bali kinataka wataoshinda washinde kwa haki bila kubebwa na yeyote .

Taarifa nyingine inasema kwamba vyombo kadhaa vya Habari vya Kimataifa tayari vimo ndani ya Bunge hilo ili kusikiliza maoni kutoka kwa chama pekee cha kisiasa kinachopigania haki nchini Tanzania

View attachment 2867285View attachment 2867286

USIONDOKE JF , KWA VILE MIMI MTUMISHI WENU TAYARI NIMEUNGANISHA WAYA NA NZI WANGU ALIYE NDANI YA BUNGE HILO
Msiishie hapo wanachama wanataka kujua saccos inatoa gawio lini!
 
Back
Top Bottom