SoNotorious
JF-Expert Member
- Sep 11, 2011
- 2,422
- 859
Tunaomba polisi wakae pembeni watupe mwaka mmoja tuzipige .
wewe utakuwa mbunge wa Arusha nini? zile DVD zako bado unazigawa, tuone ulivyokuwa unadondosha chozi la furaha?
wewe kweli mpuuzi wa mwisho unafikiri chadema watakufa tu sio subiri utaona, kama ukuu wa nchi ni upuuzi huu basi ndio maana nchi imejaa watu wajinga kama wewe unafikir huko kinakonuka kama jamhuri ya Afrika ya kati si ujinga ulianza hivihivi sasa subirini tuone kama wataumia chadema peke yao.Waliuawa kwa sababu gani? kama siyo vurugu walizoanzisha wao? usitegemee kuwa ukianzisha vurugu siyo lazima ufe wewe, jiwe likirushwa halichagui umeanzisha vurugu wewe au la. CHADEMA mjitathmini sana, ukiona mkuu wa nchi ametoa kauli kama hiyo ujue serikali imechoka, sasa mkiendekeza viroba vyenu na uchagaa hakika mtakwisha
Tunaomba polisi wakae pembeni watupe mwaka mmoja tuzipige .
Waulize Wabunge wenu kule Kusini moto ulikuwaje? Jee kulikuwa na Red Brigade? Nchi ikichafuka hakuna cha CCM wala chma gani, wa kwanza kuathirika ni haohao viongozi. Muulize mbunge wa Masasi kama hakulala banda la kuku siku ile. Ccm ofisi zao zikoje? Kauli za kibabe zinafurahisha hivyo vikao vyao tuu ila field hali sio nzuri
Sasa alianza na kusema kuna majangili wakubwa anawafahamu mmoja ni mfanyabiashara saizi kaja na hii ua uonevu kwa kweli taifa linaelekea kubaya under this guy
Kwa kuwa chadema mmezowea mapigano na umwagaji damu,basi kauli hii nyinyi mnaitafsiri kwa mujibu wa taratibu zenu.
Ameyasema hayo wakati wa kikao cha NEC alipokuwa anazungumzia machafuko yanayotokea kwenye chaguzi ndogo especially ile ya kahama.
Amewataka wana CCM kuacha unyonge. Amejihami kwa kusema kwamba hata kama alichokisema kitakuwa ndio habari nzito kwenye vyombo ya habari sawa tu.
Source: News, TBC1
Sijaielewa hii kauli ya kikwete alikuwa anamaanisha nini.
Hapa nimeshindwa kumuelewa; anataka wana CCM wareact vipi? Kwa kuua au?
Ameyasema hayo wakati wa kikao cha NEC alipokuwa anazungumzia machafuko yanayotokea kwenye chaguzi ndogo especially ile ya kahama.
Amewataka wana CCM kuacha unyonge. Amejihami kwa kusema kwamba hata kama alichokisema kitakuwa ndio habari nzito kwenye vyombo ya habari sawa tu.
Source: News, TBC1
Sijaielewa hii kauli ya kikwete alikuwa anamaanisha nini.
Hapa nimeshindwa kumuelewa; anataka wana CCM wareact vipi? Kwa kuua au?
wewe kweli mpuuzi wa mwisho unafikiri chadema watakufa tu sio subiri utaona, kama ukuu wa nchi ni upuuzi huu basi ndio maana nchi imejaa watu wajinga kama wewe unafikir huko kinakonuka kama jamhuri ya Afrika ya kati si ujinga ulianza hivihivi sasa subirini tuone kama wataumia chadema peke yao.
Msemaji wa jk haya toa tafsiri yake buku 7 wewe
Kwa kauli hii ya mkuu wa nchi,sitathubutu tena kwenda kwenye mkutano wowote wa hadhara wenye malengo ya kisiasa.hii ni dhahiri mh.Jakaya Kikwete alikua anajaribu kuwa rais wa Tanzania na si kuwa rais kwa nia ya kuongoza TAIFA.
Tunaomba polisi wakae pembeni watupe mwaka mmoja tuzipige .