Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Wamiliki wa Mabasi na mafuso hutoa wapi hela?

Kwa kweli Mimi nimepanga kwenda kumuuliza tajiri mmoja yani yeye alifanyaje hadi akaweza kumiliki kuanzia Milioni 500.
Nimeamua nitumie njia yoyote ile kupata hela kwa kweli.
Utumie njia yoyote kupata hela mpumbavu nn siyo kila supu unatyipu hapa kausha tu na siyo kunidhalilisha Kia's hiki kwa hyo ukiambiwa utembee na. Mam ako uko tayari upate pesa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwny michango ya harus hapo ukenena, ukipata kaz ya mshahara wa laki 5 kadi znakuja km.8 hv na ukiwanyima wananuna
Huwa nachangia harusi kimkakati sana. Sehemu ambayo sina maslahi nayo sichangii hata senti tano. Niliacha kuchangia kwa watu wasiojielewa baada ya siku moja kutoa mchango kwa jamaa yangu alikuwa anaoa... jamaa nampa hela akauliza ni Tsh ngapi? Nikamjibu ni 450k. Jamaa akaanza kuzihesabu mbele yangu kama ziko sawa wakati ni kama msaada tu.. nilichukia kimoyomoyo nikasema sintakaa nichangie sehemu nisiyopata maslahi yoyote. Siku hizi nachangia mambo ya elimu tu. Na mara chache wagonjwa.
 
Mengine ni kodi zetu, mengine ni wazee wa makafara, mengine ni wazee wa madini mfano sauli, mining nice, ya kaskazin mengi ni kodi zetu na ya kurithi toka KWA wazazi wao waliokuwa wapigaji na wezi wakubwa. East Africa.
 
huyu BM ndo anaitoa kimasomaso morogoro, anajenga ghorofa refu kuliko yote moro pale masika
Acha uongo mkuu hcho kigorofa kilicho kosa parking ndio unasema Ana Jenga gorofa refu

Mm naifahamu hicho kiploti na jengo Hilo vzr Sana nnje ndani ndugu blaston makundi Bm alianzia maisha huko vijini nisiseme mengi ila Kama unajuwa gorofa nenda moroko uliza jengo la mwanga Hakika Ni la Nani

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ukitaka pesa ndefu panda miti.
Iko hivi unazaa mtoto unamnunia heka 10 unampandia mit, anavyokua na miti inakuwa akifika miaka 20.
Miti Ina miaka 20 heka 10 hakosi chini ya bilioni moja kwa thamani ya sasa.
Wakati huo atauza miti na atauza viwanja pia kwa kuzikata hizo eka 10, wakati huo sio Shamba tena ni mji.
Kama alifundishwa biashara tangu mtoto mfano baada ya kumaliza darasa la saba, achana na na sekondari labda form 4 mwisho then mtupe garage au shambani aanze kumasta life. Akifika miaka 20 ni mfanyabiashara Mkubwa tu.
 
Mengine ni kodi zetu, mengine ni wazee wa makafara, mengine ni wazee wa madini mfano sauli, mining nice, ya kaskazin mengi ni kodi zetu na ya kurithi toka KWA wazazi wao waliokuwa wapigaji na wezi wakubwa. East Africa.
Watoane makafara wenyewe waache tozo zetu
Wakae na mazezeta yao ndani ya mageti yawatemee mate wainjoi
 
Kwangu Mimi ndio aina ya utajiri ninaoukubali.

Kule ule wa kusema ukaanza ku hustle mwenyewe.

Na mwanao nae aka hustle mwenyewe.

Na msjukuu wako na aka hustle mwenyewe

Ku break generational chain of poverty hapo haitowezekana kamwe asilini abadani.

Huwezi Kuta wahindi au waarabu masikini wa kutupwa sababu wanajua nini maana ya pesa na Ni vipi wawaweke watoto kwenye ctclyya pesa zao wazalishe zaidi na zaidi kizazi na kizazi.

