Wana CCM naomba mhalalishe picha hizi

Boss
 
Naomba ufute usemi wa kwamba ''sio kila kitu utegemee serikali'' tunaongelea Hospitali.

I mean waambie hao serikali wasichukue kodi basi? Walipa kodi wanalipa hiyo kodi ili ifanye shughuli kama hizi. Kama haifanyi shughuli kama hizi inapeleka wapi hizo pesa?

Wananchi hawalipi kodi ili Chama Cha Majambazi wakanunulie wake zao shopping kule ulaya? Tunadai haki ya kikatiba ambayo serikali inatakiwa kufanya. Hatuombi msaada hapa hizi ni pesa zetu ambazo serikali inakusanya kufanya yale ambayo wananchi tunataka ifanye.
 
boss
 
naomba ufute usemi wa kwamba ''sio kila kitu utegemee serikali'' tunaongelea hospitali.

i mean waambie hao serikali wasichukue kodi basi? Walipa kodi wanalipa hiyo kodi ili ifanye shughuli kama hizi. Kama haifanyi shughuli kama hizi inapeleka wapi hizo pesa?

wananchi hawalipi kodi ili chama cha majambazi wakanunulie wake zao shopping kule ulaya? Tunadai haki ya kikatiba ambayo serikali inatakiwa kufanya. Hatuombi msaada hapa hizi ni pesa zetu ambazo serikali inakusanya kufanya yale ambayo wananchi tunataka ifanye.


madai ya watanania kwa serikali yao ni mengi mno....
But kwenda kuzaa sakafuni kwa sababu ni haki yako
serikali ikugharamie........huo ni ujasiri ndio but
at what cost????????
 
madai ya watanania kwa serikali yao ni mengi mno....
But kwenda kuzaa sakafuni kwa sababu ni haki yako
serikali ikugharamie........huo ni ujasiri ndio but
at what cost????????


Lakini issue at hand ni hospitali hatuongelei madai mengine and beside serikali ni wajibu wake kama ilivyoahidi na kupitia bajeti zake na kukusanya kodi kwa kazi hiyo. Kama serikali itasema haiwezi kufanya hiyo kazi ije open na kuwaambia wananchi kwamba haiwezi.
 
kwa hiyo unachosema wewe ni kuwa
hata kama mtu ana uwezo wa pesa,
aende hospitali za serikali kwa sababu
ndipo huduma bora ilipo sio???????

Haya unayasema wewe mimi nachosema ni kuwa mtu ana uhuru wa kuchagua aende wapi kwani regardless uwezo wake wa kifedha. Kwa hospitali za serikali zipo kwa ajili ya wagonjwa na hakuna sera ya kuchambua uwezo wa mtu kama ilivyo bodi ya mikopo ya elimu ya juu (HELSB).
 
lakini issue at hand ni hospitali hatuongelei madai mengine and beside serikali ni wajibu wake kama ilivyoahidi na kupitia bajeti zake na kukusanya kodi kwa kazi hiyo. Kama serikali itasema haiwezi kufanya hiyo kazi ije open na kuwaambia wananchi kwamba haiwezi.

wacha,,,,
binadamu tupo tofauti sana....
Mimi binafsi serikali za kiafrika huwa
sitegemei lolote kutoka kwao......
Sidai chochote kile ingawa nalipa kodi......

I know hawa watu ni failures so sishangai......
 
World Economic crisis ni kubwa sana, ili kuufanya uchumi wetu mzuri usiingie kwenye janga hilo, inabidi tuwaenzi wale 'key economic leaders' kwa zaidi ya uwezo wetu ili wazidi kutuongoza katika njia ile ile nzuri ambayo hata wajanja marekani hawaioni.
 
wacha,,,,
binadamu tupo tofauti sana....
Mimi binafsi serikali za kiafrika huwa
sitegemei lolote kutoka kwao......
Sidai chochote kile ingawa nalipa kodi......

I know hawa watu ni failures so sishangai......

Lakini mfano mdogo nianze na ulaya nianze na UK huduma za Hospitali ni free kwa kila raia uchague mwenyewe kwenda private. Hapo ndio battle ya Conservative na Labour kwenye elections. Sweeden pamoja na scandinavian countries wanafanya hivyo hivyo.

USA hata wiki mbili hazijapita Obama anawapeleka raia karibu 30 million ambao hawana insurance waweze kupata hii huduma.

