Wana MMU wa Arusha tuandae party yetu

Wana MMU wa Arusha tuandae party yetu

Wana MMU Arusha Nina ombi ambalo naitaji tulifanyie kazi nalo ni kufanya party ambayo itatufanya tufahamiane na tufurahi pamoja,si lazima iwe kesho au keshokutwa hapana,tujadili pamoja na tupendekeze muda maalumu.
Karibuni


Mkuu! Mbona kama unaonekana ni mzoevu sana hapa jamvini halafu Mi naona kama umekuja na thread ambayo haina mvuto hata kidogo???????????????
Ina maana miaka yote Arusha wing tunakutana wewe leo ndiyo unakuja na mawazo yako mafupi hapa? Bila shaka mpaka sasa umeshapata maelezo toka kwa wakuu hawa ya kwamba kama unataka maongezi zaidi wasiliana na PakaJimmy Preta Mzee wa Rula Arushaone na wengine wengi walio hai Arusha wing member.

Karibu sana!
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni member wa JF kwa siku nyingi ila mahudhurio yangu ya kwenye mtandao hayako active kwa sana kutoka na mazingira ya kazi na pilika zakimaisha. Arusha wing wameisha kutana mwaka huu? Na kama bado je wanategemea kukutana lini? Arusha wing wameishawahi kufanya kitu kama alichopendekeza sam Boy?
Mkuu! Mbona kama unaonekana ni mzoevu sana hapa jamvini halafu Mi naona kama umekuja na thread ambayo haina mvuto hata kidogo???????????????
Ina maana miaka yote Arusha wing tunakutana wewe leo ndiyo unakuja na mawazo yako mafupi hapa? Bila shaka mpaka sasa umeshapata maelezo toka kwa wakuu hawa ya kwamba kama unataka maongezi zaidi wasiliana na PakaJimmy Preta Mzee wa Rula Arushaone na wengine wengi walio hai Arusha wing member.

Karibu sana!
 
Last edited by a moderator:
Tatizo lenu watu wengine.......kwenye keyboard mpo shupavu kweli.......njooni sasa live........mnaingia mitini.......hebu tusichoshane bila sababu........

mamito mzima wewe
vikao mara nyingi watu wanashindwa kuhudhuria kutokana na mahangaiko hapa na pale
tupendekeze venue hapa......Carnival au tembo club siku iwe kabla au baada ya kwaresma
 
mamito mzima wewe
vikao mara nyingi watu wanashindwa kuhudhuria kutokana na mahangaiko hapa na pale
tupendekeze venue hapa......Carnival au tembo club siku iwe kabla au baada ya kwaresma

Binafsi napendekeza Carnivore ........
 
Last edited by a moderator:
Mimi ni member wa JF kwa siku nyingi ila mahudhurio yangu ya kwenye mtandao hayako active kwa sana kutoka na mazingira ya kazi na pilika zakimaisha. Arusha wing wameisha kutana mwaka huu? Na kama bado je wanategemea kukutana lini? Arusha wing wameishawahi kufanya kitu kama alichopendekeza sam Boy?

e e e e.....mkuu.......ongea taratibu......watu tushaenda mpaka Macchu Picchu.......wacha kabisa.........
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom