Kwa nini usi-PM tu mkuu kuliko kutushirikisha wanajamii wote wakati mtu mwenyewe yupo humu humu?
Au ndo umekosa cha kuandika ukaamua uibuke na hiyo?
Kwa nini usi-PM tu mkuu kuliko kutushirikisha wanajamii wote wakati mtu mwenyewe yupo humu humu?
Au ndo umekosa cha kuandika ukaamua uibuke na hiyo?
Your brother alafu unaomba number yake ya simu? Sidhani kama litakuwa jambo la busara kwa mtu kutoa number ya simu ya mtu mwingine bila idhini yake. ngoja tumuulize NN mwenye anasemaje kuhusiana na hilo swala.
thank you max!
i am confortable with your help.
inasikitisha kwamba una uelewa finyu sana kuhusu neno BROTHER!i am sorry
Lakini pia,niliomba mwenye hizo contact ani PM,sasa sijajua unatumia kifaa gani kupima busara,AS PER U R KNOWLEDGE!
hahahahah!I STILL LOVE YOU ALL THE WAY,ahsante kwa post yako
watu wa taipu yako huwa mnasubiri hadi aombe namba mkjj ndo hamuongei kashfa!
bwah!hahahahahahah!....i still love you anyway
Hapo wengine wapo wamechange ID.Geoff
chrispin
firstlady sio firstlady1
Babu ataka kusema
Game theory
Wamekufa Mzeee sema wengine Jadili SIASA Dr.Slaa Rais wa TZ 2010-milele
Hapo wengine wapo wamechange ID.
kuna huyu sijui kapotelea wapi. Georgie Porje (GP)