Sasa kwa nini walipa kodi wa Tanzania ambao wameahidiwa kwamba kutakuwa na hii facility wasiipate? Well kama kuna wanaolipa na wanapenda kwenda private ni chaguo lao lakini serikali ambayo inakusanya kodi kwa sababu hiyo na kushindwa kutimiza wajibu wake lazima iulizwe. Sioni sababu kwa nini waweze kujenga majumba ya kifahari kutoka kwenye bajeti ya walipa kodi na kushindwa kujenga hospitali.
 
madai ya watanania kwa serikali yao ni mengi mno....
But kwenda kuzaa sakafuni kwa sababu ni haki yako
serikali ikugharamie........huo ni ujasiri ndio but
at what cost????????

Boss,

Naombanitofautiane na mawazo yako kwasababu hakuna mtu anayependa shida. Hao akina mama kwenda kulala chini si sababu wanapenda bure NO!! hawana pesa hiyo! Hao wanaolala chini ni sehemu ya watanzania maskini, bado kuna wengi ajabu

Hivi unajua mtanzania wa kawaida pato lake kwa siku ni sh ngapi? Je unajua gharama za hispitali binafsi??? Kama ni mwanamke au mwanaume na umewahi kwenda labor au kupeleka mkeo labor ndio utajua taabu iliyoko huko!! Please usije ukadhani hao wako hapo kuigiza... wanashida hao!!!

Huduma inatolewa kufuatana na kipato. Hao unaowaona hapo hawana kipato cha kuwawezesha kwenda hospitali za binafsi!!!! Wale jamaa unaowaona wakiandamana kila asubuhi kutokea magomeni kuelekea katikati ya mji kwa miguu sio kwamba wamependa,hawana nauli kaka/dada!!!

Naelewa huo ndio mtazamo wako na ndivyo ambavyo unafikiri iko, lakini kiukweli NOO haiko km unavyofikiri!! Unasema wanapenda dezo... yes wapo wapenda dezo lakini si kwenye ishu za kuleta kiumbe kingine ulimwenguni, tena km unavyojua kwa nchi maskini km Tanzania kupoteza mama na mtoto ni rahisi sana, so sidhani km wako tayari kurisk mambo yote hayo!!
 
wacha,,,,
binadamu tupo tofauti sana....
Mimi binafsi serikali za kiafrika huwa
sitegemei lolote kutoka kwao......
Sidai chochote kile ingawa nalipa kodi......

I know hawa watu ni failures so sishangai......
Kijana/Muzee unakosea au unadharau, kuwa nauwezo sio sababu ya kuendeleza uzembe au kukumbatia ujinga , ni jukumu lako/langu kukumbushia haki za msingi za wananchi, Naomi alilia, hata mimi naweza lia, maana sioni sababu zozote za msingi za watu hasa hasa waliokosa nafasi kuendelea kusimangwa/ kuonea kwa hali yoyote ile, ndio maana mtu kama wewe unatakiwa uwatete kwa njia zozote zile ulizonazo ili angalawu wapate kile kinachostahili nayo ni huduma ya afya ambayo ni kitanda kifaacho wakilazwa, huduma ya X-ray ikihitajika, na huduma ya ushauri wa kitaalamu na usafiri pale unapohitajika. enzi zile tulikuwa tuna Combi za waginjwa na zilikuwa zinakuja mpaka mitaani kumchukua mgonjwa. au kumtoa mwananyama kwenda muhimbili, leo hii unatumia taxi wakati mgonjwa huyo anahitaji kulala, au kuongezewa maji/damu wakati akipelekwa hospitali.
Wewe unaweza kuwa unafanya TRA/tanesco nk nk , je mto mto wako atafanyakazi huko? au Mama Yako anafanya huko ili apate huduma ya Agakhan, Hindu Mandal, Kwa Khan, TMJ nk nk.,
Au unajisikiaje anapotokea ndugu yako wa Mbali anasema Mjomba naomba usafiri kumpeleka fulani hospitali? au hela ya kwenda kuchukua vipimo, maana ugonjwa ni kitu cha ghafla, na vipato vya watanzania wengi wavielewa, mfano Tarishi serikali, unamuwezesha kufika mwisho wa mwezi? achilia mbali hizi dharura za ugonjwa na michango ya shule? au kuwa na akiba ya Taxi ya ghafla ghafla?
 
boss,

naombanitofautiane na mawazo yako kwasababu hakuna mtu anayependa shida. Hao akina mama kwenda kulala chini si sababu wanapenda bure no!! Hawana pesa hiyo! Hao wanaolala chini ni sehemu ya watanzania maskini, bado kuna wengi ajabu

hivi unajua mtanzania wa kawaida pato lake kwa siku ni sh ngapi? Je unajua gharama za hispitali binafsi??? Kama ni mwanamke au mwanaume na umewahi kwenda labor au kupeleka mkeo labor ndio utajua taabu iliyoko huko!! Please usije ukadhani hao wako hapo kuigiza... Wanashida hao!!!

