Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Alichofanya ni kuwaambia watu wa Hai kuwa hawana Mbunge maana anashinda Dodoma akila bata. Watu wa hai wakampiga chini Mbowe.
Sasa kuwa na kesi kama Armed robbery kwa aliyekuwa mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya mnaona kawaida? Tena kosa lenyewe analifanyia wilaya nyingine yenye mkuu wa wilaya, Ocd na OC Cid mwingine, mnaona kama kwaida.
Mnafurahia haya yanayoendelea kumsibu huku mkisahau yanayomsibu Mwamba.
Je likitokea lolote na mambo yakabadilika itakuwaje?
Sasa kuwa na kesi kama Armed robbery kwa aliyekuwa mkuu wa ulinzi na usalama wa wilaya mnaona kawaida? Tena kosa lenyewe analifanyia wilaya nyingine yenye mkuu wa wilaya, Ocd na OC Cid mwingine, mnaona kama kwaida.
Mnafurahia haya yanayoendelea kumsibu huku mkisahau yanayomsibu Mwamba.
Je likitokea lolote na mambo yakabadilika itakuwaje?