Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

Wana CCM acheni unyonge - Kikwete

Kwa kauli kama hizi, tutarajie Tanzania kuingia kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe 2015.
Mkuu, kama 2015 tutakuwa na general election, basi kuna mawili,
1) Wananchi wakatane mapanga na kuchomeana nyumba na mali zao kwa vigezo vya itikadi
2) JWTZ iingilie kati kulinda vituo vya kura, wananchi wafukuzwe kabisa, wakae nyumbani, kuwe na siku mbili za mapunziko kupiga na kuhesabu kura....then CCM wafanye yao, wabadili masanduku na kuweka kura za maruhani. Then washinde kwa Kishindo...more than 80%.

Hakuna lililo jema kati ya hayo mawili, busara zikitumika hayatatokea, lakini tukiendelea Hivi, basi moja au yote mawili yatatokea.

Katiba mpya ikiendelea mrundika madaraka kwa mtu mmoja tu...Rais, tutajuta huko tuendako.
 
hii ametangaza vita kati ya GREENGUARD +POLISI vs WANANCHI wasio na hatia kwa kweli amenihuzunisha sana sikutegemea kama kiongozi wa nchi mshauri mkuu wa wananchi anaweza kuwa mchochezi kiasi hichi

waanadaeni vizuri sana REDBRIGADE walizoea kuwapiga watu huku wakibaki kimya, sasa kiama kinakuja mpaka watawakana mabwana zao(MBOWE, SLAA na LEMA) kama ambavyo Petro alivyomkana yesu.
 
Huyu Masawe kaenda kuvamia mkutano wa CCM ili iweje? Alikua anatafuta kubakwa?

Mtu kaja kuwasikiliza hamtaki? Kumbe wale wanaorudisha kadi wanazituma kwa posta? Sii wanakuja wanasikiliza ( ukiacha wale wasanii mliowakatia tiketi waende Mbeya) kisha wanaridisha kadi?
Au ndio mnatudhihirishia kuwa zile kadi huwa ni zenu wenyewe na mnatokanazo mkoa mmoja kwenda mwingine?
 
Huu ni uchochezi ulio dhahiri! Rais amevunja katiba, Rais amekiuka kiapo cha kuwalinda raia na mali zao!
Kama Pinda ameshtakiwa kwa kutaka raia wapingwe kutetea haki zao, Rais afanywe nini?!
Kwa hali tuliyofikia JK anapaswa kupelekwa The Hague!

Nenda sasa makamani wewe unafurahia ujinga unaofanywa na mabwana zako wa chadema,kutoboa macho wana ccm na kuwapiga kwa nondo! Ulisha ikemea hii? Dada yangu yote haya yameletwa na chama chako chadema


"Wana CCM acheni Unyonge"-Kikwete
 
Mkuu, kama 2015 tutakuwa na general election, basi kuna mawili,
1) Wananchi wakatane mapanga na kuchomeana nyumba na mali zao kwa vigezo vya itikadi
2) JWTZ iingilie kati kulinda vituo vya kura, wananchi wafukuzwe kabisa, wakae nyumbani, kuwe na siku mbili za mapunziko kupiga na kuhesabu kura....then CCM wafanye yao, wabadili masanduku na kuweka kura za maruhani. Then washinde kwa Kishindo...more than 80%.

Hakuna lililo jema kati ya hayo mawili, busara zikitumika hayatatokea, lakini tukiendelea Hivi, basi moja au yote mawili yatatokea.

Katiba mpya ikiendelea mrundika madaraka kwa mtu mmoja tu...Rais, tutajuta huko tuendako.