Sisi waafrika akifa baba tu kwakuwa alikuwa hataki kushikirikisha wanae kwenye mali zake(ubinafsi) Kila kitu kinarudi ground zero. Mali kupotea au kukwapuliwa sababu watoto hawakuandaliwa kuziemdeleza na kuzalisha zaidi.

Mfano mzuri wa generational wealth mcheki yule RATAN TATA na Ile TATA EMPIRE sio yeye mwanzilishi wa ule ukwasi na Babu zake.
Hizo jamii za kihindi wana discipline ya maisha, kuanzia kuoa na kuzaa, ni ngumu kukuta mtu ana watoto 10,
 
Duniania hapa hapa kama wewe, sijawahi kuona ushirikina kama wewe ambavyo hujawahi kuuona zaidi ya kuaminishwa tu kwa story za hearsay. Fikiria objectively umewahi kuona nini zaidi ya matango pori wanayoaminishana wajinga.
Sawa mkuu, iko siku hutoamini lakini shukuru Mungu kama haya mambo hayajaingia kwenye maisha yako
 
Samsa Logistics wana lori nyingi, nani mwenye hii kampuni maana wanagari nyingi pia, vile vile hata hawa wanyarwanda wanazidi kwa gari nyingi sana za mizigo. Lori zenye RL.....ni za kutosha.
Kwa Buses Kanda ya ziwa kwenda Dar Ally's ana fujo na road, bila kumsahau SATCO na happy nation.
Watembelee watu ndio utaweza kutofautisha mazezeta na vichaa
 
Duniania hapa hapa kama wewe, sijawahi kuona ushirikina kama wewe ambavyo hujawahi kuuona zaidi ya kuaminishwa tu kwa story za hearsay. Fikiria objectively umewahi kuona nini zaidi ya matango pori wanayoaminishana wajinga.
Duniania hapa hapa kama wewe, sijawahi kuona ushirikina kama wewe ambavyo hujawahi kuuona zaidi ya kuaminishwa tu kwa story za hearsay. Fikiria objectively umewahi kuona nini zaidi ya matango pori wanayoaminishana wajinga.
Usiombe yakukute. Msiba usikie nyumba ya jirani
 
Maana wenye mabasi mengi Tz ni NewForce, Abood, Shabiby, Golden Deer
New force ndie Golden deer
Ally's star
Happy Nation
Bm
Abood
Shabiby
Kilimanjaro
Ester
Tilisho
Na wengineo
Kwa kweli Hua wanafikirisha, ukiacha Hao wachina wa new force
Abood na shabiby Hua wanaleta vifurushi kuanzia basi 10, Wakati sisi wengine hata passo hatuna, maisha ni fumbo kwa kweli
 
Usiombe yakukute. Msiba usikie nyumba ya jirani
Sawa mkuu, iko siku hutoamini lakini shukuru Mungu kama haya mambo hayajaingia kwenye maisha yako

Hakuna mtu yamewahi kumkuta zaidi ya story za kusadikika na watu wanaamini kama yalivyo. Nyie wenyewe fikirieni with an open mind kama umewahi kuona ushirikina zaidi ya matangopori mliyomezeshwa. Hamjawahi na hamtaona ushirikina sababu haupo, mnaaminishwa na mnaambiwa muamini tu bila kuuliza.

Kuna mtu kwenye huu uzi kasema tajiri alikutwa na nyoka nimeuliza jina la huyo tajiri hana, kwanini? Sababu alisimuliwa na yeye akaamini kama yalivyo.

Kuna huu uzi hapa chini mleta uzi alileta kisa cha diwani mshirikina Kigoma, kama kawaida ya nyumbu wakaamini without questioning. Mimi niliomba jina tu la huyo diwani na kuahidi kutoa laki tano TSH kwa yeyote yule atayenipa jina tu huyo diwani, yapata miaka miwili sasa si mleta Uzi au nyumbu wamenipa hilo jina. Hivi ndo story za ushirikina zilivyo.

 
Back
Top Bottom