Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,228
- 13,448
Mhhh Blaki Womani hapo umenikamata ni muda sana kwa kweli sijahudhuria vikao vya Arusha wing Preta nisaidie aise
jipange kwa kikao kijacho si unajua chakuchagua mahali pa kuvinjari
Mhhh Blaki Womani hapo umenikamata ni muda sana kwa kweli sijahudhuria vikao vya Arusha wing Preta nisaidie aise
Nimekuwa mwana mpotevu! We acha tu! Arusha kwemwa hukooo?Kwa kawaida huwa tunapenda sehemu yenye muziki.....vinywaji baridi vyenye kusindikizwa na bata choma........na ndio hivyo huwa tunafanya siku zote......sijui wewe mwenzetu unakuwaga wapi.....
cc😡Pakajimmy Blaki Womani. .. Filipo.. Arushaone... Tonykp. Erickb52....
jipange kwa kikao kijacho si unajua chakuchagua mahali pa kuvinjari
Weweeeee........huko kuna swimming pools........?
Nimekuwa mwana mpotevu! We acha tu! Arusha kwemwa hukooo?
no coment muheshimiwa mwenyekiti!!Hii ni special kwa kipindi hiki bana.
Halafu mbona hata ya december 2013 haukurespond?
Wewe ndio umepotea hasa.......au tuje huko kwako nini.......
Hebu wadau semeni.......
Cc PakaJimmy.... Blaki Womani.... Filipo..... Arushaone..... Lily Flower...... Erickb52...... Valentina..... Tonykp.....et all.......
Vipi tukizuka kwa Eeka Mangi......!!!
Uko sawa kabisa,mambo ya msingi yaanzie ndani ya kikao
Wewe ndio umepotea hasa.......au tuje huko kwako nini.......
Hebu wadau semeni.......
Cc PakaJimmy.... Blaki Womani.... Filipo..... Arushaone..... Lily Flower...... Erickb52...... Valentina..... Tonykp.....et all.......
Vipi tukizuka kwa Eeka Mangi......!!!
Huu uzi vipi tena jamani!!
Karibuni sana,,,,, kama vipi tunaenda Maji Chemka Rundugai! Swimming kwa tatakaotaka, kupata massage za samaki kwa watakaopenda zinapatikana! We nambieni tu niandae!
Cc Preta.... PakaJimmy.... Blaki Womani.... Filipo..... Arushaone..... Lily Flower...... Erickb52...... Valentina..... Tonykp
Ndio hiyo sasa nilikuwa nataka kusikia.......ila hiyo fish massage usiipende sana.......si unajua hali zetu za afya.......vinang'atang'ata fulani hivi........
Preta umeridhika eneo hilo eeeh....Karibuni sana,,,,, kama vipi tunaenda Maji Chemka Rundugai! Swimming kwa watakaotaka, kupata massage za samaki kwa watakaopenda zinapatikana! We nambieni tu niandae!
Cc Preta.... PakaJimmy.... Blaki Womani.... Filipo..... Arushaone..... Lily Flower...... Erickb52...... Valentina..... Tonykp
.......ila hiyo fish massage usiipende sana.......si unajua hali zetu za afya.......vinang'atang'ata fulani hivi........