Ni afadhali hivyo kuliko kuacha taifa linasilimishwa na wahafidhina kuwa taifa la MASHOGA.
 
msihamaki sana ndgu zangu kwan bado mlitegemee kitu muhimu ktk nchi yetu kutoka kwa jk au bado mna ndoto anaweza akaleta mabadiliko,hata lile tumain dogo tulikuwa nalo watz tumeshalipoteza
 
Nenda sasa makamani wewe unafurahia ujinga unaofanywa na mabwana zako wa chadema,kutoboa macho wana ccm na kuwapiga kwa nondo! Ulisha ikemea hii? Dada yangu yote haya yameletwa na chama chako chadema


"Wana CCM acheni Unyonge"-Kikwete

Mkuu Nyani haoni dudu kake. CHADEMA sasa wanahangaika nini, kama wanajua alichosema presidaa si cha kweli?
 
msihamaki sana ndgu zangu kwan bado mlitegemee kitu muhimu ktk nchi yetu kutoka kwa jk au bado mna ndoto anaweza akaleta mabadiliko,hata lile tumain dogo tulikuwa nalo watz tumeshalipoteza

chini ya viongozi wenu mambumbumbu mnaweza mkasababisha kweli tukakosa mabadiliko, ila JK anajitahidi sana.
 
waanadaeni vizuri sana REDBRIGADE walizoea kuwapiga watu huku wakibaki kimya, sasa kiama kinakuja mpaka watawakana mabwana zao(MBOWE, SLAA na LEMA) kama ambavyo Petro alivyomkana yesu.

Waulize Wabunge wenu kule Kusini moto ulikuwaje? Jee kulikuwa na Red Brigade? Nchi ikichafuka hakuna cha CCM wala chma gani, wa kwanza kuathirika ni haohao viongozi. Muulize mbunge wa Masasi kama hakulala banda la kuku siku ile. Ccm ofisi zao zikoje? Kauli za kibabe zinafurahisha hivyo vikao vyao tuu ila field hali sio nzuri
 
CCM haikubaliki chadema ndio inakubalika weka takwimu ukizingatia matokeo ya udiwani wa juzi acha upuuzi CCM chama dume wewe
 
Mtu kaja kuwasikiliza hamtaki? Kumbe wale wanaorudisha kadi wanazituma kwa posta? Sii wanakuja wanasikiliza ( ukiacha wale wasanii mliowakatia tiketi waende Mbeya) kisha wanaridisha kadi?
Au ndio mnatudhihirishia kuwa zile kadi huwa ni zenu wenyewe na mnatokanazo mkoa mmoja kwenda mwingine?

Inawezekana alikwenda akiwa anaongea lugha ya CHAMA (KICHAGGA) ikabidi ale kibano.
 
Msanii wa chadema ImageUploadedByJamiiForums1392542532.958675.jpg


"Wana CCM acheni Unyonge"-Kikwete
 
YERICKO NDIE MCHOCHEZI.HII TAARIFA KAILETA YERICKI NA SI KUBENEA.HIVYO WA KULAUMU KWA UCHOCHEZ NI YERICKO NA KIMBELEMBELE KAMA MAFUA YA ASUBUHI.KWANZA YERICKO Mzushi sana kuliko pepo mchafu.we tangu lini na wapi dunian rais aliagiza raia wake hususan wanachama wake wapigane na wapinzani;?rais anamiliki vyombo vya mabavu kuliko wanachama,kwa nini asitume hivo vyombo atume wanachama?hamuwezi kuona yericko alivo mnafiki na mzushi?mi nadhani hii habar imetungwa na yericko na kumsingizia kubenea.

Duniani imetokea Tanzania kwa rais wako kipenzi chaguo la Mungu, raus anaye jivua ufahamu na chama cha magamba. Ccm iliyo na fikra muflisi.
 
Ni afadhali hivyo kuliko kuacha taifa linasilimishwa na wahafidhina kuwa taifa la MASHOGA.
What? Linasilimishwa? USHOGA?

Unajua maana ya Uhafidhina?

Nafikiri kama ungekuwa na akili japo kidogo, ungejua kwamba as a nation, we have so many important things to worry about than talking, discussing or considering USHOGA. That is not an issue of importance.

Whoever is raising, mentioning of forcing a discussion about it, has a big problem........Guess who is that person...YOU.
 
Back
Top Bottom