Sasa hapa tunaweza kujadili....mimi naona sundowner carnivore ndio pahala.......eheee. ....
Mleta mada mshirikishe kwa ukaribu Preta maana yeye, ukiacha ukweli kuwa hii ni pr○f$$!○ yake, pia ni 'mubaya' kwenye mambo ya Logistico.
Fanyeni mchakato mtupe matokeo bana.
Hatukubali sie kila siku kusikia IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!
sijui P.o.Box za nininini sijui....,
Mje mfanyie kwa Mromboo mniungishe soda.
Wa6 zitagongana na ile ya dar
Golden rose panafaa
Mleta mada mshirikishe kwa ukaribu Preta maana yeye, ukiacha ukweli kuwa hii ni pr○f$$!○ yake, pia ni 'mubaya' kwenye mambo ya Logistico.
Fanyeni mchakato mtupe matokeo bana.
Hatukubali sie kila siku kusikia IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!
sijui P.o.Box za nininini sijui....,
Wakubwa wangu Arushaone, Filipo, LiverpoolFC, Mzee wa Rula Blaki Womani 'Valentina' IGWE Lily Flower
Mko wapi arifu, amkeni huko, niaje niaje machalii ya 'R' yameleta ishu jombazaangu.
Kama vp tukutanie pale chobingo , konaa kwa Mama Kurwaa.
Acha noma sistaa, punguza mapicha picha mazaa,Huko kaa mwenyewe......
Acha noma sistaa, punguza mapicha picha mazaa,
Mrombo unapaona marinjirinji?