Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,379
Golden Rose hujatupeleka......chagua sehemu nyingine.....
Lol, kwanza pale mtafanyia wapi, kwenye maukumbi yao ama? kijana kanifurahisha, katika masehemu yoteee hapa mjini kaona golden rose?
Golden Rose hujatupeleka......chagua sehemu nyingine.....
Lol, kwanza pale mtafanyia wapi, kwenye maukumbi yao ama? kijana kanifurahisha, katika masehemu yoteee hapa mjini kaona golden rose?
Itakuwa rahisi watu kuweza kupropose venue kama tukishafahamu ni vitu gani tunavyovihitaji kwa siku hiyo.
Mfano, kama tutahitaji kuwa na barbeque then we need a venue with an open space like Olasiti, Lush, sundowner, viavia. Kwa in door I am sure kumbi ni nyingi. Jambo la kwanza lingekuwa ni kujua tutakuwa wangapi na tunataka nini ili kuweza kutengeza budget kufuata na mahitaji yetu.
Itakuwa rahisi watu kuweza kupropose venue kama tukishafahamu ni vitu gani tunavyovihitaji kwa siku hiyo.
Mfano, kama tutahitaji kuwa na barbeque then we need a venue with an open space like Olasiti, Lush, sundowner, viavia. Kwa in door I am sure kumbi ni nyingi. Jambo la kwanza lingekuwa ni kujua tutakuwa wangapi na tunataka nini ili kuweza kutengeza budget kufuata na mahitaji yetu.
Sasa hapa tunaweza kujadili....mimi naona sundowner carnivore ndio pahala.......eheee. ....
Sasa hapa tunaweza kujadili....mimi naona sundowner carnivore ndio pahala.......eheee. ....
Kwa mromboo unataka kwenda kula roshorooo ama hahah just kidding
kwa mrombo nyama choma tamu ajabu.
Kwa mromboo unataka kwenda kula roshorooo ama hahah just kidding
Ha ha ha ha we unataka wapi Preta
Au kama vipi tufanye pool party......tubadili upepo kidogo......ni vile tu hatuna beach......nkt.....
....Karatu