Wana MMU wa Arusha tuandae party yetu

Parata

JF-Expert Member
Jul 26, 2011
3,090
675
Wana MMU Arusha Nina ombi ambalo naitaji tulifanyie kazi nalo ni kufanya party ambayo itatufanya tufahamiane na tufurahi pamoja,si lazima iwe kesho au keshokutwa hapana,tujadili pamoja na tupendekeze muda maalumu.
Karibuni
 
Wana MMU Arusha Nina ombi ambalo naitaji tulifanyie kazi nalo ni kufanya party ambayo itatufanya tufahamiane na tufurahi pamoja,si lazima iwe kesho au keshokutwa hapana,tujadili pamoja na tupendekeze muda maalumu.
Karibuni

Umechelewea wapi? wenzio wamekuacha siku mingi wanasonga mbele.
 
Asprin wameniachaje asee sijakuelewa mkubwa
 
Last edited by a moderator:
Wana MMU Arusha Nina ombi ambalo naitaji tulifanyie kazi nalo ni kufanya party ambayo itatufanya tufahamiane na tufurahi pamoja,si lazima iwe kesho au keshokutwa hapana,tujadili pamoja na tupendekeze muda maalumu.
Karibuni

Umeonaee.........!!!!
 
Back
Top Bottom