Huduma inatolewa kufuatana na kipato. Hao unaowaona hapo hawana kipato cha kuwawezesha kwenda hospitali za binafsi!!!! Wale jamaa unaowaona wakiandamana kila asubuhi kutokea magomeni kuelekea katikati ya mji kwa miguu sio kwamba wamependa,hawana nauli kaka/dada!!!

Naelewa huo ndio mtazamo wako na ndivyo ambavyo unafikiri iko, lakini kiukweli noo haiko km unavyofikiri!! Unasema wanapenda dezo... Yes wapo wapenda dezo lakini si kwenye ishu za kuleta kiumbe kingine ulimwenguni, tena km unavyojua kwa nchi maskini km tanzania kupoteza mama na mtoto ni rahisi sana, so sidhani km wako tayari kurisk mambo yote hayo!!


kimsingi nakubaliana na pointi yako....
Ninachosema mimi ni kuwa sio wote
wanakwenda hospitali za serikali hawana uwezo...

Mfano mzuri ni nssf wameanzisha huduma ya matababu
kwa gharama isiyozidi laki nne hivi kwa mwaka...

Halafu kama ulifuatilia vyombo vya habari..
Kuna mchezaji mmoja wa yanga,mke wake
alifariki na mtoto tumboni huko temeke hospitali
kwa huduma mbovu,,,,,
sasa siamini mchezaji wa yanga hawezi
kumudu matibabu ya kulipia muhimbili fast trak,au hata
aga khan........
Ninachokisema ni kuwa mentality ya watanzania wengi
ni kuwa afya zao ni mzigo wa serikali......hata kama
wana uwezo........
 
wewe unachekesha mno hujui tu........
Nenda tena huko aga khan na kwingineko ukaone
wanaotibiwa huko...........

Labda nikupe mfano kuwa sasa hivi
nssf wameanzisha mfuko wa matibabu kwa wanchama
wake na moja ya hospitali zinazotumika ni aga khan...

Sasa unless useme wanachama wote wa nssf ni mafisadi na sio
wazalendo.........

Wafanyakazi wa
bandari,
tanesco
tra.
Na makampuni mengi ya binafsi na serikali
wa kada tofauti wanatibiwa huko aga khan na kwingineko


wewe hujui unachoongea........
Hata konda wa daladala akijipanga anaweza
tibiwa aga khan......
Ni swala la kujithamini na kujua sio kila kitu utegemee
serikali.

Unazidi kunishangaza!!! Ni asilimia ngapi ya watanzania wana bima ya afya? Wale akina mama wanaochoma chapati barabarani wana bima ya afya? Hujui tu Boss, mfumo wa utoaji bima ya afya tanzania ni mbovu kuwahi kutokea duniani. Bima ya afya inawalenga wafanyakazi tu, wafanyabiashara, wakulima, wapiga debe wanazo? Mimi ni mfanyakazi, sina bima ya afya, niambie hao unaowasema wanapataje hiyo bima ya afya. By the way, kama watanzania wote wenye bima ya afya wangekwenda Agha khan kwa kuwa ni hospitali bora, huko nako hali ingekuwaje? Kwanini usiungane na sisi kuitaka serikali iboreshe huduma halali ambazo watanzania wanazistahili? Boss, ninawasiwasi umetumwa wewe kama si kwamba kuna agenda ya siri kati yako na serikali yako.
 
wacha,,,,
binadamu tupo tofauti sana....
Mimi binafsi serikali za kiafrika huwa
sitegemei lolote kutoka kwao......
Sidai chochote kile ingawa nalipa kodi......

I know hawa watu ni failures so sishangai......
Barabara, security issues etc. Kuna indirect services unapata tho no quid pro quo
 
unazidi kunishangaza!!! Ni asilimia ngapi ya watanzania wana bima ya afya? Wale akina mama wanaochoma chapati barabarani wana bima ya afya? Hujui tu boss, mfumo wa utoaji bima ya afya tanzania ni mbovu kuwahi kutokea duniani. Bima ya afya inawalenga wafanyakazi tu, wafanyabiashara, wakulima, wapiga debe wanazo? Mimi ni mfanyakazi, sina bima ya afya, niambie hao unaowasema wanapataje hiyo bima ya afya. By the way, kama watanzania wote wenye bima ya afya wangekwenda agha khan kwa kuwa ni hospitali bora, huko nako hali ingekuwaje? Kwanini usiungane na sisi kuitaka serikali iboreshe huduma halali ambazo watanzania wanazistahili? Boss, ninawasiwasi umetumwa wewe kama si kwamba kuna agenda ya siri kati yako na serikali yako.

wewe kama ni mfanyakazi na huna bima ya afya....
Swali la kujiuliza ni kwa nini??????
Ulienda panapohusika ukauliza gharama yake na maswali
yote yanayostahili???????

