Mzee Es jamaa yako GAME THEORY nae yuko wapi? au unaondoka nae?
Mzee FMES, you are good at what u do. You are one great propagandaist. One of the best from Tanzania I have read, but also easy to figure what ur driving at. One big problem, you lose your cool far too quickly, you dont like being questioned and challenged.
I have struggled where to place your contributions and motives. You are like JK, you feel like you dont know what side he is on, but you actually know what side he is on. All that aside, you is an interesting character.
Heshima mbele,as you say.
When you in London, welcome for a cuppa.
1. but also easy to figure what ur driving at.
2. I have struggled where to place your contributions and motives.
3. You are like JK, you feel like you dont know what side he is on, but you actually know what side he is on.
Waafrika na hasa watz na starehe hapo hatutoki ila kwa namna yoyote visababu havikosi.
Tutaishia huko huko enzi za mababu kila msimu na party. Mtoto kabarehe party, kaenda jando party.
Haya ganesh endeleeni na party zenu tuone kama nchi mtaitoa.
Wenzenu wanatafuta namna ya kupunguza kodi kwa mwananchi nyie mnatafuta namna ya kumkamua zaidi mwananchi. Haya!
Jamani party ya kumuaga ndugu yeetu FMES vipi? au anaondoka hivi hivi tu?
Mi nashauri tumfanyie party katika hotel moja kubwa ya kifahari popote pale atakapopenda na tusisahau kwenda na zawadi zetu mikononi. MC napendekeza awe Yo Yo
Miongoni mwa wachangiaji mahiri wa JF amekuwa ni rafiki yangu Dua.
Kwa muda mrefu tu sijamsoma au kumsikia Dua. Kama kuna wanaofahamu
alipo, na tuombe Mwenyezi Mungu kuwa yu mzima, mwambieni kuna jamaa
wanammiss hapa JF.
Bandwidth....Katika watu walio makini humu ndani ni huyu Kyoma. Yeye huwa sio mchangiaji kwa sana lakini kila aingiapo na kudondosha busara zake wengi wetu huwa tunazikubali. Ila tatizo hajaingia/ sijamwona humu kwa muda mrefu sasa...sijui yuko wapi? Mzee Kyoma rudi bana....
Nyani,
Asante kutukumbusha juu ya Kyoma. Leo asubuhi nilikuwa namfikiria pamoja na Dua. Ngoja nimtwangie simu nimwulize kulikoni.
Bandwidth....
Mwawado,Ni kweli Ustaadhi Dua ni siku nyingi hajatia Mguu hapa lakini pia nimekuwa siwaoni ndugu zangu Pundit,Mwafrika wa Kike na Kisura....Popote Mlipo wandugu tunawakumbuka na kama mpo salama ndio furaha yetu!!!Piteni mara moja moja kumwaga hekima yenu hapa...