PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,202
- 8,783
Hii ni special kwa kipindi hiki bana.duuuh!!hiyo party fanyeni november
au december, wengine mtatukosesha uhondo!!
Halafu mbona hata ya december 2013 haukurespond?
Hii ni special kwa kipindi hiki bana.duuuh!!hiyo party fanyeni november
au december, wengine mtatukosesha uhondo!!
Duluti ilikuwa zamani banaa...atii Themi river tena lol
Una Mawazo kama yangu
Au kama vipi tufanye pool party......tubadili upepo kidogo......ni vile tu hatuna beach......nkt.....
Duluti beach.
Safi sana....
Nimefurahi kumwona mwenyekiti mwenyewe ndani ya nyumba...
Nilitaka kuwauliza wadau wangu ukweli wa A-wing, kwamba; kondoo wa huko wamekosa mchungaji??
Ila kwa kuwaona Mama wa Malogistic Preta na Mkuu PakaJimmy sina swali tena...nasubiri maelekezo kwa ajili utekelezaji...
Kutuma mwakilishi ni muhimu sana....
Ila naomba tufanye in the old way...wengine dotcom inatupeleka speed!
Kule kuna chunusi.........
Babu naomba unihakikishie kama unajua kuogelea..........mambo ya mwaka huu ni mapya sana........
Ilboru safari lodge ndio panafaa au safari carnival kisongo
Old is gold
mkimaliza mikoa yote mfanye JF PARTY KITAIFA