Unless una tatizo la luelewa
vinginevyo utaona humu kuwa nailaani serikali kali
kwa mambo mengi ikiwemo hilo la kushindwa kusimamia
huduma za afya inavyostahili......but hilo
halinizuii kuongea ukweli ninao amini
na mifano nimeitoa humu.....

Hao akina mama wauza chapati we unafikiri ni maskini
kiasi hicho?????
Mimi mama yangu mkubwa alikuwa mama ntilie na alijenga
nyumba na kusomesha watoto mpaka chuo kikuu
na hakuwahi kwenda kutibiwa temeke wala mwananyama hosipitali......
Gharama halisi ya kumuona daktari na kufanya
vipimo kwenye hospitali mfano tmj haifiki hata elfu kumi.

Na kuna hosipitali za nafuu zaidi za makanisa na misikiti...
Huko huko uswahilini kuna dispensary zinazofahamika
kama mico na zinginezo za bei nafuu.

Sio kila mtu humu anaezungumza kitu tofauti na
popular opinion basi ccm au ametumwa na serikali.....

Hebu nenda mbagala ukaulize hosipitali ya mbagala mishen iko wapi......

Tujadili mambo pande zote.....
Hao akina mama wanaojifungua kwenye sakafu
utakuta wana micheni na mabangili ya dhahabu tele majumbani mwao.

Mimi nazungumza from experience bana,
wafugaji wangapi wenye ng'ombe kwa mamia
hawapeleki shule watoto wao kwa sababu wanasema hawana ada???????????????
 
kimsingi nakubaliana na pointi yako....
Ninachosema mimi ni kuwa sio wote
wanakwenda hospitali za serikali hawana uwezo...

Mfano mzuri ni nssf wameanzisha huduma ya matababu
kwa gharama isiyozidi laki nne hivi kwa mwaka...

Halafu kama ulifuatilia vyombo vya habari..
Kuna mchezaji mmoja wa yanga,mke wake
alifariki na mtoto tumboni huko temeke hospitali
kwa huduma mbovu,,,,,
sasa siamini mchezaji wa yanga hawezi
kumudu matibabu ya kulipia muhimbili fast trak,au hata
aga khan........
Ninachokisema ni kuwa mentality ya watanzania wengi
ni kuwa afya zao ni mzigo wa serikali......hata kama
wana uwezo........
Unafaham wastani la pato la Mtanzania? Mind you na hiyo ni wastani, wamewekwa na matajiri. Lakini ni ngumu saana kwa waliwo wengi. Inawezekana zaidi ya 50%. Ebwana tembea utaona hali ni ngumu saana. Hata ukiondoa hao unaoona exceptional hakuna unafuu. Bado jukumu la serikali kwenye huduma za maana ziko pale. Sasa km wanashindwa hospitali, elimu na barabara what next?
 
Boss
Naungana na wote wanozishangaa na kuzipinga hoja zako. Niongeze kuwa umewakosea heshima sana mama zetu na walipa kodi woote kwa ujumla wao.
Twafahamu uwezo wa serikali hauzalizi shida zetu lakini si halali serikali kufuja kifisadi kodi zetu na kupuuzia huduma muhimu kwa jamii. Tuna haki kuhoji uhalali wa mabilioni hayo kutumika kuboresha makazi ya mtumishi mmoja kwa kiwango cha anasa wakati huduma muhimu kwa walipa kodi zikitelekezwa.

Picha zaonyesha tatizo siyo tu vitanda bali hata nafasi wodini. Naviona vitanda vimejaa wa2 wa2 na bado chini wamesongamana.
Je? serikali watajivunia picha hizi mbele ya wapiga kura au bunge?.
Naamini ubora wa Tanzania ya kesho utategemea sana ubora wa huduma za jamii leo haswa AFYA na ELIMU kuliko malazi ya anasa kwa walaji kodi wachache .
 
Swala lisiwe kipato Europe yaani dunia ya kwanza ni matajiri wa kutupwa ukilinganisha na sisi WTZ mbona hawalipi kwenda kwenye hospitali zao? Serikali zao zimebeba jukumu la kutoa hiyo huduma kwa kukusanya kodi ndivyo ilivyo kwa serikali ya Tanzania.

Kama hawawezi kufanya hivyo wawaeleze walipa kodi kwamba hiyo kazi imewashinda.
 
Hao wakina mama wanafiki wakubwa......
Tatizo lao ni elimu na kujitambua kuliko umasikini....
Mbona kwa waganga wa kienyeji wananunua mbuzi na kuku wanapeleka???
Au ni imani kuwa hospitali ni bure na ni kazi ya serikali.....

Bottom line ni kuwa sio wote wanaoenda hospitali za serikali
ni maskini kupita kiasi......
Ni mazoea tu.........

Halafu hao akina mama..
Hizo mimba walizipataje????
Hao wanaume waliowapa hizo mimba
hawana kazi kabisa??????
Walihongwa nini kabla ya kufungua miguu
yao kwa hiyari????

Mbona hizo khanga wanazovaa ni mpya mpya
na bei ya khanga moja sasa ni sh 5000/??????

Serikali ina mambo mengi ya kulaumiwa but sio
hao ya akina mama wa mjini......

Nitailaumu serikali kwa huduma za afya vijijini.
But hoa wa mwananyamala na amana na temeke.
Hell no.
Kwani lazima kuishi mjini na kuzaa kama uwezo huna???????

boss, ni haki yako kutoa mawazo yako na kusimamia kile unachoamini.
hata hivyo nakuomba upitie tena post yako hii na angalau "ku-edit" hayo maneno niliyoyawekea rangi nyekundu.

naamini unaweza kabisa kutumia lugha nyepesi zaidi ya hiyo.

ni ombi tuu.
 
kimsingi nakubaliana na pointi yako....
Ninachosema mimi ni kuwa sio wote
wanakwenda hospitali za serikali hawana uwezo...

Mfano mzuri ni nssf wameanzisha huduma ya matababu
kwa gharama isiyozidi laki nne hivi kwa mwaka...

Halafu kama ulifuatilia vyombo vya habari..
Kuna mchezaji mmoja wa yanga,mke wake
alifariki na mtoto tumboni huko temeke hospitali
kwa huduma mbovu,,,,,
sasa siamini mchezaji wa yanga hawezi
kumudu matibabu ya kulipia muhimbili fast trak,au hata
aga khan........
Ninachokisema ni kuwa mentality ya watanzania wengi
ni kuwa afya zao ni mzigo wa serikali......hata kama
wana uwezo........
Hivi unaelewa tabia za wafadhili wa michezo tanzania, unaweza kufikiria mwisho wa mwezi unapata chako, unakuta deal la mfadhili alijajipa? hivyo mshahara unacheleweshwa. nsa tukio ndio hilo liko mlangoni kwako.
kwanza mishara yenyewe unakuta kiduchu, sema marupurupu ukishanda mechi, ukifunga goli nk ndio zenye kuwawezesha kufanya vitu vya maendeleo.
 
nilichojaribu kusema ni kuwa
watu wachukulie kuwa afya zao ni muhimu
kuliko kununua khanga au hereni za dhahabu...
zipo dispensary nyingi za binafsi za bei nafuu.....

sio lazima kila mtu akasuburi huduma
ya bure mwananyamala au amana.

mimi binafsi nawajua wamama kadhaa ambao
wana uwezoa kwenda kwenye dispensary
za binafsi za bei nafuu,but wanaenda
hospitali za serikali kwa kila tatizo lao.

wapo kweli masikini wasio na uwezo
but sio wote,wengine ni mazoea ya
huduma za dezo.

Usichoelewa ni kwamba: Serikali inaweza kuweka utaratibu mzuri ili ho wenye pesa waweze kuhudumiwa kwa kutoa pesa kiasi. Sio hivyo inavyofanya seruikali. Wewe unataka wenye pesa waende kwenye hospitali za binafsi lakini wao wanataka za serikali, sasa ni wajibu wa serikali kuweka utaratibu wa kupata kiasi fulani cha pesa kwa hao wanaotaka hospitali za zake na kuwahudumia.
 
Yanasikitisha ukiyaona mambo kama haya lakini tufautishe baina ya CCM na serikali . Ikiwa hatuwezi kutafautisha baina ya serikali na chama basi kuanguka kwenye shimo kama hili itakuwa ni mambo ya kawaida.
 
Back
Top Bottom